TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

nilishawai kutoka kapa mara kadhaa itakubid ukarudie, ila ukienda Man to man ,
 
wewe ni kilaza, huna unachojua
 
Nimekuelewa sana chief.
 
Tansia ya physics na mathematics kusema kweli Imepata pigo kubwa nchini karibuni. Muddy physics katangulia tena leo Kihombo. Janjajanja akina arts History geography yanazidi kudunda tu kwenye ardhi ya mola
em futa ulichokiandika hapa

kifo hakichagui huenda hata hao unawaita janjajanja wanafariki sana2 ni vile sio superstar kama huyu so kua na akiba ya maneno ndugu
Dogo inakuwaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah
Huu uzi unanivunja mbavu sasa
 
Duuh noma sana i got them points
 
May his soul rest in eternal peace.

Huyu mwamba hakumaliza petroleum engineering pale udsm, alidisco akiwa third yr. nlikuwa nyuma yake mkuu. Mwamba alikuwa anajua sana, sema petroleum ilimpeleka puta sana.
[emoji134][emoji134][emoji134] ehhhh[emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Daaah!! Hongera sana mkuu, miaka ipi ulimaliza shule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…