King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kaulizeni alikofia watakuwa na majibu au nendeni msibani watasema.
Watu wanabishia uzoefu tu na kujidai na physics zao za Olevel wanadhani na A level iko hivyohivyo.Tatizo la waafrica Ni ngumu Sana kumkubali mwafrica mwenzao,.anapofanya extraordinary things..
PCM sio lelemama,.Kama huamini rudi shule chagua hiyo kombi..
Ndio hawajaweka Sasa..Mimi ndio kwanza nimemjua walipoleta taarifa ya kifo chake labda era yake mimi nilikuwa sio mwanafunzi labda ndio sababu!! Kwakua taarifa ya mtu maarufu kwenye elimu imeletwa humu atleast wangeweka ugonjwa uliosababisha kifo.
Wakati nasoma tulifundishwa vitu vinavyosababisha kifo,baadhi ni:-
1.Ugonjwa
2.Ajali
3.Umri
4.Commit Suicide (6 millions ways to die choose one)
umesema jamaa akiwa free akucheki.....Sijaelewa
Ndiyoumesema jamaa akiwa free akucheki.....
Dah ila jmaa alidhurumiwa sana , haki yake ilipotea bure,Unadhani kwann nmemuweka Tesla kwenye I'd zangu zte naztumia hapa jukwaani
I respect him
hahhahaha, harafu kuna Mtu anaheshima , haya maisha haya huku anapanda ndege mstarehe, anatibiwa vizuri, ananunua gari,Aircraft detector before RADAR 1914-1940View attachment 1633371
Labda[emoji38][emoji38][emoji38]Labda na wale wa kwanza kwenye mashule yao.
na mimi nikiwa free nitakucheki....ni dhambi??Ndiyo
Sasa comment yako sijaielewa
Elements za kutotaka KUKUBALI uwezo wa mwingine ni matokeo ya;Tatizo la waafrica Ni ngumu Sana kumkubali mwafrica mwenzao,.anapofanya extraordinary things..
PCM sio lelemama,.Kama huamini rudi shule chagua hiyo kombi..
Oh sawa boss nimekuelewa sasana mimi nikiwa free nitakucheki....ni dhambi??
Kwakweli tutafute hela tu[emoji23]Watoto achen haya.... Soma science au humanities subjects maisha n case ingne... Let's go back chasing papers[emoji386]. Otherwise n kujshosha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣Nikikumbuka f nilizokuwa nachezea kwenye math ,halafu mtu apate 98 huko halafu useme kabahatisha?
Acheni wivu
Kina GODZILLA banaa🤣🤣🤣Watu wanabishia uzoefu tu na kujidai na physics zao za Olevel wanadhani na A level iko hivyohivyo.
Kuna watu waliingia combinations ya PCM wakiwa na A zote na wakatoka na zero na hapo walikuwa wanakesha wakisoma
Ila anakuja mtu hapa Anasema "ni kukariri tu"swali linakuja direct..
Wamekomaa kubisha kweli,oh jamaa kabahatisha
Hivi PCM au PCB ni ya kufaulu kwa kubahatisha??
Waende kusoma wapate na wao hiyo average kama wanafikiri kuna kubahatisha kama hujui.
Hebu nifafanulie hapaDah, umesoma story ya eistein na sir ISAC newtons , ambao ndo legend wa mathematics , physics , astronomy, and science in general,
wote walifeli mitihani , ulishajiuliza why?
uwezo wao ulikuw a zaidi ya watu wanaowafudisha
Na hapo anaiunganisha vinotsi vya topic mbalimbali za physics na kutoa kitabu halafu anaitwa genius.Tatizo kibongo bongo tumezoea kuwa na viwango vya chini mno.
Hivyo akitokea mtu akafanya vizuri kidogo tu, anaitwa genius, ilhali wala hana u genius wowote ule.
O'level alipata div 1 ya 14. Huko primary hatuna matokeo yake. Chuo aka dico mara mbili.Hisia zangu ni kuwa.
Jamaa alifeli chuo kwa sababu hakuhudhuria au hakuvisoma vitu,akakuta mitihani vitu havijui.
Course nyingi za chuo hata vitu vikiwa simple ,usiposoma lazima upoteane.
Izingatiwe kuwa huyu Elias alikuwa anasoma sana A level,msuli mnene ndio akafaulu sana.
Chuo hakusoma vizuri,mambo yakae
1)Huyo jamaa alipiga msuli mnene A level. Aliinvest kwenye time. Ikamlipa
2)Huyo jamaa chuo haku invest kwenye time,akienda kwenye mitihani,maruwe ruwe. Telecommunications
3) Alivyorudi tena. Hakuinvest kwenye time. Maruwe ruwe . Petroleum
Kufelishwa Na maprof ni vijisababu.
Hata Ukiwa Genius(yawezekana Na yeye ni Genius) usiposoma ,chuo kipigo nje nje.
Angekuwa anafundisha O level alipokuwa A level,asingepata hiyo 1:3PCM ,wanafunzi wa O level wangesema Ticha wetu ameonewa Na BAMAGA.
umeongea kiutani ila namm naamini hiki hata mtu akamwimbie juujuu nature ya paper ya physics advance kesho yake upige paper bado unaweza usipate 90+Kama huna akili ukipewa pepa ya physics hata siku 1 kabla ya mtihani hupati 95+
Kazeni vichwa.