TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Huyu jamaa ana wivu, hataki kukubaliana na ukweli kwamba Elias Alikuwa anajua mambo na si kujua tu alikuwa na uwezo wa pekee.
Physics, Mathematics na Chemistry na hata Biology, haya masomo kuandika chake na kikapokelewa na watu na bado kikaleta impact kubwa kwenye ufaulu wao hawa watu walionunua kitabu hicho si jambo dogo na si jambo ka mzaha mzaha. Elias alikuwa na uwezo wa Pekee, Mungu amlaze pema anapostahili.
Naye awe TO tuone
 
Physics kitu gani? Kuna tofauti gani na Geography au Maths?

Kwani ameandika vitu ambavyo havijawahi kuwepo? Si vitu vilevile vipo kwenye mtaala wa serikali? Kuna invention yeyote ameifanya? Kuna paper yeyote ame-publish kwenye reputable journal?

Hata mimi binafsi naweza kuandika kitabu cha econometrics bila tatizo. Japo kuna watu wanaona ni somo gumu ajabu.

Kuandika kitabu ni tofauti kabisa na kuandika paper. Lazima ujifungie kufanya utafiti uje na kitu kipya kabisa then ufanye publication. Ni tofauti sana na kuandika kitabu.
Physics tunafanya integration ,geography je Kuna differentiation
 
Andika na wewe tuone
Hiyo physics unaiona lelemama??
Sasa unalinganisha physics na econometrics??mkuu upo serious kweli?!?

Pata na wewe 99% ya phisics tuamini kama kwako ni ya kawaida.

Achana naye huyo Bumunda tu, yaani anaona physics somo la kawaida tu yaani daaah.! Kuna watu envious aseee.! Anashindwa ku acknowledge ubora wa mshikaji.!
 
Achana naye huyo Bumunda tu, yaani anaona physics somo la kawaida tu yaani daaah.! Kuna watu envious aseee.! Anashindwa ku acknowledge ubora wa mshikaji.!
Mimi nitamuelewa endapo ataniambia alisoma physics na akapasua Kama mshikaji
 
Nikiona neno T.O nakumbuka mabweni ya kijiji cha Mirambo pale Mzumbe ambapo huwa wanalala vipanga kama mimi
 
Dah huyu mwamba story zake nimesikia sana, Minaki sijui kama alifika ila walipitaga kina Walter tu...

Moody physics alifariki mkuu.. nimesoma sana kwake, notes zake zilikua zinakupa hints ukachimbe zaidi..
Walter nae alikuwa mkali kimtindo,alinifundisha alternative fulani hivi za practicals za physics.
 
How is it difficult to follow your passion in Tanzania?

Amesoma PCM, the one and only combination from which you can advance and study anything in college as long as you passed the missing subject in O Level, this according to UDSM admission prospectus.

Ame apply Engeneering mara mbili, kapata, Sasa Tanzania imemnyima nini?

Hapendi vipi Engeneering wakati ame apply mwenyewe mara mbili ????

Eti ana passion ya kufundisha lakini hakutaka kusoma ili awe mwalimu. He academic choices were a mess.

Mwamba wa Physics, tena mwenye passion ya Modern Physics, anafeli vipi Electronic / IT / Communication Engineering? Halafu tunataka kuilaumu Tanzania. Mbona nerds wengine hawafeli chuo?

The guy was unfocused and reckless.
Amefeli au ameDisco mbona uwelewi tofauti ya hivi vitu viwili
 
Kutokana na kauli za wengi humu, jamaa ana arrogance ya kufa mtu.

Aliona kufundisha ndo kila kitu maishani.
Bro, comments zako zina demostrate how smart guy you are.

Ila nikukumbushe kitu, huyo TO kwa sasa ni marehemu, hawezi kujitetea wala hawezi kuomba radhi kwa mapungufu yake aliyokuwa nayo kipindi cha uhai.

Kwa maana hiyo basi, we should all go easy on him. Yaliyobaki tumuachie Muumba wake akamuhukumu.

Nikupongeze kwa mara nyingine kwa comments zako. Especially kule kwenye jukwaa la vyombo vya moto.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute hata hiyo physics hawaijui

Jf ni kiboko sana
Yaani we acha tu!!!,Hapa JF watu wengine wanajifanya wajuaji sana hata kubeza mafanikio ya watu wengine.Mtu muungwana hukubali mafanikio ya mwenzake lkn asiye muungwana huyabeza hata km yeye hajawahi fanya chochote na hajui kitu.
 
Huyu jamaa ana wivu, hataki kukubaliana na ukweli kwamba Elias Alikuwa anajua mambo na si kujua tu alikuwa na uwezo wa pekee.
Physics, Mathematics na Chemistry na hata Biology, haya masomo kuandika chake na kikapokelewa na watu na bado kikaleta impact kubwa kwenye ufaulu wao hawa watu walionunua kitabu hicho si jambo dogo na si jambo ka mzaha mzaha. Elias alikuwa na uwezo wa Pekee, Mungu amlaze pema anapostahili.
Hakika mkuu,tuliopita humo tunafahamu Muziki wake,si jambo la kubeza .
 
Jamaa ana utani Sana
Yaani physics akaanze kulinganisha na Geography [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]fish farming industry
Asee[emoji1787]
Kwenye timetable yangu ya kujisomea,Geography ilikuwa hainipi presha ya kusoma,yaani kwa wiki naweza ipitia Mara mbili tu,lkn Physics, Hesabu,Chemistry, Biology, nilikuwa natamani niwe nayasoma muda wote,Pamoja na hayo bado Geography haikuniangusha,sasa kufananisha Geo na Physics ni makosa.
 
Back
Top Bottom