Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Naye awe TO tuoneHuyu jamaa ana wivu, hataki kukubaliana na ukweli kwamba Elias Alikuwa anajua mambo na si kujua tu alikuwa na uwezo wa pekee.
Physics, Mathematics na Chemistry na hata Biology, haya masomo kuandika chake na kikapokelewa na watu na bado kikaleta impact kubwa kwenye ufaulu wao hawa watu walionunua kitabu hicho si jambo dogo na si jambo ka mzaha mzaha. Elias alikuwa na uwezo wa Pekee, Mungu amlaze pema anapostahili.
Kwani kufaulu na kupata grade kubwa ndio kuwa na akili?
Physics tunafanya integration ,geography je Kuna differentiationPhysics kitu gani? Kuna tofauti gani na Geography au Maths?
Kwani ameandika vitu ambavyo havijawahi kuwepo? Si vitu vilevile vipo kwenye mtaala wa serikali? Kuna invention yeyote ameifanya? Kuna paper yeyote ame-publish kwenye reputable journal?
Hata mimi binafsi naweza kuandika kitabu cha econometrics bila tatizo. Japo kuna watu wanaona ni somo gumu ajabu.
Kuandika kitabu ni tofauti kabisa na kuandika paper. Lazima ujifungie kufanya utafiti uje na kitu kipya kabisa then ufanye publication. Ni tofauti sana na kuandika kitabu.
Duh wewe ni mkongweNilimaliza hapo form four 2000 Mandela no.95
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii ndio JF kila mtu alikuwa kipanga, ana gari kali, ana maisha bora.
Acha kamba. Nimesoma UDSM, hizo ngonjera za kufelishwa waambie malofa wenzako
Andika na wewe tuone
Hiyo physics unaiona lelemama??
Sasa unalinganisha physics na econometrics??mkuu upo serious kweli?!?
Pata na wewe 99% ya phisics tuamini kama kwako ni ya kawaida.
Hivi Kuna waalimu wanatesa wanafunzi?!?! How?!?!
Jamaa ana utani SanaPhysics tunafanya integration ,geography je Kuna differentiation
Mimi nitamuelewa endapo ataniambia alisoma physics na akapasua Kama mshikajiAchana naye huyo Bumunda tu, yaani anaona physics somo la kawaida tu yaani daaah.! Kuna watu envious aseee.! Anashindwa ku acknowledge ubora wa mshikaji.!
Wabongo ndio zao. Mtu husomi, vipindi haupo,.. Then unategemea kufaulu. 😂Jamaa wanafeli wanasema wamefelishwa [emoji3][emoji3]
Wala hujamchanganya. Chegere alianza kazi BOT na ndipo baadae akarudi Chuo kusoma na kuamua kufundisha. Hadi leo yupo UD - Economics DepartmentBasi nmemchanganya na somebody Moses mwizarubi
Yaah mwizarubi ndo yupo Bot
Walter nae alikuwa mkali kimtindo,alinifundisha alternative fulani hivi za practicals za physics.Dah huyu mwamba story zake nimesikia sana, Minaki sijui kama alifika ila walipitaga kina Walter tu...
Moody physics alifariki mkuu.. nimesoma sana kwake, notes zake zilikua zinakupa hints ukachimbe zaidi..
Amefeli au ameDisco mbona uwelewi tofauti ya hivi vitu viwiliHow is it difficult to follow your passion in Tanzania?
Amesoma PCM, the one and only combination from which you can advance and study anything in college as long as you passed the missing subject in O Level, this according to UDSM admission prospectus.
Ame apply Engeneering mara mbili, kapata, Sasa Tanzania imemnyima nini?
Hapendi vipi Engeneering wakati ame apply mwenyewe mara mbili ????
Eti ana passion ya kufundisha lakini hakutaka kusoma ili awe mwalimu. He academic choices were a mess.
Mwamba wa Physics, tena mwenye passion ya Modern Physics, anafeli vipi Electronic / IT / Communication Engineering? Halafu tunataka kuilaumu Tanzania. Mbona nerds wengine hawafeli chuo?
The guy was unfocused and reckless.
Bro, comments zako zina demostrate how smart guy you are.Kutokana na kauli za wengi humu, jamaa ana arrogance ya kufa mtu.
Aliona kufundisha ndo kila kitu maishani.
Pamoja kwamba watu walikuwa wanajua sana kukariri/kumeza lakini form six wakataga mayai matatu ya PCM, PCB hata GS nayo wakala mswaki, Tuulize tulio soma mzee haya masomo, utakariri definition na principles tu , identity . Ila vingine inabidi uchezeshe ubongo.Ana kariri sema ka Invent nini?
Yaani we acha tu!!!,Hapa JF watu wengine wanajifanya wajuaji sana hata kubeza mafanikio ya watu wengine.Mtu muungwana hukubali mafanikio ya mwenzake lkn asiye muungwana huyabeza hata km yeye hajawahi fanya chochote na hajui kitu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute hata hiyo physics hawaijui
Jf ni kiboko sana
Hakika mkuu,tuliopita humo tunafahamu Muziki wake,si jambo la kubeza .Huyu jamaa ana wivu, hataki kukubaliana na ukweli kwamba Elias Alikuwa anajua mambo na si kujua tu alikuwa na uwezo wa pekee.
Physics, Mathematics na Chemistry na hata Biology, haya masomo kuandika chake na kikapokelewa na watu na bado kikaleta impact kubwa kwenye ufaulu wao hawa watu walionunua kitabu hicho si jambo dogo na si jambo ka mzaha mzaha. Elias alikuwa na uwezo wa Pekee, Mungu amlaze pema anapostahili.
Kwenye timetable yangu ya kujisomea,Geography ilikuwa hainipi presha ya kusoma,yaani kwa wiki naweza ipitia Mara mbili tu,lkn Physics, Hesabu,Chemistry, Biology, nilikuwa natamani niwe nayasoma muda wote,Pamoja na hayo bado Geography haikuniangusha,sasa kufananisha Geo na Physics ni makosa.Jamaa ana utani Sana
Yaani physics akaanze kulinganisha na Geography [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]fish farming industry
Asee[emoji1787]