How is it difficult to follow your passion in Tanzania?
Amesoma PCM, the one and only combination from which you can advance and study anything in college as long as you passed the missing subject in O Level, this according to UDSM admission prospectus.
Ame apply Engeneering mara mbili, kapata, Sasa Tanzania imemnyima nini?
Hapendi vipi Engeneering wakati ame apply mwenyewe mara mbili ????
Eti ana passion ya kufundisha lakini hakutaka kusoma ili awe mwalimu. He academic choices were a mess.
Mwamba wa Physics, tena mwenye passion ya Modern Physics, anafeli vipi Electronic / IT / Communication Engineering? Halafu tunataka kuilaumu Tanzania. Mbona nerds wengine hawafeli chuo?
The guy was unfocused and reckless.