TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Wakati nafika advance Tanga tech story za huyu mtu nilizikuta, kuna darasa moja kati ya madarasa ya advance kuna maneno yameandikwa nanukuu"Elias mtu na nusu" nadhani wahusika waliandika katika kuonesha kumkubali jamaa, story zinasema zaidi vile vitabu ambavyo wanafunzi wengi huvikwepa yeye ndio alipenda kuvitumia mfano nelkon, roger, UP (university physics) kwa upande wa physics, waliosoma physics advanced level watakuwa wanaelewa zaidi hapa, ndio maana mtu anaesema jamaa alikuwa anakariri namshangaaaa unakariri physics utakariri vingapi?

Nadhani alikuwa ni gifted(wakati mwingine kumkubali mtu hakukupunguzii kitu sio kila kitu ni kupinga) kwa niaba ya watoto wa Tanga tech, niseme REST IN PEACE MTU NA NUSU.

Tusisahau kuwa karibu na muumba wetu pamoja na vyote tunavofanya, duniani mapito, ulale mahali unapostahili, AMEN
 
About imagination, I ever imagine something about 2years ago then I found out people have been working on it since 80s exactly the way I thought
I am not arguing with you about anything.

But don't say man was a layer Cramer unamkosea sana.

He just lacked motivation, though i did my part but it was not enough.
 
Huyu jamaa mwenye Cap. Enzi hizo Tosa boys

IMG-20201119-WA0004.jpg
 
jamaa likuwa anasema kuwa record yake ya phy na namba haijawai fikiwa, sijui kama ni kweli coz 1.3 zilikuwpo za wamba wengi,
na jamaaa alikuwa anamponda sana mgote.
honest mimi kwangu ndo my best phyics Teacher ingawa alikuwa amezidi sifa

Ndio ni vigumu kufikiwa
Jamaa alipata 98%
Ya physics
97% chem
99% math
98% Gs

Sa kuna TO anaweza kufikia hapo
 
Ok he was talking about relativity the way I heard it. Inawezekana alisoma mimi sikusoma kipengele hiko bado inabaki kua alikua mkaririji mzuri. I know our education system ni kuzalisha watu wenye uwezo wa kukariri maswali, formulas na definition
Lakini kukariri physics au mathematics sio rahisi wewe
Inawezekana huyajui hayo masomo aisee
Huyo atakuwa alikuwa na uwezo wake tu mkubwa kiakili
Usifikiri kila kitu NI Cha kukariri
 
Lakini kukariri physics au mathematics sio rahisi wewe
Inawezekana huyajui hayo masomo aisee
Huyo atakuwa alikuwa na uwszo wake tu mkubwa kiakili
Usifikiri kilakitu NI Cha kukariri
Sasa Elias alikua anakupa alternative tatu ya swali moja utasemaje huyo mtu anakariri, Mimi tu physics nilikua sikariri and that made us different.

Anyway sijataka kubishana na huyo da Vinci because hamjui.

Mimi nmekaa nae nmeishi nae, nmesoma nae pia.
 
Wakati nafika advance tanga tech story za huyu mtu nilizikuta,,,kuna darasa moja kati ya madarasa ya advance kuna maneno yameandikwa nanukuu"elias mtu na nusu" nazani wahusika waliandika katika kuonesha kumkubali jamaa ,story zinasema zaidi vile vitabu ambavyo wanafunzi wengi hivikwepa yeye ndo alipenda kuvitumia mfano nelkon,roger,UP(university physics) kwa upande wa physics,,waliosoma physics advanced level watakuwa wanaelewa zaidi hapa,,ndo mana mtu anaesema jamaa alikuwa anakariri namshangaaaa unakariri physics utakariri vingapi????nazani alikuwa na gifted(wakati mwingine kumkubali mtu hakukupunguzii kitu sio kila ktu ni kupinga) kwa niaba ya watoto wa tanga tech ,,niseme REST IN PEACE MTU NA NUSU,,tusisahau kuwa karibu na muumba wetu pamoja na vyote tunavofanya,duniani mapito,,ulale mahali unapostahili,AMEN
Eti ukariri physics,
Maths
Chem?
Hilo gumu

Huyo alikuwa gifted na watu wenye uwezo mkubwa kiakili huwa wako hivyo wanafanya vitu tofauti na watu wengine, Mambo magumu ndio wanataka kujifunza siku zote.

Huyo anaesema anakariri NI wivu unamsumbua, anafikiri abavyo anakariri history ndio physics
 
Back
Top Bottom