King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kaulizeni alikofia watakuwa na majibu au nendeni msibani watasema.
Mimi ndio kwanza nimemjua walipoleta taarifa ya kifo chake labda era yake mimi nilikuwa sio mwanafunzi labda ndio sababu!! Kwakuwa taarifa ya mtu maarufu kwenye elimu imeletwa humu atleast wangeweka ugonjwa uliosababisha kifo.
Wakati nasoma tulifundishwa vitu vinavyosababisha kifo,baadhi ni:-
1.Ugonjwa
2.Ajali
3.Umri
4.Commit Suicide (6 millions ways to die choose one)