TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Umechomoa eenh? Basi nadhani siku nyingine hutarudia.

Eistein and Newton walifeli mitihani?

Eistein na Newton wamefanya mambo ma vyuoni huko ambako unaandika kitu kinasomwa na miamba mienzio dunia nzima ndio unapitishwa kwamba wewe kweli kichwa kimesheheni ujazo.

Sio kuji showcase kwa watoto wa sekondari tuition za mchikichini na kunakili maswali ya vitabuni kuyajibu na kusemwa umeandika kitabu.

Heck no! Umedesa , you plagiarized that jazz, bro.

Elias Kihombo is a sad profile of massive underachievement.
 
Naona ni system ya elimu yetu
Japo niliona baadhi ya walimu wanatoa zawadi kwa wale wenye A kali

Na niliona pia wale best students marks zao zinatangazwa.
Hapo ni level ya shule Ila kitaifa hawaweki alama
 
Umefanya vizuri kuleta uzi huu, wakati mwingine lazima tuwazungumzie watu kama hawa .
Humu jf kuna threads zinawazungumzia wadangaji kama amber lulu,giggy money etc sasa kwanini tusiwazungumzie ma-TO
Okay
 
Wewe unahisi kwanini ni rahisi mtu kupata mia Sayansj na si Masomo ya Art ?
Science ni rahisi maana ukitumia tu kanuni vizuri na ukaielewa hyo formula hukosa hesabu mia moja, same applies kwa chemistry na physics. Tofauti na arts subject lazima usome vitabu vingi Sana na hata usahishaji wake tofauti na hesabu
 
Umeona kwa jicho la 3 mkuu hakuna atakayekuelewa.
Mambo mengi yanaendeshwa kisiasa halafu watu wanatake serious hadi wanatoa mishipa ya shingo na kugombana humu
What do you mean hakupata nafasi kujiendeleza, alinyimwa mkopo ???

Huyu sio pointi tatu peke yake kwenye historia ya TZ , wengine mbona waliendelea vizuri?

Elias Kihombo was a small thinker. Kwa yeye, ma tuition ya sekondari na Alteza ya bomba mbili was all he could dream of.

Si kosa letu jamii au serikali kwamba alifeli chuo au hakuendelea kitaaluma. Kosa la serikali ni kuwaita hawa watoto Tanzania One wakati mitihani ya NECTA sio standardized, hujui nani kampita nani.
 
Genious ni yule mwenye consistency ya matokeo.

Kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu.

Huko nyuma ufeli halafu uje kupata A a'level tuseme wewe ni genious?

Mbaya zaidi una-disco chuo mara mbili? Huo ugenious upo wapi?

Magenious ni kina Chegere. Wanaongoza toka wanazaliwa mpaka phd. Hao wengine ni one season wonder kama leicester city.
Consistency ya matokeo haidetermine kwamba wewe ni genious ,mda wowote ule mtu anaweza change na kuwa hot , ili mradi kashafungua ubongo
 
Science ni rahisi maana ukitumia tu kanuni vizuri na ukaielewa hyo formula hukosa hesabu mia moja, same applies kwa chemistry na physics. Tofauti na arts subject lazima usome vitabu vingi Sana na hata usahishaji wake tofauti na hesabu
Unazingua wewe yani mpaka[emoji23][emoji23][emoji23] . Yani kujua kanuni tu unapata A, kwa nini ukusoma science, watu pamoja na kuwa mabigwa wa kukariri kanuni lakini walitaga mayai kama ya mbuni .
Hata tunasoma vitabu Nelkon , Roger , University physics, Chand na vingine, na bei zake ni gharama sana ,
History , Geography, economics na masomo ya arts yote ndo ya kukariri .
 
Unazingua wewe yani mpaka[emoji23][emoji23][emoji23] . Yani kujua kanuni tu unapata A, kwa nini ukusoma science, watu pamoja na kuwa mabigwa wa kukariri kanuni lakini walitaga mayai kama ya mbuni .
Hata tunasoma vitabu Nelkon , Roger , University physics, Chand na vingine, na bei zake ni gharama sana ,
History , Geography, economics na masomo ya arts yote ndo ya kukariri .
Science una kariri nini pale imekuwa history, to me science ni masomo marahisi hayana longolongo ukifundishwa na ukaelewa basi, use formula mpaka mwisho. So to my opinions kwangu science ni rahisi haihitaji blah blah
 
Science una kariri nini pale imekuwa history, to me science ni masomo marahisi hayana longolongo ukifundishwa na ukaelewa basi, use formula mpaka mwisho. So to my opinions kwangu science ni rahisi haihitaji blah blah
Hata mimi nilisoma science ,ko nami naiona rahisi sana lakini si rahisi kama unavyosema kwamba ukikariri formula unaitumia formula tu unafahuru,
Science ina concept nzito na ngumu, unaweza soma Roger moncaster au Nelkon na kukariri formula , hafu ukaenda kusolve maswali ya Chand ukaambulia sifuri.
Ambapo ni tofauti na vitabu vyenu vya arts ,ambapo unaweza soma vitabu mia lakini concept ni ile ile.
 
mimi ninachojua wewe ni kilaza , unayesema eti kwa sababu alipata HISTORY C, basi ts normal person!?
Sijui et history and geogragphy ni sawa na physics
et bcoz alidscontinue chuo basi ts normal guys, - WEWE NI BONGE LA KILAZA.
kwasabbu kitabu chake akina ISBN niwakawaida, unitajie kitabu kipi chenye iyo nembo kwa upande wa sayansi.
unahisi A ya history na geography ulipata pekeyako, Kwataarifa yako mimi adavance nimesoma na karibu darasa siza wamepata hayo masomo yako A, asilimia 90% wapo engineering na medicine, pamoja na hapo wapo walioscore single digit from O level to advance, ila hadi leo watakwambia kihombo ni Mwisho.
so wewe kupata A yako ya history na Geography usitake kumwa undermined mwamba ashindwe kupumzika kwa amani mwamba wetyu, - utabakia kuwa kilaza tu.

mwisho ni bora ukanyamaza kwa usilo lijua, MTU humjui , hujawai kumuona bado unabisha , waliomuona wanasema jamaaa uwezo wake ulikuw wajuu mno. bila kupingwa asilimia 90 ya watu wenye uwezo wa juu ndo wansoma sayansi na wana mu appreciate mwamba, hakuna aliyesoma sayansi anayebeza uwezo wa kihombo
A ya history A-level hana mkuu,Nina uhakika na hili nalo liandika
 
Hata mimi nilisoma science ,ko nami naiona rahisi sana lakini si rahisi kama unavyosema kwamba ukikariri formula unaitumia formula tu unafahuru,
Science ina concept nzito na ngumu, unaweza soma Roger moncaster au Nelkon na kukariri formula , hafu ukaenda kusolve maswali ya Chand ukaambulia sifuri.
Ambapo ni tofauti na vitabu vyenu vya arts ,ambapo unaweza soma vitabu mia lakini concept ni ile ile.
Hata Mimi pia nimesoma science mkuu vizuri tu ukielewa formula na ku solve mchezo umekwishwa na kama haujui ndio unajiingiza chaka mwenyewe mazima Ila ni kitu simple, na niliacha advance maana haikuwa passion yangu science Ila ilikuwa ni masomo ninayoyapenda Sana aisee
 
Science ni rahisi maana ukitumia tu kanuni vizuri na ukaielewa hyo formula hukosa hesabu mia moja, same applies kwa chemistry na physics. Tofauti na arts subject lazima usome vitabu vingi Sana na hata usahishaji wake tofauti na hesabu
Sasa kwanini umeandika uongo bibie ?

Nani amekwambia urahisi wa somo huja kwenye kanuni au kisa kuna kanuni ?

Hakuna somo ambalo halina kanuni. Tofauti ya masomo ya Sayansi na yasiyo kuwa Ya Sayansi ni kuwa Sayansi ina majaribio tu na namba ila kinyume chake ni sawa.

Jibu sahihi ni kuwa wengi wanao soma masomo ya Arts wana uwezo mdogo na ndiyo huwa kimbilio la watu hao.

Ama kuhusu kusoma vitabu vingi kila somo linahitaji usomaji wa vitabu vingi. Na unaweza kusoma vitabu vichache na ukafaulu Historia.
 
Hata Mimi pia nimesoma science mkuu vizuri tu ukielewa formula na ku solve mchezo umekwishwa na kama haujui ndio unajiingiza chaka mwenyewe mazima Ila ni kitu simple, na niliacha advance maana haikuwa passion yangu science Ila ilikuwa ni masomo ninayoyapenda Sana aisee
Mimi sikusoma Historia na masomo mengine mfano wa hayo sababu Uongo wake ulikuwa wa wazi sana, tofauti na masomo ya Sayansi ambayo uongo wake umejificha, yaani masomo ya Arts hayana changamoto za kutumia akili ile ya darasani. Kadhalika misingi yake ni mibovu mno.
 
Mimi sikusoma Historia na masomo mengine mfano wa hayo sababu Uongo wake ulikuwa wa wazi sana, tofauti na masomo ya Sayansi ambayo uongo wake umejificha, yaani masomo ya Arts hayana changamoto za kutumia akili ile ya darasani. Kadhalika misingi yake ni mibovu mno.
Si kweli bwana eti uongo wake, sasa science ndio rahisi mno Mimi naona basi tu walimu wengi ni wabovu wa hayo masomo.
 
Sasa kwanini umeandika uongo bibie ?

Nani amekwambia urahisi wa somo huja kwenye kanuni au kisa kuna kanuni ?

Hakuna somo ambalo halina kanuni. Tofauti ya masomo ya Sayansi na yasiyo kuwa Ya Sayansi ni kuwa Sayansi ina majaribio tu na namba ila kinyume chake ni sawa.

Jibu sahihi ni kuwa wengi wanao soma masomo ya Arts wana uwezo mdogo na ndiyo huwa kimbilio la watu hao.

Ama kuhusu kusoma vitabu vingi kila somo linahitaji usomaji wa vitabu vingi. Na unaweza kusoma vitabu vichache na ukafaulu Historia.
Ndio kwangu ni rahisi haihitaji blah blah za jambo hili limepanga na kushuka zunguka huku na kule ukifundishwa na ukielewa hyo imetoka na una enjoy somo Sana mfano chemistry hivi no blah blah unafanya practical yako unapata jambo lako kiurahisi. Kikubwa tu kuwa na mwalimu mzuri mchezo umeisha hapo
 
Back
Top Bottom