Rest In Peace Kizzo Gunz

Rest In Peace Kizzo Gunz

[HASHTAG]#mzigua[/HASHTAG]90 [HASHTAG]#nyaningabu[/HASHTAG] kuna kitu hamjakitaja kuhusu Marhum alikuwa Muasisi wa mtandao maarufu wa enzi zile kabla ya Jambo forums/Jamii Forums. RIP Franklin.

Kizzo Gunz, alikuwa kati wa waasisi wa JamiiForums wakati ule tunaita JamboForums. Alikuwepo sana hapa.

Lala salama Franklin Ndosi aka Kizzo Gunz. Pumzika sasa, na lala Salama. Amina.
 
Nenda Tanga na Mombasa ndio stahili za mashoga kujitambulisha.
Hili lipo wazi na linajulikana.
sasa usihukumu kwa jumla.
kama haujawahi kumuona MTU akifanyiwa huo mchezo.utamuitaje shoga.
wewe huyu marehemu UNAMJUA?ALISHAWAHI KUKWAMBIA KWAMBA YEYE NI SHOGA?
 
Huyo maarufu kitambo toka miaka ya 2000 kupanda
Umaarufu wake ni kwenye masuala gani hasa?.
Wekeni wazi mnaomjua muondoe hii Shaka, isije ikawa alikuwa maarufu kwenye mambo ya aibu manake Mimi ndivyo navyohisi, umaarufu gani ambao haujulikani kwenye jamii, umaarufu gani wa private,
 
Foleni inasogea.
Jiandae trainer.
Pole mwaya
Rest in power schoolmate!

We hung out a lot back in the day.

Skipped a lot of classes together just to go eat at our favorite ‘chips’ joint...Kwa Shirima.

On Sunday we kicked it at Coco beach! Flossing the latest sneakers, pushing our parents’ whips while bumping the hottest hip hop joints while gangsta leanin’ at the same time....just to mack at the shorties.

Herbert is gone. Now you are gone. Sitting here wondering who’s next? Me? Dassu? Gwamaka? Harold? Kunda?

Oh well such is life, though. Rest well hommie.
 
Foleni inasogea.
Jiandae trainer.
Pole mwaya

I hope nitafia hapa.....lightweight baby! Let’s gooooo G!!

CEBA23B9-D01A-4275-BF49-8C25ADBA6B0B.jpeg
 
Back
Top Bottom