Kihombo sio genius Bro.....
Let us end this shit now...
Sio genius Bro kama unavosema....
Kihombo sio genius....
Let him rest in peace then man....
Respect
Wooi I [emoji119]@Saint Anne angalia hao ni wanafunzi waliongoza mitihani ya acca duniani.Acca wameona aibu kusema wamepata 100%.
ACCA tunaiheshimu ila watoto wa oxford na Cambridge wanapiga 99,98,97.
Tukubali tu kuna watu wako gifted jamaniView attachment 1632711View attachment 1632712
Kuna mahali kaandika logic kwenye hyo comments hafu Mimi honestly u genius siupimi kwa mtu kupata Mia masomo yote eti ndio akili na asiyepata Mia sio genious, tena huwa ni rahisi mtu aliyesoma science kupata Mia kuliko waliosoma Art's studies[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa anaponda hatari, comments zake tangu juu zinavunja mbavu.
mimi ninachojua wewe ni kilaza , unayesema eti kwa sababu alipata HISTORY C, basi ts normal person!?Tuliza mshono. Wewe unajua nini?
Kuipata hiyo 75 si rahisi Sana Kama unavyofikiria.Duh!
75?
Hiyo nchi zingine ni C aisee [emoji1787][emoji1787].
Kwa hiyo kibongo bongo mtu akipiga 75, 75, 76, advanced level, anakuwa na div. 1.3??
WTF!!
Ni kweliKuna mahali kaandika logic kwenye hyo comments hafu Mimi honestly u genius siupimi kwa mtu kupata Mia masomo yote eti ndio akili na asiyepata Mia sio genious, tena huwa ni rahisi mtu aliyesoma science kupata Mia kuliko waliosoma Art's studies
Ila hyo mia Kuna mtu kaona, maana Mimi advance nilipata A msonge wangu lakini hawakuweka ni 90/85 au ngapi hyo marks. I think hii ya marks system ni binary system iliyowekwa kuua hata talent's nyingine, Yani ukifeli masomo eti hauna akiliNi kweli
Lakini kupata hiyo 100 kwa science linahutaji usmart ..si Jambo la kubahatisha.
"genius"Halafu uki-mention watu magenious Tz, usimweke Martin chegere kwenye list.huyu unatakiwa umwandike peke yake.
Kuna ma-genius hapa duniani.Wooi I [emoji119]
Hao madogo ni noma Sana..
ACCA ilivyokuwa ya Moto wao wamegonga 99[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Inabidi Necta waanze kuweka marks kwa watahiniwa wote ili mtu ajue kabisa amescore ngapi.Ila hyo mia Kuna mtu kaona, maana Mimi advance nilipata A msonge wangu lakini hawakuweka ni 90/85 au ngapi hyo marks. I think hii ya marks system ni binary system iliyowekwa kuua hata talent's nyingine, Yani ukifeli masomo eti hauna akili
Halafu unakuta hapo mtu anahangaika miaka na miaka ,seats zote anamalizia bila kuipata ila Kuna madogo wanazitungua tu,tena wanapata 100[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Kuna ma-genius hapa duniani.
Labda wao huweka tu A, B na number halisi zinabaki nakala kwao sisi huku tunaona hzo A, na division basiInabidi Necta waanze kuweka marks kwa watahiniwa wote ili mtu ajue kabisa amescore ngapi.
Si kutanga za wale wa juu tu.
LabdaLabda wao huweka tu A, B na number halisi zinabaki nakala kwao sisi huku tunaona hzo A, na division basi
Ila hata chuoni huwa wanaweka ka umepata A, B, basiLabda
Ila ni vema wangetuwekea na hizo namba
Kabisa yaani mpaka nyie watz tunaonekana vilazaHalafu unakuta hapo mtu anahangaika miaka na miaka ,seats zote anamalizia bila kuipata ila Kuna madogo wanazitungua tu,tena wanapata 100[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Naona ni system ya elimu yetuIla hata chuoni huwa wanaweka ka umepata A, B, basi
Acha kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa yaani mpaka nyie watz tunaonekana vilaza
Wewe unahisi kwanini ni rahisi mtu kupata mia Sayansj na si Masomo ya Art ?Kuna mahali kaandika logic kwenye hyo comments hafu Mimi honestly u genius siupimi kwa mtu kupata Mia masomo yote eti ndio akili na asiyepata Mia sio genious, tena huwa ni rahisi mtu aliyesoma science kupata Mia kuliko waliosoma Art's studies
Safi Sana kijana., hongera piaB.A UDSM.
M.A UDSM.
Okay sawaAnhaaa.... okay... Let's end this shit? You started this shit... don start non wont be non...
Sema "Mimi Baba Salehe nimejifunza na naahidi sitarudia kuchokoza mada ya kumsifu idol wangu bila kutarajia maoni ya upande wa pili wa shilingi kwenye jamvi la wazi la dunia nzima, Mungu nisaidie."
May Elias Kihombo, one of the better secondary school students to ever walk the land of Tanzania, rest in eternal peace.