TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

117181719_3062947660482803_6106962359063469452_n.jpg
 
He was telling me that he had a vision ya kuanzsha spi Schools

Kids wawe wanafundshwa science subjects since young

Kuna kampuni moja pia ya kuchapisha vitabu ipo Us he was asking about it a lot achapishe vitabu vyake huko meaning vitabu vyake viwe recognized world wide anyway naomba uzima tu ntajarbu kufanya hiyo kazi

Kaacha mtoto mmoja
Aliona mbali ambako wengi hawaoni,Mungu akutangulie Mkuu utimize alichokikusudia kwa dunia,he is still a living legacy kwa aliyoyafanya,SPI brought me where iam today,and he was a real blessing,

Tunamshukru Mungu kwa maisha ya Eng Kihombo

RIP Genius
 
Aliona mbali ambako wengi hawaoni,Mungu akutangulie Mkuu utimize alichokikusudia kwa dunia,he is still a living legacy kwa aliyoyafanya,SPI brought me where iam today,and he was a real blessing,

Tunamshukru Mungu kwa maisha ya Eng Kihombo

RIP Genius
Safi Sana

Kitu kikubwa ambacho watu hawajui about kihombo is that his father alkua Prof pale mzumbe uni

Jamaa sio kwamba alkua na njaa kiasi hcho , what I am trying to say hata vitabu mostly alikua anaandika for the passion ya kusaidia watu

His long life dream

Anyway mwanangu ameondoka nmeumia Sana aisee ....

Nmewaza Sana aisee ... Ngoja nipumzike Sasa
 
Aisee so you call him genius for A level physics?? Kukariri tu hakuna chochote watakachofanya after hapo ndio maaana hakuna mchango wowowte kwenye either technology or whatever kutoka kwa hao the so called Tanzania one
Chief watu wamefiwa wewe unaleta umwamba wa kitoto.

Sisi Waswahili huwa tunasema hivi "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni".

Kuvumbua jambo au kugundua jambo si ishara ya mtu kuwa na akili, maana haya mambo watu hutunukiwa tu vipawa, ndiyo maana hukuti mtu anajua kila kitu.

Kama kukariri ni kazi ndogo ungekuwa wewe T. O.

Nahitimisha kwa kusema ya kuwa, kuwa mgunduzi au kuwa T. O si kipimo cha mtu kuwa na akili sana, sababu viwili hivyo havihusiani na akili.

Pili, ulipo sema ya kuwa Tanzania kuna watu wawili tu wenye akili, niliona ya kuwa hujui maana ya neno AKILI.

Hakika hali wa shani, kila nafsi itaonja umauti.
 
Wakati nafika advance tanga tech story za huyu mtu nilizikuta,,,kuna darasa moja kati ya madarasa ya advance kuna maneno yameandikwa nanukuu"elias mtu na nusu" nazani wahusika waliandika katika kuonesha kumkubali jamaa ,story zinasema zaidi vile vitabu ambavyo wanafunzi wengi huvikwepa yeye ndo alipenda kuvitumia mfano nelkon,roger,UP(university physics) kwa upande wa physics,,waliosoma physics advanced level watakuwa wanaelewa zaidi hapa,,ndo mana mtu anaesema jamaa alikuwa anakariri namshangaaaa unakariri physics utakariri vingapi????nazani alikuwa ni gifted(wakati mwingine kumkubali mtu hakukupunguzii kitu sio kila ktu ni kupinga) kwa niaba ya watoto wa tanga tech ,,niseme REST IN PEACE MTU NA NUSU,,tusisahau kuwa karibu na muumba wetu pamoja na vyote tunavofanya,duniani mapito,,ulale mahali unapostahili,AMEN
Out of topic !! Wanaosema tunakariri wako sawa kabisa , wenzetu huko ulaya Kila Siku wanafanya innovations mpya kwa kutumia principle walizozielewa kwenye masomo mtu Kama huyu TO, alitakiwa awe kwenye makampuni makubwa ya uvumbuzi akiapply elimu yake , elon musk wa tesla car Wala hakuwa na passmarks kubwa darasani lakini angalia mambo yake .
 
nilikuwa na mdogo wake kihombo JKT MGAMBO 835-2013 anaitwa Beatrice Kihombo...daah pole kwa Familia,ndugu,jamaa na Marafiki

Tumepoteza mtu muhimu mwingine tena,daah hakika jamaa aliwainua wengi ‘Raha ya Milele ampe Eee! Bwana na Mwanga Wa Milele Umwangazie,APUMZIKE KWA AMAN
 
Hiyo phy mm nilipata B, paper 2 instructions zilikuwa tofauti na ilivyozoeleka wengi tulikuwa hatusomi instructions za kila sections kumbe ilipaswa tujibu maswali yote 10 badala ya 6.. aise nimekuja kugutuka zimebaki dkk 15 jasho lilinitoka kinoma.. jamaa waliopata 1.3 mwaka ule ilikuwa komesha Mungu ampumzishe kwa amani
 
Safi Sana

Kitu kikubwa ambacho watu hawajui about kihombo is that his father alkua Prof pale mzumbe uni

Jamaa sio kwamba alkua na njaa kiasi hcho , what I am trying to say hata vitabu mostly alikua anaandika for the passion ya kusaidia watu

His long life dream

Anyway mwanangu ameondoka nmeumia Sana aisee ....

Nmewaza Sana aisee ... Ngoja nipumzike Sasa
tupe location za msiba tukamzike mwamba
 
Chief watu wamefiwa wewe unaleta umwamba wa kitoto.

Sisi Waswahili huwa tunasema hivi "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni".

Kuvumbua jambo au kugundua jambo si ishara ya mtu kuwa na akili, maana haya mambo watu hutunukiwa tu vipawa, ndiyo maana hukuti mtu anajua kila kitu.

Kama kukariri ni kazi ndogo ungekuwa wewe T. O.

Nahitimisha kwa kusema ya kuwa, kuwa mgunduzi au kuwa T. O si kipimo cha mtu kuwa na akili sana, sababu viwili hivyo havihusiani na akili.

Pili, ulipo sema ya kuwa Tanzania kuna watu wawili tu wenye akili, niliona ya kuwa hujui maana ya neno AKILI.

Hakika hali wa shani, kila nafsi itaonja umauti.
achana naye kilaza huyo usikute alipata F ya math na physics , anahisi physics ni ndala kila mtu anavaa
 
Aisee so you call him genius for A level physics?? Kukariri tu hakuna chochote watakachofanya after hapo ndio maaana hakuna mchango wowowte kwenye either technology or whatever kutoka kwa hao the so called Tanzania one
Kuna hindrace factors nyingi katika nchi zetu mtu kuweza kutumia uwezo/maarifa na ujuzi wake. Kuna jamaa alikuwa TO 2001 O-level akapata ufadhili kwenda Marekani mpk sasa wamarekani wanaye... Hatuna systems za kuwaweka watu kama hawa mahala pa kuwawezesha kufanya tafiti za kisayansi, na hali pia za maisha yake binafsi na wanaomzunguka pia hufanya mtu awaze mambo rahisi ya kumpatia pesa ndani ya muda mfupi kama hivyo kuishia kufundisha tuitions nk.. jiulize hao maTO wote nchi imefanya nn walau kutumia vipaji vya kuletea tija taifa.. na je taifa linainvest vp katika maswala ya tafiti za kisayansi,
 
Safi Sana

Kitu kikubwa ambacho watu hawajui about kihombo is that his father alkua Prof pale mzumbe uni

Jamaa sio kwamba alkua na njaa kiasi hcho , what I am trying to say hata vitabu mostly alikua anaandika for the passion ya kusaidia watu

His long life dream

Anyway mwanangu ameondoka nmeumia Sana aisee ....

Nmewaza Sana aisee ... Ngoja nipumzike Sasa
Inaumiza sana,Pole brouh Mungu akutie nguvu Tumuombee Mungu amlaze mahali pema,The man had exhausted all of his own and he is a legend for sure.
 
So does you.
Kuna watu smart wengi nchini ila mfumo wetu umetujenga tusome tusifeli ili tupate kazi. We are just studying for the Job.. not for making innovation and invention..
Ndio maana nasema jamaa nae alikua muhanga vile vile..
Kijana unaandika mambo bila kufikiria kabisa, unajua kama kuvumbua kitu si lazima mpaka uwe umesoma na ukakaa darasani. Rejea Historia ya wavumbuzi wengi wa masuala ya Kisayansi.

Japo mfumo wetu ni mbovu ila haumfanyi mtu asijue jambo analo taka kulijua, unaweza usijue jambo darasani ila ukalijua ukiwa kazini na ukafanya mambo makubwa mno, ndiyo maana kuna mambo ya "Field" na mfano wake.

Elimu inataka vitu viwili, na viwili hivyo havitengani, labda kama hujishughulishi na mambo ya kielimu. Viwili hivyo ni :
1. Kuelewa na
2. Kukariri

Huwezi kuelewa jambo bila kukariri (Kukariri aidha moyoni au kichwani).

Kuendelea kwako kubisha kwenye hakuna kunazidi kuonyesha udhaifu wako juu ya masuala ya Elimu. Salama yako tuendelee kusoma maoni ya wadau wanao mjua vizuri mdau.
 
Yeah hizi ndio habari sasa... Unajifanya unamjua ww tu...huyo mtu alikuwa muhimu kuliko k wenu... Ukitoa habari unatoa za kueleweka ... Cause of death, immediately
Or chronic, when and where.... Sasa unaona hilo gazeti lako liko sawa?
Ni kweli unauliza ili upate taarifa ila the way unavyo uliza naona Kama unatumia maneno makali na yenye kuudhi ndani yake jaribu kuweka lugha ambayo haita mkwaza mtu mwingine hasa yule mtoa taarifa



Mfano wa kauli ambazo hazija kaa sawa kwenye post zako ni "unajifanya wewe ndo unamjua wewe tu "

Nzingine nyingi
 
Bad enough he 'll only be burried with Pride and A short lived History which will also perish as soon as his collegues Perish.

lakini ndio Tanzania Yetu where the smart minds only write books and imagine things.
Inasikitisha sana mkuu.
 
Back
Top Bottom