Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Ilikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu uliowaamini walikuangusha sababu walikua na uchu wa madaraka na wapinzani wa serikali yako hasa vikundi vya waasi walikua na uchu wa madaraka pia..Wananchi walikua wamechoshwa na siasa za upendeleo wa kikabila zilizokua zinaendeshwa waziwazi na watu uliowakabidhi madaraka ya kuisimamia kiutendaji serikali yako.
Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..
Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,
Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..
Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..
Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,
Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..