TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Aisee so you call him genius for A level physics?? Kukariri tu hakuna chochote watakachofanya after hapo ndio maaana hakuna mchango wowowte kwenye either technology or whatever kutoka kwa hao the so called Tanzania one
Kama na sense hard feelings hapa, mzee unateseka au?

Unaweza ukawa ulimzidi maisha but the guy was amazing, usingeweza mfikia kichwani. May be hata all of ur relatives. Kichwa yake ilikua gifted
 
Simjui mshkaji ila nilifanikiwa kumsikia kipindi nasoma na nimeona pics zake FB...
Physics ya advance naijua mziki wake coz nilisoma mechanics tu (subtopics zoote) kwa MAREHEM moudy Physics (Allah amfanyie wepesi safari yake) nikiwa nasubiri kwenda advance ila Alhamdulillah nikachaguliwa MUST diploma 2014-2017...

Nilizipata habari zake mshkaji nyingi sana ikiwemo kusolve swali moja hivi la physics sijui necta ya mwaka gani... jamaa anaanzia kulisolve chini kuja juu.. seems alikuwa anaijua vizuri sana Physics...

Naandika comment hii huku nikiogopa sana (Nami pia 1 day i will pass away na kubaki historia regardless nilikuwa najua au nna umuhimu kiasi gani) pia roho inaniuma sana.

All in all Allah ampe qauli thaabit Al-akhy end of the day we will meet somewhere someday alltogether.

Usiku mwema wakuu
Dah huyu mwamba story zake nimesikia sana, Minaki sijui kama alifika ila walipitaga kina Walter tu.

Moody physics alifariki mkuu.. nimesoma sana kwake, notes zake zilikua zinakupa hints ukachimbe zaidi.
 
Leo tunavyozungumza Elias Kihombo hatunaye tena duniani. Inasemekana kifo chake ni kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimkabili.

Tunahitaji kuwa Karibu na Mungu wakati wote kwani safari yetu ipo mikononi mwake.

wana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe, , !!!

I will never Forget you My brother

You will be missed forever and always. The beautiful moments you shared with me will always speak of a great person that you were. Rest in peace up in the heaven

-----
ALAMA ALIZOACHA ELIAS KIHOMBO

Imepita miaka takribani miaka 14 sasa, tangia Tanzania ilipapata kumshuhudia mwanafunzi alishindikana katika masuala ya Elimu hapa namzungumzia,Tanzania One (2006) Elias Kihombo katika matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2006 akitokea shule ya sekondari Tosamaganga wengi wanapenda kuiita Tosa Boy's

Mwaka 2006, Necta ilimtangaza mwanafunzi Elias Kihombo kutoka Tosamaganga Secondary School kuwa ndo kipanga wa mwaka huo akiwapita wanafunzi wenye akili zaidi waliovuma toka shule kongwe na special schools kama kibaha, ilboru, mzumbe, kilakala, Tabora boys etc ukweli ni kwamba Elias Kihombo hakuwa maarufu kwa kipindi hiko na wengi walisikia tu story zake haswa kwa wanafunzi wa Mzumbe Boys ambao Mara nyingi walipata kumuona katika mazingira yao.

Kumbuka kwamba Elias Kihombo hakupewa Priority kubwa sana ya kuwa T.O wa Advance Level kutokana pia na matokeo yake ya Kidato cha Nne (4) kuonekana kuwa ya kawaida sana, Kihombo alifanikiwa kupata Division One (1.14) akiwa na Physics-A Chemisrty-A Biology na Mathematics-B, Ndipo mwaka huo 2003 alipata kuchaguliwa Tanga Technical school iliyopo mkoa wa Tanga (tetesi), lakini baadae aliamua kurudi tena katika shule yake ya zamani yaani Tosamaganga secondary kuendelea na masomo yake ya Advance level. Alimaliza hapo hapo akifanikiwa kuwa mwanafunzi wa kwanza toka Tosamaganga kwa Advance Level kuwa mwanafunzi bora kitaifa, Alifanikiwa kupata maksi za juu sana na kupata Division One (1.3)
Physics-A
Chemistry-A
Advanced Mathematics-A

October 2006 Alichaguliwa kujiunga na University of Dar Es Salaam (UDSM) akiwa kama T.O kusoma Bachelor of Science In Telecommunication Engineering (4years) na tetesi zinasema alifanikiwa kupata ufadhili wa masomo yake chini ya kampuni ya Airtel.
Siku zilienda na alikuwa karibu kumaliza Elimu yake ya chuo kikuu, huku akipata madili mengi ya kufundisha Tuition maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dar Es Salaam na shule nyingi za sekondari ndani ya Tanzania hasa shule za Advance.

Lakini baada ya Miaka 4 kupita ikiwa miezi michache tu imebaki ya kumaliza chuo Tanzania One Kihombo alidisco chuo na hivyo kumfanya asifanikiwe kupata degree yake ya kwanza mwaka huo 2010, lakini wengi wanasema hakupaswa kudisco chuo lakini ndivyo ambavyo Hatima yake ilipoishia hapo. (tetesi ).

Moja kati ya maneno ambayo wengi wanamnukuu aliyopata kuyasema ndani ya Miaka hiyo, alisema "Duniani walionipita kwa akili ni watu wawili tuu wa kwanza Mola, wa pili ni Mzungu" hapa ndipo hatima yake inavyosemekana ikafungwa na wakuu wake lakini wengine wanasema vingine.

Elias hakutaka kwenda chuo chochote kile na ndani ya Miaka hiyo mitatu baada ya kudisco chuo, yaani 2011,2012 na 2013 alikuwa anazunguka shule mbalimbali za sekondari Tanzania kupiga mapindi ya Physics na Chemistry na kwelii huyu jamaa alikuwa ni Invisible katika masomo hayo mawili, Japo Pure Mathematics alikuwa hafundishi kabisa kwasababu alikuwa anasema "Siwezi kufundisha Somo rahisi duniani kama Pure Mathematics, Mimi nafundisha Physics na Chemistry tu"

Ndipo baada ya Miaka mitatu kupita (3) T.O aliyetukuka zaidi katika vinywa vingi vya wanafunzi wa Tanzania, kutokana na ufundishaji wake na kuwaita wanafunzi wake Nyumbu na kuwa na Jeuri zaidi ya Akili zaidi ya watu wengine, alifanikiwa kurudi tena ndani ya University of Dar Es Salaam safari hii akiwa ameamua na amezamilia kuchagua kozi nyingine Mpya kabisa iliyoanzishwa mwaka huo 2013 hapohapo Udsm iliyoitwa (Bachelor of Science In Petroleum Engineering). Hii kozi ilikuwa inachukua wanafunzi 20 pekee Tanzania nzima tena wale waliosoma PCM tu (Physics, Chemistry na Advanced Mathematics) na waliopata Marks za juu kabisaa.

Baada ya Miaka 4 kupita, ndipo July 2017, T.O Elias Kihombo alifanikiwa kumaliza Degree yake ya kwanza (Bachelor of Science In Petroleum Engineering) na mnamo November 2017 Elias Kihombo alifanikiwa kutunukiwa Degree yake ya kwanza akiwa ndani ya University of Dar Es salaam baada ya Miaka 11 kupita.

Hapa imepita Miaka mingi tangia, 2006 Engineer Elias Kihombo alivyotangazwa kuwa Tanzania One lakini ilimchukua Miaka mingine 11 mpaka kutunukiwa Degree yake ya kwanza. Huyu ndiye The Best Of The Best, Eng Elias Kihombo Mwanafunzi aliyepata kutokea Tanzania kuwa na uwezo mkubwa darasani. Nlsikia jinsi ambayo eng elias alikuwa na kipaji cha kufundisha kuanzia asubuhi mpk jioni na kusitokee hata swali moja liliomtolea nje .siku ambayo alisolve maswali kuanzia saa moja hadi saa nne hakuna swali lililo msumbua saa tano hadi saa nane hakuna swali lililo msumbua saa tisa hadi saa kum na mbili hakukua na swali lililo msumbua tuliendelea na mwendo huo kwa muda wa wiki moja . Itabaki historia ktk maisha ya wanafunzi na elimu ya Tanzania kwa ujumla. Lakin leo tunavyozungumza elias kihombo hatunaye tena duniani .inasemekana kifo chake ni kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimkabili ................. Tunahitaji kuwa Karbu na Mungu wakati wote kwan safari yetu ipo mikononi mwake .......bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe, , !!!

I will never Forget you My brother

You will be missed forever and always. The beautiful moments you shared with me will always speak of a great person that you were. Rest in peace up in the heaven[emoji257][emoji3590]]View attachment 1630262
View attachment 1630283
Dah kaondoka wakati mmoja na Ginimbi? Wapokelewe tu huko kishujaa.

Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa.

R. I. P
 
Eti ukariri physics,
Maths
Chem?
Hilo gumu
Huyo alikuwa gifted na watu went uwezo mkubwa kiakili huwa wako hvyo wanafanya vitu tofauti na watu wengine, Mambo magumu ndio wanataka kujifunza siku zote
Huyo anaesema anakariei NI wivu u amsumbua anafikiri abavyokariri history ndio physics
Msamehe bure huyo anaesema jamaa alikuwa anakariri, mtu na aina hiyo mnakuwa mnaongea lugha tofauti kwa hiyo kuelewana ni ngumu sana.

Mtu aliyesoma physics advance, hawezi sema jamaa alikuwa anakariri kwa sababu anafahamu nature ya Hayo masomo yalivyo.
 
Ok he was talking about relativity the way I heard it. Inawezekana alisoma mimi sikusoma kipengele hiko bado inabaki kua alikua mkaririji mzuri. I know our education system ni kuzalisha watu wenye uwezo wa kukariri maswali, formulas na definition
Nilijua hii mada itaibuka

Unamuppreciate mzungu Thomas Aquinas kuliko the same African mwenzako humfahamu.

Tuliyeishi nae tunakwambia he was damn gifted unakomaa alikua ana akili.

What is wrong with you are you fine

Ok he was dumb as hell
Happy?
 
Kama na sense hard feelings hapa, mzee unateseka au?
Unaweza ukawa ulimzid maisha but the guy was amazing usingeweza mfikia kichwan. May be hata all of ur relatives.kichwa yake ilikua gufted

Elimu yetu haiwapi watu kama hao nafasi waka shine na pia choices za masomo ni chache.

Otherwise angepewa nafasi ya kusoma kitu ambacho anakipenda na anakimudu angemaliza vizuri tu, labda angevumbua na mavitu mengine ya Physics. Very sad.
 
Yeah hizi ndio habari sasa. Unajifanya unamjua ww tu, huyo mtu alikuwa muhimu kuliko k wenu. Ukitoa habari unatoa za kueleweka. Cause of death, immediately
Or chronic, when and where. Sasa unaona hilo gazeti lako liko sawa?
Acha umbea mtoto wa kike. Itoshe kujua mwamba katangulia, ukiona mtu anauliza sana ooh kafa na nin. Ujue ni snitch tu hana lolote
 

Nenda kwenye kitabu cha waliohitimu 2013 if you can see his name, by the way alikuwa anapuuzia sana shule, tulikuwa nae field TPDC akiwa alihudhuria only one week, prof. Temu amekuja kutembelea he was explaining the thing that he don know, superviser alikuwa ndugu yake alimkataa pale pale kuwa alikuwa hahudhurii, sina uhakika kama ni hiki kilichomtoa chuo, baada ya hapo kuna shule alienda kufundisha kuna uzi humu unaelezea tafuta
 
One day he was talking to me about relativity the way you never heard about

He imagined about Hyper loops and one day I heard musk talking about it

Things like Space Elevators, Thought to Text and Energy-based Paint

Active Integrated Matter and lots of many things. I wish you could meet him
Mkuu achana nar huyo.wala asikusumbue kutoa ushahid hao watu wengi ni ma ngwini. Mimi ni engeneer nmesoma pale coet na naweza diriki kusema ..kuna watu wako talented aisee..hawa kariri kabisa.wanaelewa mambo, yaan test au quiz unaweza shangaa mtu kapata 98...anaefatia ana 30...na ni hvo hvo kila test. Kuna jamaa semista ya kwanza mwaka wa kwanza alipiga gpa ya 4.9. Tele hyo watu nuksi
 
Kama huyo alikua genius sijui Mozart alikua nani...[emoji849][emoji849]
So appreciating Joannes Chrysostomus Wolfgangus Theophilus Mozart

Just because he is white
Anyway Africans tupo hvo

Matokeo yake o level alifeli all other arts subject ,D and C but physics chem math alkua ana A her mother alkua ni secretary wa shule so alkua anamtaftia vtabu na kumpa anasoma mwenyewe

Anyway nkikuelekeza Sana bado hutoelewa your mindset ipo hvo
 
Back
Top Bottom