Rest In Peace Kizzo Gunz

Rest In Peace Kizzo Gunz

Duh!hizi sasa sifaa NN kingereza km kichina [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Pole kwa msiba
Vipi madam jamaa hakupitamo kwako? Maana naona wengi humu kapita nao ndio maana wanamlilia ilhali kwa sisi wanaume hata kumjua hatumjui
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Nimefurahi sana hii thread. Apumzike kwa amani.
 
UKIMWI UTAUA WENGI SANA,ULIANZA NA WAKINA AMINA CHIMNOFU,MO MPAKABARABARA,MPAKA NA WAKINA MPAKA NA SISI WAVUA KONDOO AMBAO TWAWALA KONDOO WETU WADOGO KWA WAKUBWA,SUBWAHANA MAULANA TUHURUMIE.
ANY WAY RIP WE JAMAA
NI KAZEZE NI KAZEZE.
 
Vipi madam jamaa hakupitamo kwako? Maana naona wengi humu kapita nao ndio maana wanamlilia ilhali kwa sisi wanaume hata kumjua hatumjui
[emoji1] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji1] [emoji124] [emoji124]
 
[emoji1] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji1] [emoji124] [emoji124]
Ungekomaa tu na mtungo saiz ungekuwa bosslady kujifanya mtakatifu ka bikira maria ona saiz unakula vumbi la chaki tu[emoji3] [emoji6]
 
Ungekomaa tu na mtungo saiz ungekuwa bosslady kujifanya mtakatifu ka bikira maria ona saiz unakula vumbi la chaki tu[emoji3] [emoji6]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] tatizo Mimi ni muumini wa mapenzi moyo
 
wamasai wote ni wanawake?
acheni kujadili maisha ya MTU.
SIO KILA MWANAUME ANAE VAA HERENI NI SHOGA.
unaweza ukawa shoga na usivae hereni.
Hata sisi wakurya wanaume walikuwa wanatoboa masikio na kuvaa hereni
 
You are missing a point hapa! Nia ya huyo jamaa anataka kutufunza tuliobaki kuwa waangalifu na muonekano wako. Obvious ukivaa hereni tutakufikiria kuna wanaume wanakufaidi.
Wewe ni mtoto wa jana, makabila mengi ya wafugaji wanaume walikuwa wanavaa hereni, sio kitu kipya leo
 
Back
Top Bottom