Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #61
Swali zuriBro ni Rwanda hii unaiongelea au Rwanda Nyingine. Top officers wote jeshini na idara nyeti ni wa kabila moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuriBro ni Rwanda hii unaiongelea au Rwanda Nyingine. Top officers wote jeshini na idara nyeti ni wa kabila moja
Mkuu umeenda mbali'"""Tumuombee""Awe makini yasije kumkuta kama ilivyokuwa kwa Jpm [emoji3167][emoji3088]
Je hii maada inauhusiano wowote na Kagame Kufanya mabadiliko makubwa jeshini apa Rwanda
Bro ni Rwanda hii unaiongelea au Rwanda Nyingine. Top officers wote jeshini na idara nyeti ni wa kabila moja
Yeah nilichojifunza ni kwamba wanajeshi hawaaminiki hasa wale wa vikosi maalumu
Mkuu umeenda mbali'"""Tumuombee""
Juve hakumuua Kayabanda bali kanali Nyugera ndio alikiuka maagizo ya kumweka kwenye house arrest akaamuru asikari aliokua nao wampige risasi......Juve hakutoa order hiyo ila aliamua kukaa kimya kwa kuogopa wanajeshi wenzie waliomuweka madarakaniRIP Juve mwanangu. You were a great man. Hata hivyo, kama ulionewa kama ulivyomuonea Gregoire Kayibanda, time will tell. Uzuri ni kwamba hata huyo aliyeamuru ndege itunguliwe naye atakufa tena saa nyingine kifo kibaya kuliko hicho. Mungu anamuona
kuwa makini sana kagame asikufahamu. endelea kujificha.Kanali PF kwa order ya Paulo Kagame(Afande PS)......ipo wazi kabisa na ulikua wakati wa vita hakuna mtu wa kumlaumu labda makamanda wa vikosi maalumu vya ulinzi wa raisi
Kiusahii inatamkwa HABYARIMANA""""ila tunafupisha mkuuHivi ni Habriymana au Habyarimana?????
Kisasi kipi mkuu????? Juve hakutoa order Kayibanda auaweKabisa , kama ni kisasi tua sume kili balance kuanzia hapo.
Mkuu kumkumbuka mjomba wako ni dhambi????kuwa makini sana kagame asikufahamu. endelea kujificha.
Tuombe uhai 2051 Sheria za kimataifa zinaruhusu behind the sceneSure, Special forces Wengi huuza Game.
Hata hapo Nyumbani , Kifo cha Jemadari Magu kiliacha maswali mengi, na Pengine wenye nayo Majibu sahihi ni hivyo vikosi Maalum
Walizuiwa na hali halisi ya serikali husika kipindi kileHivi kwa hilo kwa nini Burundi haikumshitaki Kagame katika mahakama ya kiuhalifu the hague kwa Kumua Rais wa watu wa Burundi ambae hakuwa na hatia ?
Kisasi kipi mkuu????? Juve hakutoa order Kayibanda auawe
Alitungua ndege alikuwa ni second lieutenant Jack nzinza ( kwa sasa ni mstaafu cheo cha generali)ndiye alirusha kombola la 16 IGLA RUSSIAN MADE SURFACE TO AIR MISSILE.
AnaogTuombe uhai 2051 Sheria za kimataifa zinaruhusu behind the scene
Secretary wa Baba wa Taifa wa maisha yote yule Bibi wa Kiingereza nae aliandika kitabu kuhusu Baba wa Taifa ile nyuma ya pazia yenyewe laki ni kaomba kitolewe 30 years baada ya kufa kwake
Anaogopa nnTuombe uhai 2051 Sheria za kimataifa zinaruhusu behind the scene
Secretary wa Baba wa Taifa wa maisha yote yule Bibi wa Kiingereza nae aliandika kitabu kuhusu Baba wa Taifa ile nyuma ya pazia yenyewe laki ni kaomba kitolewe 30 years baada ya kufa kwake
Tuombe uhai 2051 Sheria za kimataifa zinaruhusu behind the scene
Secretary wa Baba wa Taifa wa maisha yote yule Bibi wa Kiingereza nae aliandika kitabu kuhusu Baba wa Taifa ile nyuma ya pazia yenyewe laki ni kaomba kitolewe 30 years baada ya kufa kwake
Wote hao member wa RPF walipokea muongozo toka kwa Kanali PF(Code name) msaliti kutoka vikosi maalumu vya kumlinda raisi tokea Head unit na kuna mengi yamefichwa ili RPF waonekane mashujaa wa ukomboziAlitungua ndege alikuwa ni second lieutenant Jack nzinza ( kwa sasa ni mstaafu cheo cha generali)ndiye alirusha kombola la 16 IGLA RUSSIAN MADE SURFACE TO AIR MISSILE.
Alikuwepo na James Kaberebe (kwa sasa ni mstaafu cheo cha generali) alikuwa kama msikamizi wa tukio, pamoja alikuwepo na Erick hakizimana. Walikuwepo eneo la Masaka hill kigali usiku saa 2.
Waliondoka Mulindi ( higher commands battalion) kwa kutumia truck mpaka kigali, kisha wakafanya tukio.
Walivyorudi mulindi baada ya kuangusha ndege.
James kaberebe akaimba wimbo huku Askari wa RPA wakirudia. Aliimba kwa kiswahili
"
"Habriymana akifa mimi siwezi kuria nitamtupa kagera, awe chakula cha mamba"
I apriacte it mkuuAngalieni huu uzi nilitoaga kuna video hapo ya askari wa kagame anaitwa James munyandinda ametoa maelezo mazuri sana.
Thread 'Mahojiano kati ya Judi River na James Munyandinda kuhusu kuuwawa kwa juvenal habyarimana na jinsi RPF walivyo husika' Mahojiano kati ya Judi River na James Munyandinda kuhusu kuuwawa kwa juvenal habyarimana na jinsi RPF walivyo husika