TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Kihombo sio genius Bro.....

Let us end this shit now...

Sio genius Bro kama unavosema....

Kihombo sio genius....

Let him rest in peace then man....

Respect

Anhaaa.... okay... Let's end this shit? You started this shit... don start non wont be non...

Sema "Mimi Baba Salehe nimejifunza na naahidi sitarudia kuchokoza mada ya kumsifu idol wangu bila kutarajia maoni ya upande wa pili wa shilingi kwenye jamvi la wazi la dunia nzima, Mungu nisaidie."

May Elias Kihombo, one of the best students to ever walk into a Tanzanian secondary school classroom, rest in eternal peace.
 
@Saint Anne angalia hao ni wanafunzi waliongoza mitihani ya acca duniani.Acca wameona aibu kusema wamepata 100%.
ACCA tunaiheshimu ila watoto wa oxford na Cambridge wanapiga 99,98,97.
Tukubali tu kuna watu wako gifted jamaniView attachment 1632711View attachment 1632712
Wooi I [emoji119]
Hao madogo ni noma Sana..
ACCA ilivyokuwa ya Moto wao wamegonga 99[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa anaponda hatari, comments zake tangu juu zinavunja mbavu.
Kuna mahali kaandika logic kwenye hyo comments hafu Mimi honestly u genius siupimi kwa mtu kupata Mia masomo yote eti ndio akili na asiyepata Mia sio genious, tena huwa ni rahisi mtu aliyesoma science kupata Mia kuliko waliosoma Art's studies
 
Tuliza mshono. Wewe unajua nini?
mimi ninachojua wewe ni kilaza , unayesema eti kwa sababu alipata HISTORY C, basi ts normal person!?
Sijui et history and geogragphy ni sawa na physics
et bcoz alidscontinue chuo basi ts normal guys, - WEWE NI BONGE LA KILAZA.
kwasabbu kitabu chake akina ISBN niwakawaida, unitajie kitabu kipi chenye iyo nembo kwa upande wa sayansi.
unahisi A ya history na geography ulipata pekeyako, Kwataarifa yako mimi adavance nimesoma na karibu darasa siza wamepata hayo masomo yako A, asilimia 90% wapo engineering na medicine, pamoja na hapo wapo walioscore single digit from O level to advance, ila hadi leo watakwambia kihombo ni Mwisho.
so wewe kupata A yako ya history na Geography usitake kumwa undermined mwamba ashindwe kupumzika kwa amani mwamba wetyu, - utabakia kuwa kilaza tu.

mwisho ni bora ukanyamaza kwa usilo lijua, MTU humjui , hujawai kumuona bado unabisha , waliomuona wanasema jamaaa uwezo wake ulikuw wajuu mno. bila kupingwa asilimia 90 ya watu wenye uwezo wa juu ndo wansoma sayansi na wana mu appreciate mwamba, hakuna aliyesoma sayansi anayebeza uwezo wa kihombo
 
Kuna mahali kaandika logic kwenye hyo comments hafu Mimi honestly u genius siupimi kwa mtu kupata Mia masomo yote eti ndio akili na asiyepata Mia sio genious, tena huwa ni rahisi mtu aliyesoma science kupata Mia kuliko waliosoma Art's studies
Ni kweli
Lakini kupata hiyo 100 kwa science linahutaji usmart ..si Jambo la kubahatisha.
 
Ni kweli
Lakini kupata hiyo 100 kwa science linahutaji usmart ..si Jambo la kubahatisha.
Ila hyo mia Kuna mtu kaona, maana Mimi advance nilipata A msonge wangu lakini hawakuweka ni 90/85 au ngapi hyo marks. I think hii ya marks system ni binary system iliyowekwa kuua hata talent's nyingine, Yani ukifeli masomo eti hauna akili
 
Ila hyo mia Kuna mtu kaona, maana Mimi advance nilipata A msonge wangu lakini hawakuweka ni 90/85 au ngapi hyo marks. I think hii ya marks system ni binary system iliyowekwa kuua hata talent's nyingine, Yani ukifeli masomo eti hauna akili
Inabidi Necta waanze kuweka marks kwa watahiniwa wote ili mtu ajue kabisa amescore ngapi.
Si kutanga za wale wa juu tu.
 
Ila hata chuoni huwa wanaweka ka umepata A, B, basi
Naona ni system ya elimu yetu
Japo niliona baadhi ya walimu wanatoa zawadi kwa wale wenye A kali

Na niliona pia wale best students marks zao zinatangazwa.
 
Kabisa yaani mpaka nyie watz tunaonekana vilaza
Acha kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu 1st seat anatungua 100,unakuta mwingine amekaa huo mtihani hata Mara 2[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mahali kaandika logic kwenye hyo comments hafu Mimi honestly u genius siupimi kwa mtu kupata Mia masomo yote eti ndio akili na asiyepata Mia sio genious, tena huwa ni rahisi mtu aliyesoma science kupata Mia kuliko waliosoma Art's studies
Wewe unahisi kwanini ni rahisi mtu kupata mia Sayansj na si Masomo ya Art ?
 
Anhaaa.... okay... Let's end this shit? You started this shit... don start non wont be non...

Sema "Mimi Baba Salehe nimejifunza na naahidi sitarudia kuchokoza mada ya kumsifu idol wangu bila kutarajia maoni ya upande wa pili wa shilingi kwenye jamvi la wazi la dunia nzima, Mungu nisaidie."

May Elias Kihombo, one of the better secondary school students to ever walk the land of Tanzania, rest in eternal peace.
Okay sawa
 
Back
Top Bottom