Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Ilikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu uliowaamini walikuangusha sababu walikua na uchu wa madaraka na wapinzani wa serikali yako hasa vikundi vya waasi walikua na uchu wa madaraka pia..Wananchi walikua wamechoshwa na siasa za upendeleo wa kikabila zilizokua zinaendeshwa waziwazi na watu uliowakabidhi madaraka ya kuisimamia kiutendaji serikali yako.

Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..

Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,

Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..
RIP Gregoire Kayibanda and your wife Verdiana Mukagatare
 
Baada ya hapo sasa ikawaje story haujaimalizia mkuu,
Mkuu story ni ndefu sana.
Maana hata NGO nyingi zilizofanya investigation.
Walisema kwamba kama kipindi hicho walikuwa watu Zaidi wa 1,000,000. basi watutsi hawawezi zidi 200,000. ina maana kama watutsi hawakuzidi 200,000.
Basi wengine waliosalia ni akinanani??
Kagame yeye na wenzie wanasema walikufa watutsi 1,000,000.
Lakini hapo hapo ukiwahuliza kabla ya genocide watutsi walikuwa wangapi kwa taarifa za rwanda za sasa hivi wanasema hawakuzidi 500,000. Sasa Hao watutsi 1,000,000. Walitoka wapi??

Taarifa za UN na NGO nyingi na z ICTR wanasema watutsi genocide survivors hawazidi 300,000.
Kuna uwongo wengi sana kwa PK.
 
Hao waliowawa ndugu walio uwawa 70 ni watusi au wahutu.

Maana kuna baadhi ya watutsi waliuwawa na RPA,
Watutsi wa Bagogwe waliuwawa na macomandoo wa RPA chini ya James kaberebe.
Na watutsi wa Bisesero kama 40,000. Waliwawa kwa amri ya kagame kupitia James kaberebe na Mr Kayonga.
Hao 40,000 walikuwa ni genocide survivor walijikusanya Bisesero hill walisaidia na jeshi la ufaransa kupitia operation toquores. KAGAME alifanya hivyo ili kuonyesha dunia kuwa France hawajafanya kazi yoyote.
Mkuu dhambi ya Bisesero itamtafuna Kagame na wale makamanda wa RPA mpaka mwisho......Utauaje watu kambini kama unapulizia dawa ya mbu.......Unaizunguka temporary refugees camp na unaanza kumimina risasi.....
 
Baada ya hapo sasa ikawaje story haujaimalizia mkuu,
Mkuu ni story ndefu ukifiatilia sana kuna chief prosecutor wa ICTR wa kwanza ,
Alikuwa na ushahidi wa PK kuangusha ndege ya Juvenile na kushiriki mauaji . Na yeye alisema kuuwawa na Juvenile ndio ilitrigger/ilispark genocide, ulietoa order ndie muhusika mkuu.
Ila alifukuzwa kazi baada ya kujaribu kumshitaki pk ICTR.
 
Mkuu ni story ndefu ukifiatilia sana kuna chief prosecutor wa ICTR wa kwanza ,
Alikuwa na ushahidi wa PK kuangusha ndege ya Juvenile na kushiriki mauaji . Na yeye alisema kuuwawa na Juvenile ndio ilitrigger/ilispark genocide, ulietoa order ndie muhusika mkuu.
Ila alifukuzwa kazi baada ya kujaribu kumshitaki pk ICTR.
Yeah namkumbuka
 
Baada ya hapo sasa ikawaje story haujaimalizia mkuu,
Screenshot_20230610-221316_Chrome.jpg
Screenshot_20230610-221323_Chrome.jpg
Screenshot_20230610-221343_Chrome.jpg
 
Hao waliowawa ndugu walio uwawa 70 ni watusi au wahutu.

Maana kuna baadhi ya watutsi waliuwawa na RPA,
Watutsi wa Bagogwe waliuwawa na macomandoo wa RPA chini ya James kaberebe.
Na watutsi wa Bisesero kama 40,000. Waliwawa kwa amri ya kagame kupitia James kaberebe na Mr Kayonga.
Hao 40,000 walikuwa ni genocide survivor walijikusanya Bisesero hill walisaidia na jeshi la ufaransa kupitia operation toquores. KAGAME alifanya hivyo ili kuonyesha dunia kuwa France hawajafanya kazi yoyote.
Ilikua yoyote wa ukoo wa raisi ni mlengwa so walikua wanajulikana na waliwindwa kama nzi au kumbikumbi ili wauawe....maana ukoo umeoleana jamii zote watusi na wahutu toka enzi na enzi..
 
Mkuu dhambi ya Bisesero itamtafuna Kagame na wale makamanda wa RPA mpaka mwisho......Utauaje watu kambini kama unapulizia dawa ya mbu.......Unaizunguka temporary refugees camp na unaanza kumimina risasi.....
Bila kusahau kibeho massacred by kagame force , more than 4000 hutu civilian massacred , most of them are women, children, elder and sick people.





 
Bila kusahau kibeho massacred by kagame force , more than 4000 hutu civilian massacred , most of them are women, children, elder and sick people.






Bizimungu alimsaliti Juvenal na hakukemea mauaji ya kulipiza kisasi ya Kibeho ambapo watusi walikua wanaua wahutu kwa kulipiza kisasi cha wao kuvamia na intarehamwe wa chama tawala NMRD....
 
Anaog
Anaogopa nn
Tusiyoyajua kuhusu Baba wa Taifa letu

Wapumbavu wenzangu wanaamini alikuwa ni wakala wa CIA sambamba na Keneth Kaunda na walitumika sana kupenyeza watu kule Russia wakijifanya wanafunzi wa Ujamaa lakini kumbe ni majasusi na wakatumika kusaidia kuisambaratisha

pia alitumika ku decolonize Southern of Africa ili Euro izidi kudhoofika …ila haya hayana ushahidi


wanasema alikuwa double Agent ndio sababu alitumwa kuizua Znz isitumbukie kwny Ukomunist, akatumwa kuinyoosha Ureno Kule Msumbiji na Angola hadi wakanyoosha mikono wakakimbia akaingia US kwny migodi na visima vya mafuta


aliigiza haitambui Israel ila Trainers wake wote wamekomazwa Isarel …story za kijinga jinga uswekeni ni nyingi …tuombe uhai tufike na tuyasome ya huyo bibi
 
Back
Top Bottom