ukwaju_wa_ kitambo
Senior Member
- Sep 15, 2024
- 150
- 173
Image ina sura mbili, sasa ni yupi hapo?NIKI MBISHI.
Na ukitaka ganja kali ni Sinza kwa #KAPACHINO....R.I.P RASTA
"Sshh, jiheshimu joh, weed tutachoma
Kimya kimya, we msomeshe "#Kapachino" kwenye kona
Akupe kitu cha Arusha, mi nnacho cha Dodoma
Usisahau kutoka bling tu, Hovak wamenisoma.." ngwea - kimya kimya'
Ukwaju wa kitambo
0767 542 202View attachment 3137862View attachment 3137863View attachment 3137864
Huyo aliyekunja ngumi.Image ina sura mbili, sasa ni yupi hapo?
Kwakua dhambi ya usaliti wa dini halisi ya mwafrica imeshika kasiWanaact uhardcore wakifa wanazikwa kwenye dini zao ukristo au uislamu.
Sote njia yetu ni moja.
Wameweka tarehe ya kuzaliwa kufariki imefichwa,lini exactly alifariki?Apumzike kwa amani. Kauza sana bangi kwa mastar Sinza Kumekucha.
Inasoma tarehe 27/10.Wameweka tarehe ya kuzaliwa kufariki imefichwa,lini exactly alifariki?
Inasoma tarehe 27/10.
Sema kawahi kuzikwa sana au itakuwa kale kaugonjwa pendwa! Jamaa alikuwa akilelewa na mshangazi Sinza Kumekucha wenye historia chafu
Hata mm sijajua muuza ganja yupi hapoImage ina sura mbili, sasa ni yupi hapo?
Kwani ukizikwa kwa dini au usizikwe kwa dini inabadilisha kitu ganiWanaact uhardcore wakifa wanazikwa kwenye dini zao ukristo au uislamu.
Sote njia yetu ni moja.
Yule mwingine wa kushoto ni Nick Mbishi kama sijakoseaHata mm sijajua muuza ganja yupi hapo