Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Hawa jamaa wanakufa KWA aibu sana!!unakaa muda mrefu UNASHINDWA kuandaa deep state ambayo itasimamia muhula wa madaraka KWA kuwaua wanaotaka kuvunja katiba na kuongeza mihula!!?
Hata PK na M7 wakifa leo they have good number of years. Wakifa kuna watakaosema eti wamekufa sababu ya matendo yao while ni muda tu umefika na wameishi miaka mingi.

Kila mtu ana njia yake ya kufa. Kifo ni kifo tu. Kuna mema na mabaya wametenda ila kuyaakisi kwa vifo vyao ni kukosa hoja!

Je, wanaokufa kwa ajali wanatoka kanisani au michezoni hawastahili kufa?

Tuache fikra finyu!
 
Mjomba ni Mama

Nasisitiza wajomba wote waliopo humu Jf ni akina mama, pumzika pahala pema jenerali bylimana
🤣🤣🤣🤣 Tulikua tukikutana in 90,s anauweka uraisi na unajeshi wake pembeni,,,,,,,,alikua mcheshi sana afu kiswahili hajui vizuri na sisi kinyarwanda hatujui🤣🤣 Bi mkubwa ndio mkalimani
Mjomba ni Mama

Nasisitiza wajomba wote waliopo humu Jf ni akina mama, pumzika pahala pema jenerali bylimana
 
Mimi wakuu ninavyojua mimi.
ICTR investigation ya mauaji ya kimbali kuanzia 7/4/1994 to 31/12/1994. waligundua kumba walikufa watu karibu 800,000. Au zaidi ya hao.
Na walitoa na ushahidi wa zile killing zilizokuwa zikitokea.
Walireport kwamba kati ya watu 800,000. Wahutu walikuwa 500,000. Au pengine ni zaidi ya hao waliuwawa na RPA(kagame force), waliobaki ni watutsi waliuwawa na interahamwe.
 
Mimi wakuu ninavyojua mimi.
ICTR investigation ya mauaji ya kimbali kuanzia 7/4/1994 to 31/12/1994. waligundua kumba walikufa watu karibu 800,000. Au zaidi ya hao.
Na walitoa na ushahidi wa zile killing zilizokuwa zikitokea.
Walireport kwamba kati ya watu 800,000. Wahutu walikuwa 500,000. Au pengine ni zaidi ya hao waliuwawa na RPA(kagame force), waliobaki ni watutsi waliuwawa na interahamwe.
Baada ya hapo sasa ikawaje story haujaimalizia mkuu,
 
Ilikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu uliowaamini walikuangusha sababu walikua na uchu wa madaraka na wapinzani wa serikali yako hasa vikundi vya waasi walikua na uchu wa madaraka pia..Wananchi walikua wamechoshwa na siasa za upendeleo wa kikabila zilizokua zinaendeshwa waziwazi na watu uliowakabidhi madaraka ya kuisimamia kiutendaji serikali yako.

Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..

Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,

Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..
Chai hii.
 
Nimechanganya jamii zote mkuu sababu babu zangu wametokea mipakani ....Mkoloni alitugawa kwenye mkutano wa Berlin...
Hao waliowawa ndugu walio uwawa 70 ni watusi au wahutu.

Maana kuna baadhi ya watutsi waliuwawa na RPA,
Watutsi wa Bagogwe waliuwawa na macomandoo wa RPA chini ya James kaberebe.
Na watutsi wa Bisesero kama 40,000. Waliwawa kwa amri ya kagame kupitia James kaberebe na Mr Kayonga.
Hao 40,000 walikuwa ni genocide survivor walijikusanya Bisesero hill walisaidia na jeshi la ufaransa kupitia operation toquores. KAGAME alifanya hivyo ili kuonyesha dunia kuwa France hawajafanya kazi yoyote.
 
Hao waliowawa ndugu walio uwawa 70 ni watusi au wahutu.

Maana kuna baadhi ya watutsi waliuwawa na RPA,
Watutsi wa Bagogwe waliuwawa na macomandoo wa RPA chini ya James kaberebe.
Na watutsi wa Bisesero kama 40,000. Waliwawa kwa amri ya kagame kupitia James kaberebe na Mr Kayonga.
Hao 40,000 walikuwa ni genocide survivor walijikusanya Bisesero hill walisaidia na jeshi la ufaransa kupitia operation toquores. KAGAME alifanya hivyo ili kuonyesha dunia kuwa France hawajafanya kazi yoyote.
Eehe ikawaje mkuu endelea ngoja nisogeze popcorn zangu na karanga na chupa la juice
 
Fact,s
Juve hakumuua Kayabanda bali kanali Nyugera ndio alikiuka maagizo ya kumweka kwenye house arrest akaamuru asikari aliokua nao wampige risasi......Juve hakutoa order hiyo ila aliamua kukaa kimya kwa kuogopa wanajeshi wenzie waliomuweka madarakani
Mbona ni kama he was starved in house arrest na sio kupigwa risasi
 
Back
Top Bottom