cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Ujui watu kijifanya miungu watu alpha na omega kwenye nafasi yao flani?Hivi Kuna waalimu wanatesa wanafunzi?!?! How?!?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujui watu kijifanya miungu watu alpha na omega kwenye nafasi yao flani?Hivi Kuna waalimu wanatesa wanafunzi?!?! How?!?!
Principles za physics ni zilezile, hakuna invention au discoveries walimu wprinciple zi zilezile
Nakubali hilo la principle ni zilelize kwa sababu ni GOD creature, sio kila mtu anaweza kuzi inovate na kuziweka kweny application, mfano wa kwanza wewe huwezi na hauoto weza kama jamaa.Physics kitu gani? Kuna tofauti gani na Geography au Maths?
hicho ndo kili mleta duniani, ndo mana watu humu wanafurahia maisha yake,Aliona kufundisha ndo kila kitu maishani.
Mbona kafeli Engineering?Kwahiyo mkuu unataka kusema kwamba huyo jamaa hakuwa Genius??
Dah, umesoma story ya eistein na sir ISAC newtons , ambao ndo legend wa mathematics , physics , astronomy, and science in general,Mbona kafeli Engineering?
Physics genius unafeli vipi engineering degree?
Dah, umesoma story ya eistein na sir ISAC newtons , ambao ndo legend wa mathematics , physics , astronomy, and science in general,
wote walifeli mitihani , ulishajiuliza why?
uwezo wao ulikuw a zaidi ya watu wanaowafudisha
inatosha siyendelei kubishashana naweweEistein na Newton walifeli mitihani gani?
inatosha siyendelei kubishashana nawewe
Hapo kwa Mohammed Said umenichekesha sana mkuu [emoji28]You don't know that!
Unajuaje alilazimishwa kusoma Engineering na wazazi na jamii?
Alikuwa na passion ya kuandika vitabu ? Kitabu gani kaandika ???
ISBN namba ya vitabu vyake ni ngapi?
Muhammed Said kaandika vitabu vyake vinasema uhuru wetu uliletwa na wajomba zake wa Kariakoo waliobaguliwa, wild and wooly lakini vina ISBN! Vya marehemu mwamba Elias Kihombo namba zake ngapi ????
Nimeona ni quote post yako maana yake kafuta , anyway nitoke nje ya mada , mkuu kwa hiyo surgery sidhani kama inaweza kufanyika Tanzania , no offenceOooh am sorry Dr, jitahidi basi siku nyingine... Najua hizo kazi zetu ni ngumu...
Naomba ujibu "Ndiyo" au "hapana"Mbona kafeli Engineering?
Physics genius unafeli vipi engineering ?
Alntumia moja ya vitabu vyakenakubali hilo la principle ni zilelize kwa sababu ni GOD creature, sio kila mtu anaweza kuzi inovate na kuziweka kweny application, mfano wa kwanza wewe huwezi na hauoto weza kama jamaa.
yap ni kweli physics si kitu ?
ila kumbuka NO TECHNOLOGY na NO DISCOVERING without physics.
hesabu ni maisha hivyo kuilinganisha hesabu na physics ,waweza kuwa sahihi kwa akili yako , ila hauko sahihi kwa sababu hay masomo yanategemeana ,
ila kuilinganisha phyiscs na GEOGRAPHY , Unaitaji maombi hapo!
na kwahuo mtazamo sizani kama naweza bishana zaidi na wewe
Einstein alipitia Hali ngumu Sana ya shuleDah, umesoma story ya eistein na sir ISAC newtons , ambao ndo legend wa mathematics , physics , astronomy, and science in general,
wote walifeli mitihani , ulishajiuliza why?
uwezo wao ulikuw a zaidi ya watu wanaowafudisha
Achana nae aiseeinatosha siyendelei kubishashana nawewe
Sipo Tanzania Kuna lingine. ?Nimeona ni quote post yako maana yake kafuta , anyway nitoke nje ya mada , mkuu kwa hiyo surgery sidhani kama inaweza kufanyika Tanzania , no offence
Na nipo tayari kusahihishwa .
Kwa nini baba yake hakumpatia guidence & Counselling?Kumbe ni mtoto wa Prof Kihombo wa MU?
Mungu ampumzishe Elias roho yake mahali pema peponi Ameni.
Ukiacha hiyo ya Olevel..Geog ya advance Ndiyo ni ngumu ila huwezi linganisha na physics..Kwenye timetable yangu ya kujisomea,Geography ilikuwa hainipi presha ya kusoma,yaani kwa wiki naweza ipitia Mara mbili tu,lkn Physics, Hesabu,Chemistry, Biology, nilikuwa natamani niwe nayasoma muda wote,Pamoja na hayo bado Geography haikuniangusha,sasa kufananisha Geo na Physics ni makosa.
Hawataki kukubali kama jamaa alikuwa genius..Yaani we acha tu!!!,Hapa JF watu wengine wanajifanya wajuaji sana hata kubeza mafanikio ya watu wengine.Mtu muungwana hukubali mafanikio ya mwenzake lkn asiye muungwana huyabeza hata km yeye hajawahi fanya chochote na hajui kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji14]Hili nalo unataka kupinga ..?? Seriously [emoji28][emoji28][emoji28] Duuh ila watu wabishi asee