smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,564
- 12,014
kuna sehemu yoyote nimeandika kumkumbuka mjomba wako ni dhambu?Mkuu kumkumbuka mjomba wako ni dhambi????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna sehemu yoyote nimeandika kumkumbuka mjomba wako ni dhambu?Mkuu kumkumbuka mjomba wako ni dhambi????
The end is near.........Nahisi ni mechanism ya Kujilinda kwa kagame, kwa hili nakubaliana na Wewe kaka.
Kwa Issue zingine sioni kama kunae shida.
Pamoja na Hayo yote, hii mabadiliko ya Kijeshi aliyoifanya bado inafikilisha, inaweza kuzua mamluki wengi zaidi ndani ya RDF , ngoja tuone.
Jaq nzinza na kengeza lake aliwezaje kuwa na target kali na makini vileAlitungua ndege alikuwa ni second lieutenant Jack nzinza ( kwa sasa ni mstaafu cheo cha generali)ndiye alirusha kombola la 16 IGLA RUSSIAN MADE SURFACE TO AIR MISSILE.
Alikuwepo na James Kaberebe (kwa sasa ni mstaafu cheo cha generali) alikuwa kama msikamizi wa tukio, pamoja alikuwepo na Erick hakizimana. Walikuwepo eneo la Masaka hill kigali usiku saa 2.
Waliondoka Mulindi ( higher commands battalion) kwa kutumia truck mpaka kigali, kisha wakafanya tukio.
Walivyorudi mulindi baada ya kuangusha ndege.
James kaberebe akaimba wimbo huku Askari wa RPA wakirudia. Aliimba kwa kiswahili
"
"Habriymana akifa mimi siwezi kulia nitamtupa kagera, awe chakula cha mamba"
Kama nakuelewa hivi mkuuKifupi we elewa tu kila mtu anabei tunatofautiana kiwango tu!
Tatizo ni kwamba uliingia vipi madarakani na uliishi vipi na watu unaowatawala.!!!! @ Murashani jina langu la utotoni...!!!The end is near.........
Wapo tu ila ndio hivyo wana washauri wabaya kisiasa wanaowadanganya waendelee kubaki madarakaniPk na mwenzie musaba
Mengine yote naweza kua nina mawazo kinzani ila ili la Israel nakuunga mkono ni kweli kabisa...TPDF commando's most of them wamepata train,s kama sio Israel basi ni Cuba.Tusiyoyajua kuhusu Baba wa Taifa letu
Wapumbavu wenzangu wanaamini alikuwa ni wakala wa CIA sambamba na Keneth Kaunda na walitumika sana kupenyeza watu kule Russia wakijifanya wanafunzi wa Ujamaa lakini kumbe ni majasusi na wakatumika kusaidia kuisambaratisha
pia alitumika ku decolonize Southern of Africa ili Euro izidi kudhoofika …ila haya hayana ushahidi
wanasema alikuwa double Agent ndio sababu alitumwa kuizua Znz isitumbukie kwny Ukomunist, akatumwa kuinyoosha Ureno Kule Msumbiji na Angola hadi wakanyoosha mikono wakakimbia akaingia US kwny migodi na visima vya mafuta
aliigiza haitambui Israel ila Trainers wake wote wamekomazwa Isarel …story za kijinga jinga uswekeni ni nyingi …tuombe uhai tufike na tuyasome ya huyo bibi
Hujanielewa mkuu"""Uliposema niendelee kujificha Kagame asijue nilipo"""""nikakuuliza nijifiche kwanini kwani kumkumbuka uncle kwake yeye Kagame ni dhambi au uhaini??????? Nikiwa na maana au yeye kagame hataki watu wamkumbuke JUVENAL HABYARIMANA?????kuna sehemu yoyote nimeandika kumkumbuka mjomba wako ni dhambu?
Habyarimana hakumuua Gregoire,,,ila kuna watu jeshini walikiuka order ya kumuweka raisi in house arrest na wakampiga risasi wakihofia ushawishi wake jeshini......RIP Gregoire Kayibanda and your wife Verdiana Mukagatare
Usipoipenda familia yako au ukoo wako either iwe kwa mababu zako upande wa mama au upande wa baba basi wewe hujui maana halisi ya familia......Thanks mkuuBro unaongea kwa machungu hadi imenigusa aseee, mi pia mkuu imenigusa apumzike salama anko
Yawezekana ila mwili wake ulikutwa na majeraha ya risasi kwa mujibu ya wasimuliaji na yawezekana wale makanali waliokua wanailinda ile nyumba hawakumpa chakula kwa siku nyingi....Unajua siasa za visasi lolote linaweza kufanyika......Na JUVENAL hakuweza kukemea hilo sababu yeye mwenyewe aliwekwa madarakani na hao hao makanali wa kijeshi na walikua wanampangia cha kufanyaMbona ni kama he was starved in house arrest na sio kupigwa risasi
Mkuu ebu fafanua vizuriHata PK na M7 wakifa leo they have good number of years. Wakifa kuna watakaosema eti wamekufa sababu ya matendo yao while ni muda tu umefika na wameishi miaka mingi.
Kila mtu ana njia yake ya kufa. Kifo ni kifo tu. Kuna mema na mabaya wametenda ila kuyaakisi kwa vifo vyao ni kukosa hoja!
Je, wanaokufa kwa ajali wanatoka kanisani au michezoni hawastahili kufa?
Tuache fikra finyu!
The end is near.........
Kwanini aliwapendelea wahutu na kuwasahau watutsi? Ile mbegu ya ubaguzi imeitengeneza Rwanda tunayoiona.Alikua mjomba poa sana na mtu wa familia....Binadamu hakosi mapungufu hasa ukiwa kiongozi wa watu wengi au nchi lakini alikua mtu poa sana enzi hizo nikiwa dogo janja........
😂 😂 😂 😂 😂Je hii maada inauhusiano wowote na Kagame Kufanya mabadiliko makubwa jeshini apa Rwanda
Ndio walivyo wanyarwanda udhaifu wao ni kubaguana...Hata ankoli aliwapendelea watu wa jamii kwa shinikizo la viongozi wenzakeKwanini aliwapendelea wahutu na kuwasahau watutsi? Ile mbegu ya ubaguzi imeitengeneza Rwanda tunayoiona.
HowIt will never last trust me
Kiusahihi kabisa ni HAVYARIMANA (AZAAE NI MUNGU)Hivi ni Habriymana au Habyarimana?????
Yeah upo sahii mkuu,,,,wanyarwanda wanapenda sana visasi.Kuna watu wanamuwinda kagame usiku kucha wamuue ili kulipiza visasi vya miaka ishirini nyuma na yeye anajua hilo....Afu na yeye kuna watu anawawinda kwa visasi vya miaka ya 1952 na 1972...!!!Namaanisha visasi Vitaendelea