Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Eti unasema Mobutu Kuku Ngbengo wa Zabanga alikuwa rafiki
Huyu Mobutu aliyeuwa kijana wetu Lumumba?
Kwa hiyo unahitimisha wote walikuwa washenzi, na hakuna hasara wote wakifyekelewa mbali
Unajua aliyemuua Lumumba ni Tshombe?????? Mobutu alikua mtekelezaji tu,au hujui siasa za Congo miaka ya 1960,s?????? Fuatilia vizuri siasa za Congo mkuu
 
Tanzania tulifanya kosa kubwa saana kuacha kuzichukua Rwanda na Burundi after independence ili kuirudhisha mipaka yetu ya awali (Germany east Africa) ilyokuwa no tanganyika rwanda na burundi ambapo baada ya vita vya kwanza vya dunia Tanganyika alipewa Muingereza na Rwanda na burundi akapewa mbelgiji naiman hizo nchi mbili zisingepitia mambo zilizoyapitia na hii leo zingekuwa ni sehemu ya Tanzania.
Bado kungekua na vurugu kama mashariki mwa Congo mkuu
 
Ubaguzi wa kikabila au kidini ni hatari kwa kiongozi.

Asante nimesoma chapisho lako.

Umemtaja Mabutu Seseseko, ni mtu pia sijui mengi kuhusu yeye, japo nasikia pamoja na yote naye alikufa akazikwa na wana familia tu.

Pole mjomba.
 
Bado kungekua na vurugu kama mashariki mwa Congo mkuu
Wale shida zao ni lack of civilization na power struggle kwa kuwa ndani ya Tanzania hayo matatzo mawili yote yangekuwa solved at once kwa kuwafanya wawe civilized kwa kuachana na mambo ya ukabila na kujichanganya na zaid ya makabila 120 kama tulivyo sisi Tz kwa sasa pili kuhusu power struggle wangetulia sababu utawala ungekuwa hauna misingi ya kikabila so makabila yao yangebakia kuwa kama utambulisho tu na wachache ambao wangeleta makeke tungeshughurika nao vikali na kuhakikishia wangetulia na hizo vurugu wala zisingekuepo.
Kuhusu haya machafuko ya drc hiyo ni michezo tu ya western powers na inapata nguvu sababa DRC is a failed state ambayo haina uwezo wa kupigana vita.
 
Ubaguzi wa kikabila au kidini ni hatari kwa kiongozi.

Asante nimesoma chapisho lako.

Umemtaja Mabutu Seseseko, ni mtu pia sijui mengi kuhusu yeye, japo nasikia pamoja na yote naye alikufa akazikwa na wana familia tu.

Pole mjomba.
Alikufa pale kwenye hospital ya jeshi central Rabat na aliishi kitongoji cha kusini mwa Rabat.Na alizikwa kwenye makaburi ya wakrsto pale pale Rabat.Alikua na huzuni sana kabla ya kifo chake sababu marafiki zake woote walimgeuka.""Wakati amezidiwa jumapili ile usiku,aliwaambia wanaomuuguza kua wamrudishe kinshasa akawaombe msamaha wazaire maana wameteseka sana kwa sababu yake.Wakamjibu haiwezekani kwa hali yako kusafiri,na usiku ule alipokuja mfalme Hassan wa morroco kumjulia hali akamwambia nitafutie padri nitubu maana sina mda wa kuishi tena..Mfalme Hassan akamjibu sisi ni waislamu hatuna padri labda tukuombee dua tu afu familia yako watakuombea sala za kikrsto.Bas wakamfanyia dua na wakamwacha yeye na familia yake wakisali.Usiku ule ule wa September 7 1997 Mzee mobutu akafariki dunia.
 
Wale shida zao ni lack of civilization na power struggle kwa kuwa ndani ya Tanzania hayo matatzo mawili yote yangekuwa solved at once kwa kuwafanya wawe civilized kwa kuachana na mambo ya ukabila na kujichanganya na zaid ya makabila 120 kama tulivyo sisi Tz kwa sasa pili kuhusu power struggle wangetulia sababu utawala ungekuwa hauna misingi ya kikabila so makabila yao yangebakia kuwa kama utambulisho tu na wachache ambao wangeleta makeke tungeshughurika nao vikali na kuhakikishia wangetulia na hizo vurugu wala zisingekuepo.
Kuhusu haya machafuko ya drc hiyo ni michezo tu ya western powers na inapata nguvu sababa DRC is a failed state ambayo haina uwezo wa kupigana vita.
Mkuu ebu fafanua kidogo kama nakuelewa hv
 
Tanzania tulifanya kosa kubwa saana kuacha kuzichukua Rwanda na Burundi after independence ili kuirudhisha mipaka yetu ya awali (Germany east Africa) ilyokuwa no tanganyika rwanda na burundi ambapo baada ya vita vya kwanza vya dunia Tanganyika alipewa Muingereza na Rwanda na burundi akapewa mbelgiji naiman hizo nchi mbili zisingepitia mambo zilizoyapitia na hii leo zingekuwa ni sehemu ya Tanzania.
Kama rwanda na burundi zingechukuliwa na Tanzania leo zingekuwa hazina tofauti na kigoma
 
Tanzania tulifanya kosa kubwa saana kuacha kuzichukua Rwanda na Burundi after independence ili kuirudhisha mipaka yetu ya awali (Germany east Africa) ilyokuwa no tanganyika rwanda na burundi ambapo baada ya vita vya kwanza vya dunia Tanganyika alipewa Muingereza na Rwanda na burundi akapewa mbelgiji naiman hizo nchi mbili zisingepitia mambo zilizoyapitia na hii leo zingekuwa ni sehemu ya Tanzania.
Wangetusumbu sana.
 
Wale shida zao ni lack of civilization na power struggle kwa kuwa ndani ya Tanzania hayo matatzo mawili yote yangekuwa solved at once kwa kuwafanya wawe civilized kwa kuachana na mambo ya ukabila na kujichanganya na zaid ya makabila 120 kama tulivyo sisi Tz kwa sasa pili kuhusu power struggle wangetulia sababu utawala ungekuwa hauna misingi ya kikabila so makabila yao yangebakia kuwa kama utambulisho tu na wachache ambao wangeleta makeke tungeshughurika nao vikali na kuhakikishia wangetulia na hizo vurugu wala zisingekuepo.
Kuhusu haya machafuko ya drc hiyo ni michezo tu ya western powers na inapata nguvu sababa DRC is a failed state ambayo haina uwezo wa kupigana vita.
Yaani tungekua na watu 24m zaidi!?..acha ujinga babu!..wachache wabanane huko kwenye vikorido vyao wanaita nchi
 
Huyo hapo Juve
Screenshot_20230620-132122.jpg
 
Huyo acha aende tu
Dunia imejaa uovu kupingana nao ni shughuri pevu,magu alikuwa na ubaya Gani ?ujinga kama ule wa Arusha,utitiri wa byuro Kila Kona kuhamisha Dola,mwenye akili lzm achukue hatua kama za magu,kucheka na wahuni mwisho wake aibu.Mwacheni mwamba alale.
 
Alikua mjomba poa sana na mtu wa familia....Binadamu hakosi mapungufu hasa ukiwa kiongozi wa watu wengi au nchi lakini alikua mtu poa sana enzi hizo nikiwa dogo janja........
nipe connection brother kweli ndugu yako nahangaika wakati upo umetoka kwenye royal family... brother nisaidie kijana wako... nipe connection ya kutoka nje huko nikapambane​
 
Alikufa pale kwenye hospital ya jeshi central Rabat na aliishi kitongoji cha kusini mwa Rabat.Na alizikwa kwenye makaburi ya wakrsto pale pale Rabat.Alikua na huzuni sana kabla ya kifo chake sababu marafiki zake woote walimgeuka.""Wakati amezidiwa jumapili ile usiku,aliwaambia wanaomuuguza kua wamrudishe kinshasa akawaombe msamaha wazaire maana wameteseka sana kwa sababu yake.Wakamjibu haiwezekani kwa hali yako kusafiri,na usiku ule alipokuja mfalme Hassan wa morroco kumjulia hali akamwambia nitafutie padri nitubu maana sina mda wa kuishi tena..Mfalme Hassan akamjibu sisi ni waislamu hatuna padri labda tukuombee dua tu afu familia yako watakuombea sala za kikrsto.Bas wakamfanyia dua na wakamwacha yeye na familia yake wakisali.Usiku ule ule wa September 7 1997 Mzee mobutu akafariki dunia.
tabu ipi Wazaire waliipata kutokana na mzee MOBUTU...?
 
Ninakumbuka nilikuwa darasa la kwanza,siku hiyo tulikwenda shule tukarudishwa.Ndege ya marais imetunguliwa walikuwa wanatoka Arusha kwenye mkutano wa mapatano.Kweli Kagame ni hatari
Una ushahidi kagame alitungua. Tuache uongo. Kagame tupo Uganda anatunguaje ndege ipo anga ya Kigali?
 
Hivi kwa hilo kwa nini Burundi haikumshitaki Kagame katika mahakama ya kiuhalifu the hague kwa Kumua Rais wa watu wa Burundi ambae hakuwa na hatia ?
Ni kagame?. Tatizo mnapika stori halafu mnalazimisha iwe kweli. Katafute chanzo Cha kifo Cha Rias wa Egypt Anwar Sadat halafu urudi hapa.
 
Back
Top Bottom