mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Hata picha mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kagame juzi kafukuza mageneral 2 jeshini.Yeah nilichojifunza ni kwamba wanajeshi hawaaminiki hasa wale wa vikosi maalumu
Asante sana mkuu""""Vita sio kitu kizuri kabisa"""Wakati w Mapigano mkuu mambo huwa ni Mengi , Watu wengi wasio na Hatia huondoka , Pole sana
Inamaana kulikuwa na usaliti kwa juvenal wahutu wenzie?msaliti kutoka vikosi maalumu vya kumlinda raisi tokea Head unit
Asante sana mkuu""""Vita sio kitu kizuri kabisa"""
Anajua kitakachofuatia sababu serikali ya Tanzania haitamkingia kifua tena....Mkuu kagame juzi kafukuza mageneral 2 jeshini.
Pia kafukuza askari zaidi ya 200.
Karibu 100 ni wa vyeo vya juu.
Jamaa shida nini. Askari 200 ni wengi mno tena maoficers wa vyeo vya juu, vipi kulicover hizo nafasi, maana kuna kwenda coz na uzoefu.
Au wasiwasi wa kupinduliwa.
Maana wanasema wengine watashitakiwa mahakamani.
My uncle was good frnd as uncle.....Mambo ya siasa aliyatenga kabisa na familia...War is a real devil Mkuu
PAKA ndie aliyekuwa nyuma ya mchezo huu
Yeah walitaka afe sababu alipenda maridhiano kwa wanyarwanda wote mkuuInamaana kulikuwa na usaliti kwa juvenal wahutu wenzie?
Wakawa wanampa siri PK?
H
Anajua kitakachofuatia sababu serikali ya Tanzania haitamkingia kifua tena....
Itifaki zinazuia mkuu,,,la sivyo huu uzi utafutwa kama wa mwanzo niliouweka......Hata picha mkuu
Tatizo aliuawa mpaka Rais wa Burundi ambaye hakua vitani na Rpf, huo ni uhalifu.Kanali PF kwa order ya Paulo Kagame(Afande PS)......ipo wazi kabisa na ulikua wakati wa vita hakuna mtu wa kumlaumu labda makamanda wa vikosi maalumu vya ulinzi wa raisi
Hivi haya mambo huwa kuna kukingiana kifua kweli [emoji23]
Nilipoteza almost watu 70 kwenye ukoo upande ule..Cha ajabu wote waliuawa na wanajeshi wa RPF wakisingiziwa kua ni IntarehamweBaada ya hapo ikafatiwa na umwagaji damu mkubwa sana katika historia ya Africa maiti zilielea juu ya mito hadi wakaweka wavu daraja la Rusumo kuzuia miili isiingie ziwani
Yeah ur rightTatizo aliuawa mpaka Rais wa Burundi ambaye hakua vitani na Rpf, huo ni uhalifu.
Pole sana aisee,Nae moto unamsubiria Hana zaidi ya miaka 20 Duniani kamwaga damu za watu wengi sana utadhani ataishi milele zaid ya kukimbiza upepoNilipoteza almost watu 70 kwenye ukoo upande ule..Cha ajabu wote waliuawa na wanajeshi wa RPF wakisingiziwa kua ni Intarehamwe
We cant forget but we forgiveIt was Over , Let all those Sadness never come again.
Africans never kill each other tena, we are sisters and brothers and as Waafrica sisi tuna deserve kuwa Wamoja.
We already forgivePole sana aisee,Nae moto unamsubiria Hana zaidi ya miaka 20 Duniani kamwaga damu za watu wengi sana utadhani ataishi milele zaid ya kukimbiza upepo