2006-2008, yaani kipindi tunaingia Tosa ndio hao kina Elias walikuwa wametoka na matokeo yao tulikuta yamebandikwa. Alikuwa gumzo!!! Nakumbuka kuna kipindi alikuja kupiga pindi la Physics ndipo nilipomuona, alikuwa na bonge la afroMkuu ulipita hapo mwaka gani
Walimu vyuoni wanajionaga Miungu watu kazi kutesa watu na kukomoa tu, bila sababu aisee, elimu ya bongo utopolo mtupuNaweza kuielewa hali yako japo sikufahamu. Lakini ningebahatika kukuona kabla hujajiunga na chuo ningekupa somo la unyenyekevu. Chuo ni miaka michache tu, usingepoteza chochote kunyenyekea muda huo mfupi. JK alisema ni upepo tu, utapita. Baada ya hapo vyeti vyako vingekusemea kila mahali, na hata watu wangesema u mtu mzuri. Pengine hujachelewa, fanya hivyo hata sasa.
Mimi ni mwalimu nimefundisha wanafunzi wengi wa aina yako, na kwa ushauri wangu huu wananiheshimu hata sasa.
Andika na wewe tuonePhysics kitu gani? Kuna tofauti gani na Geography au Maths?...
Sasa wewe ulitaka afanye nini?Kutokana na kauli za wengi humu, jamaa ana arrogance ya kufa mtu.
Aliona kufundisha ndo kila kitu maishani.
Nilimaliza hapo form four 2000 Mandela no.952006-2008, yaani kipindi tunaingia Tosa ndio hao kina Elias walikuwa wametoka na matokeo yao tulikuta yamebandikwa. Alikuwa gumzo!!! Nakumbuka kuna kipindi alikuja kupiga pindi la Physics ndipo nilipomuona, alikuwa na bonge la afro
Duh wewe mkongwe, mimi nilikuwa Mandela Annex no 80 kama sijasahauNilimaliza hapo form four 2000 Mandela no.95
Ku disko ni kuwa discontinued... kwa sababu mbali mbaliKu disco ni kufeli?
Kwahiyo mkuu unataka kusema kwamba huyo jamaa hakuwa Genius??Ku disko ni kuwa discontinued... kwa sababu mbali mbali
Angekuwa amefukuzwa kwa kuchochea maandamano ya wanafunzi kupinga ugali mbichi wa kantini tungeambiwa
His legacy is a mixed bag. Aliongoza Form 6, akafeli chuo.
A genius? It is what it isn't.
You can't cherry pick among the record you,
Humjui jamaa, jamaa hakariri swali la Physics ya Advance anatoa majibu alternatives 3.Physics ya Advance ni pasua kichwa
Muulize yeye ameshawahi andika kitabu gani?Mkuu kuandika kitabu tena Cha physics unaona ni Jambo dogo??
Hivi unaichukuliaje physics lakini?!?
Kasoro mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii ndio JF kila mtu alikuwa kipanga, ana gari kali, ana maisha bora.
Na wewe kariri upate Kama yeye kama unadhani ni rahisi.Ana kariri sema ka Invent nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muulize yeye ameshawahi andika kitabu gani?
Hivi Kuna waalimu wanatesa wanafunzi?!?! How?!?!Walimu vyuoni wanajionaga Miungu watu kazi kutesa watu na kukomoa tu, bila sababu aisee, elimu ya bongo utopolo mtupu
Ukongwe gani?! Mimi nilikuwa hapo 1966...tehtehteh...a joke pleaseDuh wewe mkongwe, mimi nilikuwa Mandela Annex no 80 kama sijasahau
Mkuu kuandika kitabu tena Cha physics unaona ni Jambo dogo??
Hivi unaichukuliaje physics lakini?!?