livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,955
- 5,616
Nakubaliana nawe vinginevyo tuanze kumtafuta aliyemuua Kayibanda
Kabisa , kama ni kisasi tua sume kili balance kuanzia hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana nawe vinginevyo tuanze kumtafuta aliyemuua Kayibanda
Anajulikana na waliompa oder wanajulikana sababu walikua chini ya Habriymana jeshiniNakubaliana nawe vinginevyo tuanze kumtafuta aliyemuua Kayibanda
Alionekana kwenye ka clip anachechemea yaani unakaa madarakani hadi miguu inagoma kwenda!!?hawakujifunza KWA nyerere baba YAO!!?Sijui kwa kweli mkuu.
Ebu fafanua kidogo mkuuLakini kasaidia sana mpaka hapa Rwanda ilipofikia mchango wake ni mkubwa sana, na Ukabila sio mkubwa sana kama ilivyokuwa kipindi cha habyariman.
Amestabilize mamno mengi
Ninakumbuka nilikuwa darasa la kwanza,siku hiyo tulikwenda shule tukarudishwa.Ndege ya marais imetunguliwa walikuwa wanatoka Arusha kwenye mkutano wa mapatano.Kweli Kagame ni hatariIlikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu uliowaamini walikuangusha sababu walikua na uchu wa madaraka na wapinzani wa serikali yako hasa vikundi vya waasi walikua na uchu wa madaraka pia..Wananchi walikua wamechoshwa na siasa za upendeleo wa kikabila zilizokua zinaendeshwa waziwazi na watu uliowakabidhi madaraka ya kuisimamia kiutendaji serikali yako.
Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..
Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,
Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..
Juzi Kaguta katembelewa na COVID-19 je ni mwanzo wa mwisho wake? Anything is possible under the Sun. Hakuna atakayeishi milele angalia walivyomsingizia Amin akaishi muda mrefu kuliko hata Nyerere mwenyeweAlionekana kwenye ka clip anachechemea yaani unakaa madarakani hadi miguu inagoma kwenda!!?hawakujifunza KWA nyerere baba YAO!!?
Hawa jamaa wanatia aibu!!
Kagame hawezi achia madaraka labda wampindue au wamuue au afe.Alionekana kwenye ka clip anachechemea yaani unakaa madarakani hadi miguu inagoma kwenda!!?hawakujifunza KWA nyerere baba YAO!!?
Hawa jamaa wanatia aibu!!
Mauaji yake kwa theme yanafanana na ya Waziri Mkuu wa Istael Yitzhak Rabin aliepigwa risasi na Mhafidhina wa Kiyahudi Amir Yigal aliekuwa anapinga maridhiano na Israel ambae nae alipigwa Risasi mwaka huo huoWanajeshi wake aliowaamini kabisa ndio walimgeuka na ndio walihusika na mauaji ya kimbari kwa asilimia kubwa wakishirikiana na vikundi vya wanamgambo na vikundi vya waasi
Museveni anaumwa wiki ya pili sasa....amelazwa ila kapata nafuuJuzi Kaguta katembelewa na COVID-19 je ni mwanzo wa mwisho wake? Anything is possible under the Sun. Hakuna atakayeishi milele angalia walivyomsingizia Amin akaishi muda mrefu kuliko hata Nyerere mwenyewe
Nakumbuka nilikua mkura huko Bariadi aiseh!redio free inatangaza usiku!BBC!!Ninakumbuka nilikuwa darasa la kwanza,siku hiyo tulikwenda shule tukarudishwa.Ndege ya marais imetunguliwa walikuwa wanatoka Arusha kwenye mkutano wa mapatano.Kweli Kagame ni hatari
Na aumwe sana tu lau Uganda ipumueMuseveni anaumwa wiki ya pili sasa....amelazwa ila kapata nafuu
Yeah huo mfano sahii kabisa mkuuMauaji yake kwa theme yanafanana na ya Waziri Mkuu wa Istael Yitzhak Rabin aliepigwa risasi na Mhafidhina wa Kiyahudi Amir Yigal aliekuwa anapinga maridhiano na Israel ambae nae alipigwa Risasi mwaka huo huo
No usiseme hivyo mkuuNa aumwe sana tu lau Uganda ipumue
Ebu fafanua kidogo mkuu
Some of my close relative,s kwenye ukoo walikua kigali tht day...Then walipokea order tu kijeshi jeshi toka kwa Kanali PF """Kimbieni haraka"""mjomba wenu is no more up here and we dont recognize you as rwandese!!!!!So sad forNakumbuka nilikua mkura huko Bariadi aiseh!redio free inatangaza usiku!BBC!!
Hawa jamaa wanakufa KWA aibu sana!!unakaa muda mrefu UNASHINDWA kuandaa deep state ambayo itasimamia muhula wa madaraka KWA kuwaua wanaotaka kuvunja katiba na kuongeza mihula!!?Museveni anaumwa wiki ya pili sasa....amelazwa ila kapata nafuu
Juzi Kaguta katembelewa na COVID-19 je ni mwanzo wa mwisho wake? Anything is possible under the Sun. Hakuna atakayeishi milele angalia walivyomsingizia Amin akaishi muda mrefu kuliko hata Nyerere mwenyewe
Na aumwe sana tu lau Uganda ipumue
Bro ni Rwanda hii unaiongelea au Rwanda Nyingine. Top officers wote jeshini na idara nyeti ni wa kabila mojaLakini kasaidia sana mpaka hapa Rwanda ilipofikia mchango wake ni mkubwa sana, na Ukabila sio mkubwa sana kama ilivyokuwa kipindi cha habyariman.
Amestabilize mamno mengi
Kuna mengi huyajui mkuu ila vile vile sikupingi sababu mimi nimezaliwa Tanzania...na labda kipindi hicho nilikua dogo janja na mahusiano yangu na uncle yalikua ya kifamilia zaidi kuliko siasa......ila ubaguzi upo sema hapo Rwanda mnaogopa kusema ukweli sababu ya serikali ya RPF.Maana yangu ni hii ,niionavyo rwanda na Maendeleo iliyonayo kwa Sasa huwezi kumtenganisha nayo huyu Nkole/Kagame.
Na Kwa sasa ni kama vile kuna usawa kati ya Hizo jamii mbili apa Rwanda (Tusi na Hawa majority walioko Burundi/Wahutu), ubaguzi sio mkubwa kama vile ulikuwa kipindi hicho cha Mjomba Wako.