Rest in peace Keron (Juliana Kanyomozi's son)

Rest in peace Keron (Juliana Kanyomozi's son)

Thx buddy... ni dawa gani hizo nijaribu kutumia.. kifo cha Keron kimenigusa sana

Wamasai wale wa vijijini wanazo cjui wanachanganya miti shamba na mafuta ya ngombe,mana wamasai wanaugua sana asthma na tb
 
Pole Juliana am with u katika kipindi hiki kigumu cha kupotelewa na malaika wako may he rest in peace
Nakukumbuka sana kwa nyimbo zako za Nabikowa na ule wa Alicios Mpita njia
 
TATIANA kama hujafikisha miaka 30 huu ugonjwa unatibika.huu ugonjwa unanitesea mwanangu

Asante The secretary pole sana na wewe kwa kuuguza mara kwa mara..

Ni dawa gani hyo inayoponyesha mamii? Za mitishamba nilishatumia za pale muhimbili traditional clinic But sikupona though zilituliza tu kwa muda.

So far ninatumia inhalers tu na mafuta flan hivi ya kucontrol allergy.

Kama mwanao anapata na allergy tafuta Olbas oil (infants ) ni nzuri sana.
 
Last edited by a moderator:
Asante The secretary pole sana na wewe kwa kuuguza mara kwa mara..

Ni dawa gani hyo inayoponyesha mamii? Za mitishamba nilishatumia za pale muhimbili traditional clinic But sikupona though zilituliza tu kwa muda.

So far ninatumia inhalers tu na mafuta flan hivi ya kucontrol allergy.

Kama mwanao anapata na allergy tafuta Olbas oil (infants ) ni nzuri sana.

Asante anatumia inhaler yeye akipata kikohozi ndo kinambana
 
Last edited by a moderator:
My condolences to Juliana, may his little Keron soul rest in peace.


 
TATIANA kama hujafikisha miaka 30 huu ugonjwa unatibika.huu ugonjwa unanitesea mwanangu
Pole TATIANA na The secretary kuwa kuuguza huu ugonjwa unatesa sana.Nina mtt wa dadaangu jmn ikimbana aisee huwa hatulali.R.I.P Keron
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom