kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Mtihani wake uliuona?Martin Chegere alipata 99.99
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtihani wake uliuona?Martin Chegere alipata 99.99
Unaonekana tuMimi napenda kuvaa kofia ila ni kilaza
Mzee sina hakika kama ana audio recorded, bcoz mm nimemaliza miak ya nyuma kidogo, na wakati huo alikuwa anaproject ya kuundaa vitabu.He was passions, vision but he try to pust and hit the target, kama ukipata kusikiliza vision zake kuhusu space relativity , black holes, na
mechanisics especial kweny rotation dynamics Dah.
Naweza pata wapi nikaskiliza hizo vision mkuu?
Ameacha vitabu vingi ambavyo vilikua chini ya organization yake inaitwa SPI kama.sikosei,apumzike salama wengine piah ametusaidia kuwa hapa,RIP kihomboAlazwe pema jembe la Physics Elias Kihombo. Aliandika kitabu cha maswali na solution. Kama bado kipo basi ameacha kitu.
Mbon HKL wenzako wametulia? Au ulitamanig kusoma science alaf ukakosa nafas?Doctor ubwabwa
ndo kihombo huyu
yeah men, ingawa sisi hatukuwai kumzoea katika muonekano huo iyo nimeichukua status ya whatupsndo kihombo huyu
Kihombo anajua sana, wengine kaka unakaa kimya tu kama inshu ni kukariri kila mtu angekariri na angepiga misonge,lakini haiwezekani tujifunze ku appreciate uwezo wa kihombo,jamaa alikua na vision sana maana kuna vitabu vingi sana chini ya SPI ameviandika.Sasa Elias alkua anakupa alternative tatu ya swali moja utasemaje huyo mtu anakariri , Mimi tu physics nlkua sikariri and that made us different
Anyway sijataka kubishana na huyo da Vinci because hamjui
Mimi nmekaa nae nmeishi nae , nmesoma nae pia
SafiiiMartin Chegere alipata 99.99
Usiseme hivo kwa hasira kijana, kifo ni kwa yoyoteTansia ya physics na mathematics kusema kweli Imepata pigo kubwa nchini karibuni. Muddy physics katangulia tena leo Kihombo. Janjajanja akina arts History geography yanazidi kudunda tu kwenye ardhi ya mola
Huwa simjibu huyo kurlzawaMbon HKL wenzako wametulia? Au ulitamanig kusoma science alaf ukakosa nafas?
Mpaka hapo umeshajibuHuwa simjibu huyo kurlzawa
Mtu mmoja mpumbavu since nmetambua Hilo sjawahi mjibu anabakigi kujiongelesha tu
Sometimes ndo way ya ku deal na wapumbavu usimpe attention he is craving for
Huyu jamaa mwenye Cap.enzi hiz tosa boys
He was telling me that he had a vision ya kuanzsha spi SchoolsKihombo anajua sana,wengine kaka unakaa kimya tu kama inshu ni kukariri kila mtu angekariri na angepiga misonge,lakini haiwezekani tujifunze ku appreciate uwezo wa kihombo,jamaa alikua na vision sana maana kuna vitabu vingi sana chini ya SPI ameviandika
Comment yako imenifikirisha sana Mkuu,So sadHii nchi vijana wengi wa familia maskini wanajituma sana ila hawafanikiwi wanazunguka duara na kufa kwa frusttation .. why?