TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Nenda kwenye kitabu cha waliohitimu 2013 if you can see his name, by the way alikuwa anapuuzia sana shule, tulikuwa nae field TPDC akiwa alihudhuria only one week, prof. Temu amekuja kutembelea he was explaining the thing that he don know, superviser alikuwa ndugu yake alimkataa pale pale kuwa alikuwa hahudhurii, sina uhakika kama ni hiki kilichomtoa chuo, baada ya hapo kuna shule alienda kufundisha kuna uzi humu unaelezea tafuta
UDSM walimchomoa mwamba kwa wivu, but ile jomba ni ya kusoma oxyford au havard siyo bongo.
 
Mtanzania mwenye akili zaidi au mtanzania mwenye uwezo mkubwa wa kukariri?
Tanzania ina watu wawili tu wenye akili zaidi.
  1. Nyerere
  2. Tuntemeke Sanga
Anyway RIP, Rest in Eternity. May The Holy Mary, Mother of mercy be with you
Nyerere how?
 
Ok he was talking about relativity the way I heard it. Inawezekana alisoma mimi sikusoma kipengele hiko bado inabaki kua alikua mkaririji mzuri. I know our education system ni kuzalisha watu wenye uwezo wa kukariri maswali, formulas na definition
Wewe ulikuwa unaelewa sio?
 
Comp Enthusiast kiongozi
P was my food
Hebu tuanzie hapa, kwanini unamkataa jamaa kwa mtazamo wako je, haiwezekani

Mshikaji alikuwa na imagination za mbali mno, was real genius, he was passions, vision but he try to pust and hit the target, kama ukipata kusikiliza vision zake kuhusu space relativity, black holes, na mechanisics especial kweny rotation dynamics Dah.

U genius wake unakuja hapa amekuwa alama ya physics kwa phyisician wa tz, amesababisha ndoto njingi za watu zikawa real.
jamaa aliku anamkubali sana Eistein na yeye alikuwa anatamani kuwa like him. Naaamini angepewa miaka 40 zaidi angefanya kitu
 
Huyu jamaa naingia Udsm 1rst year 2008 ye akiwa 2nd year alikuwa akivuma vibaya mno. Actually I was taking him as my role modal. Am sending his family my utmost condolences and may his soul rest in peace.

Mbona wenye uwezo wa kutukuka wanakufa mapema na vipanga wanasurvive mpaka kuchaguliwa kwenye taasisi kubwa kubwa zenye maamuzi nchini?😭
 
Kama ukipata kusikiliza vision zake kuhusu space relativity, black holes, na mechanisics especial kweny rotation dynamics Dah!
 
Mkuu achana nar huyo.wala asikusumbue kutoa ushahid..hao watu wengi ni ma ngwini...mim ni engeneer nmesoma pale coet..na naweza diriki kusema ..kuna watu wako talented aisee..hawa kariri kabisa.wanaelewa mambo..yaan test au quiz unaweza shangaa mtu kapata 98...anaefatia ana 30...na ni hvo hvo kila test...kuna jamaa semista ya kwanza mwaka wa kwanza alipiga gpa ya 4.9...tele hyo...watu nuksi
Test ina Mark's 100?

Muogope mungu UE. tu ina 60 bro au zamani sio kama sasa
 
hHbu tuanzie hapa , kwanini unamkataa jamaa kwa mtazamo wako je , haiwezekani

Mshikaji alikuwa na imagination za mbali mno, was real genius, he was passions, vision but he try to pust and hit the target, kama ukipata kusikiliza vision zake kuhusu space relativity , black holes, na mechanisics especial kweny rotation dynamics Dah..

U genius wake unakuja hapa amekuwa alama ya physics kwa phyisician wa tz, amesababisha ndoto njingi za watu zikawa real. Jamaa aliku anamkubali sana Eistein na yeye alikuwa anatamani kuwa like him. Naaamini angepewa miaka 40 zaidi angefanya kitu
He was passions, vision but he try to pust and hit the target, kama ukipata kusikiliza vision zake kuhusu space relativity , black holes, na
mechanisics especial kweny rotation dynamics Dah.

Naweza pata wapi nikaskiliza hizo vision mkuu?
 
Back
Top Bottom