mimi ninachojua wewe ni kilaza , unayesema eti kwa sababu alipata HISTORY C, basi ts normal person!?
Sijui et history and geogragphy ni sawa na physics
et bcoz alidscontinue chuo basi ts normal guys, - WEWE NI BONGE LA KILAZA.
kwasabbu kitabu chake akina ISBN niwakawaida, unitajie kitabu kipi chenye iyo nembo kwa upande wa sayansi.
unahisi A ya history na geography ulipata pekeyako, Kwataarifa yako mimi adavance nimesoma na karibu darasa siza wamepata hayo masomo yako A, asilimia 90% wapo engineering na medicine, pamoja na hapo wapo walioscore single digit from O level to advance, ila hadi leo watakwambia kihombo ni Mwisho.
so wewe kupata A yako ya history na Geography usitake kumwa undermined mwamba ashindwe kupumzika kwa amani mwamba wetyu, - utabakia kuwa kilaza tu.
mwisho ni bora ukanyamaza kwa usilo lijua, MTU humjui , hujawai kumuona bado unabisha , waliomuona wanasema jamaaa uwezo wake ulikuw wajuu mno. bila kupingwa asilimia 90 ya watu wenye uwezo wa juu ndo wansoma sayansi na wana mu appreciate mwamba, hakuna aliyesoma sayansi anayebeza uwezo wa kihombo