Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Nelson Jacob Kagame

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2022
Posts
9,576
Reaction score
13,545
Ilikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu uliowaamini walikuangusha sababu walikua na uchu wa madaraka na wapinzani wa serikali yako hasa vikundi vya waasi walikua na uchu wa madaraka pia..Wananchi walikua wamechoshwa na siasa za upendeleo wa kikabila zilizokua zinaendeshwa waziwazi na watu uliowakabidhi madaraka ya kuisimamia kiutendaji serikali yako.

Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..

Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,

Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..
 
Ilikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu uliowaamini walikuangusha sababu walikua na uchu wa madaraka na wapinzani wa serikali yako hasa vikundi vya waasi walikua na uchu wa madaraka pia..Wananchi walikua wamechoshwa na siasa za upendeleo wa kikabila zilizokua zinaendeshwa waziwazi na watu uliowakabidhi madaraka ya kuisimamia kiutendaji serikali yako.

Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..

Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,

Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..
Nani alitungua ile ndege akaua marais wa nchi mbili ?

Moronight walker mtu chake
 
Ilikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu uliowaamini walikuangusha sababu walikua na uchu wa madaraka na wapinzani wa serikali yako hasa vikundi vya waasi walikua na uchu wa madaraka pia..Wananchi walikua wamechoshwa na siasa za upendeleo wa kikabila zilizokua zinaendeshwa waziwazi na watu uliowakabidhi madaraka ya kuisimamia kiutendaji serikali yako.

Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..

Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,

Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..
You've written as if everyone knows him. Anyway, R.I.P
 
Aliitwa Arusha kwa maridhiano chini ya Mzee Ally Hassan Mwinyi …akaruhusiwa kurudi home akiwa na Rais Ntaryamira wa Burundi kwny ndege moja

wakati huo Kijana Paul Kagame akisaidiwa na Mtoto wetu wa Hiyari Yoweri Kaguta Museven walikuwa tayari kwa kazi kubwa na nzito

mara tu baada ya kufika kwny anga la Kigali safari ikaishia hapo na Burundi ikapoteza Rais kwa kuwa tu aliomba Lifti kwa sababu ya Umaskini wa Taifa lake


ilikuwa wiki ya kwanza ya April, 1994

naikumbuka sana wiki hii kwa kuwa lilinitokea tukio zito sana ambalo lilichangia sana kuwa Pohamba wa leo

Alhamdulillah
 
Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi! Hivi kuna mkono wa mataifa ya magharibi Katika mauaji yake au ni vikundi vya waasi vya ndani ya nchi tu
Sijui sababu ukiwa kiongozi ni risk ila nachojua ni kwamba aliwahi kumwambia bi mkubwa kua anahofia maisha yake ilikua kwa njia ya simu back in days.....Hakuchukua mwezi akauawa
 
Aliitwa Arusha kwa maridhiano chini ya Mzee Ally Hassan Mwinyi …akaruhusiwa kurudi home akiwa na Rais Ntaryamira wa Burundi kwny ndege moja

wakati huo Kijana Paul Kagame akisaidiwa na Mtoto wetu wa Hiyari Yoweri Kaguta Museven walikuwa tayari kwa kazi kubwa na nzito

mara tu baada ya kufika kwny anga la Kigali safari ikaishia hapo na Burundi ikapoteza Rais kwa kuwa tu aliomba Lifti kwa sababu ya Umaskini wa Taifa lake


ilikuwa wiki ya kwanza ya April, 1994

naikumbuka sana wiki hii kwa kuwa lilinitokea tukio zito sana ambalo lilichangia sana kuwa Pohamba wa leo

Alhamdulillah
Wote wawili hali zao zizidi kuwa mbaya.
 
Aliitwa Arusha kwa maridhiano chini ya Mzee Ally Hassan Mwinyi …akaruhusiwa kurudi home akiwa na Rais Ntaryamira wa Burundi kwny ndege moja

wakati huo Kijana Paul Kagame akisaidiwa na Mtoto wetu wa Hiyari Yoweri Kaguta Museven walikuwa tayari kwa kazi kubwa na nzito

mara tu baada ya kufika kwny anga la Kigali safari ikaishia hapo na Burundi ikapoteza Rais kwa kuwa tu aliomba Lifti kwa sababu ya Umaskini wa Taifa lake


ilikuwa wiki ya kwanza ya April, 1994

naikumbuka sana wiki hii kwa kuwa lilinitokea tukio zito sana ambalo lilichangia sana kuwa Pohamba wa leo

Alhamdulillah
Wanajeshi wake aliowaamini kabisa ndio walimgeuka na ndio walihusika na mauaji ya kimbari kwa asilimia kubwa wakishirikiana na vikundi vya wanamgambo na vikundi vya waasi
 
Back
Top Bottom