TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Hii mada hainijadili mimi. I have never been mistaken for a Tanzania One. Let's put me aside.

Vitabu vya Kihombo kama havina ISBN basi ni vipeperushi vya notes zake.

His folkore chievements are strenuosly disputed.
Sawa boss
Naona umekomaa kwelikweli na vitabu vya jamaa
Lakini ukweli ni kwamba vinawasaidia wengi.
 
Naye passion yake ilikuwa huko PCM na Ndiyo maana akaenda huko ..

Kwahiyo average ya 98%advance we unaiona ndogo??ulitaka apate ngapi labda???

Kwahiyo unataka kusema wanaosoma arts ni magenius kuliko wanaoenda combinations za sayansi??
Unaanza Sasa kuchekesha[emoji1787]
Ndiyo maana huko wamejazana kila mtu anasoma arts..
Kama wangeona sayansi rahisi basi wangeenda kusoma wapate kama jamaa..

Bado atabaki kuwa genius tu bro hata kama hutaki..
Kuwa genius si lazima apublish hizo papers Kama unavyosema wewe hapo juu..yeye aliamua kufundisha kwa sababu ndicho kipawa alichojaliwa na Mungu ..wewe Kama unaona kupublish papers ni muhimu kuliko kufundisha basi kafanye wewe.

Hongera Sana ulipasua ila Nikajua ulikuwa T.O !
Kumbe Wala hukuwa T.O
Mu acknowledge tu! hutapungukiwa kitu.
Genious ni yule mwenye consistency ya matokeo.

Kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu.

Huko nyuma ufeli halafu uje kupata A a'level tuseme wewe ni genious?

Mbaya zaidi una-disco chuo mara mbili? Huo ugenious upo wapi?

Magenious ni kina Chegere. Wanaongoza toka wanazaliwa mpaka phd. Hao wengine ni one season wonder kama leicester city.
 
Genious ni yule mwenye consistency ya matokeo.

Kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu.

Huko nyuma ufeli halafu uje kupata A a'level tuseme wewe ni genious?

Mbaya zaidi una-disco chuo mara mbili? Huo ugenious upo wapi?

Magenious ni kina Chegere. Wanaongoza toka wanazaliwa mpaka phd. Hao wengine ni one season wonder kama leicester city.
Hii kwa usalama zaidi, tuseme ni mtazamo wako, hapo sawa.

NB: "genius" not "genious"
 
Hii mada hainijadili mimi. I have never been mistaken for a Tanzania One. Let's put me aside.

Vitabu vya Kihombo kama havina ISBN basi ni vipeperushi vya notes zake.

His folkore chievements are strenuosly disputed.
Saint Anne anakwambia jamaa ni genious kisa ameandika kitabu cha physics.

Mgote na Muddy nao wanaweza kuandika vitabu kwa ku-combine handouts zao zote.

Being genious is all about consistency. Huwezi pata o'level div 1 ya mwisho halafu upate A a'level tukuite genious.

Hapo utakuwa umebahatisha, na mbaya zaidi unaenda ku-disco chuo.
 
Saint Anne anakwambia jamaa ni genious kisa ameandika kitabu cha physics.

Mgote na Muddy nao wanaweza kuandika vitabu kwa ku-combine handouts zao zote.

Being genious is all about consistency. Huwezi pata o'level div 1 ya mwisho halafu upate A a'level tukuite genious.

Hapo utakuwa umebahatisha, na mbaya zaidi unaenda ku-disco chuo.
Kigezo cha mtu fulani kuwa genius siyo "consistency," bali ni "exceptional skill" ama "rare natural ability" ama "very great creative power" katika eneo fulani.
 
Kuna jamaa alikuwa TO 2001 O-level akapata ufadhili kwenda Marekani mpk sasa wamarekani wanaye... Hatuna systems za kuwaweka watu kama hawa mahala pa kuwawezesha kufanya tafiti za kisayansi, na hali pia za maisha yake binafsi na wanaomzunguka pia hufanya mtu awaze mambo rahisi ya kumpatia pesa ndani ya muda mfupi kama hivyo kuishia kufundisha tuition
Amekwenda Marekani hajarudi, sisi tufanyeje, tuwanyime passport ma Tanzania One ??? How is that our fault that they never came back????

Wabadilishe system wao wenyewe! Wamalize degree zao, wakawe ma provost, na ma dissertationist, watengeneze research environment and curricular systems ambamo watastawi.

Unatuambiaje sisi, the garden variety students, tuwatengenezee wao research systems and curricular modalities ambazo ma Tanzania One watazipenda, how the hell do I know what interest is in his big dorky head ???

Amekwenda Marekani hajarudi, good riddance! He didn't wanna help his country to begin with.

Wapo waliobaki nchini. Among the transcendent giants of my generation, Charles Kichere at Tambaza, currently the CAG of the country, now that is undisputably a tremendous brain put to good use. And many thousand other gifted students across the history of Tanzanian academia who finished their degrees and stayed here or came back to benefit the country.

Tunapotezaje usingizi na ma Tanzania One wamekimbia nchi eti hatujawatengenezea mazingira ya tafiti, mara oooh hali ya maisha inawafanya wahangaikie matumbo kwenye ma tuition ya Mchikichini kama Muddy Physics. Of course wote tuna njaa, you are born in the third world, nani ana uchumi mlaini laini hapa? Wabaki Marekani, screw them!
 
hebu tuanzie hapa , kwanini unamkataa jamaa kwa mtazamo wako je , haiwezekani

mshikaji alikuwa na imagination za mbali mno, was real genius, he was passions, vision but he try to pust and hit the target, kama ukipata kusikiliza vision zake kuhusu space relativity , black holes, na
mechanisics especial kweny rotation dynamics Dah.........

u genius wake unakuja hapa amekuwa alama ya physics kwa phyisician wa tz, amesababisha ndoto njingi za watu zikawa real.....
jamaa aliku anamkubali sana Eistein na yeye alikuwa anatamani kuwa like him.....naaamini angepewa miaka 40 zaidi angefanya kitu
Angefanyaje na anadiscoshwa kila mwaka
 
Amekwenda Marekani hajarudi, tufanyeje, tuwanyime passport ??? How is that our fault they never came back????


Amekwenda Marekani hajarudi, sisi tufanyeje, tuwanyime passport ??? How is that our fault they never came back????

Wabadilishe system wao! Wamalize degree zao, wakawe ma provost, na ma dissertationist, watengeneze curricular systems ambazo kwazo watastawi.

Unatuambiaje sisi, the garden variety students, tuwatengenezee wao hizo research systems and curricular modalities ambazo magenius watazipenda, how the hell do I know what interest is in his big dorky head ???

Amekwenda Marekani hajarudi good riddance! He didn't wanna help his country to begin with.

Wapo waliobaki nchini. Among the transcendent giants of my generation, Charles Kichere at Tambaza, now the CAG of the country, now that is undisputably a tremendous brain put to good use. And many hundred others across the history of Tanzanian academia who finished their degrees and stayed here or came back to benefit the country.

Tunapotezaje usingizi na ma genius wamekimbia nchi eti hatujawatengenezea mazingira ya tafiti, sijui mara uchumi unawafanya wahangaikie matumbo kwenye ma tuition ya Mchikichini kama Muddy Physics. But off course, you are born in the third world, nani ana uchumi mlaini laini hapa? Wabaki Marekani, screw them!
Comment hii umenifuraisha [emoji23][emoji23]
 
Angefanyaje na anadiscoshwa kila mwaka
ukiwa na akili utaenda kuangalia products za ELIAS KIHOMBO, ENGINEEERS ,DOCTORS, MA T.O wengi tu wamepita kwenye mikono yake amabo wamenyoosha GPA za kibabe chuo hao wote hakuna asiye kiri MWANA uwezo wake bali
ingelikuwa kuna alimrecord jamaa, na wengi waliomfahamu mwamba hawaachi kukiri hilo, Tubakie tu na tabia ya kibongo kuendesha ligi tuzizozijua ili hali unajua kabisa uwezi kuwa kama jamaa na hutokaa uwe.
ISBN si tatizo , unaweza ukawa na ISBN alafu kitabu chako kikawa cha kawaida mimi naamini hakuna kitabu cha physics au chemistry kwa upande wa advance levels ambachokina ISBN kwanzia chandy, Rogers, u.p, ngaiza series, cheneye impacts kubwa kwa wanafunzi
vitabu vya ally abdallah., vya mwamba n.k namimi sijawai kitumia chochote chenye ISBN mara ya mwisho ilikuwa O.LEVEL
but itoshe kusema jamaa alikuwa anajua madude na impacts yake imeonekana, MUNGU AMBARIKI amlaze mahari pema peponi
 
Genious ni yule mwenye consistency ya matokeo.

Kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu.

Huko nyuma ufeli halafu uje kupata A a'level tuseme wewe ni genious?

Mbaya zaidi una-disco chuo mara mbili? Huo ugenious upo wapi?

Magenious ni kina Chegere. Wanaongoza toka wanazaliwa mpaka phd. Hao wengine ni one season wonder kama leicester city.
Kwahiyo jamaaa si kichwa Kama tulivyoambiwa au siyo??
 
Saint Anne anakwambia jamaa ni genious kisa ameandika kitabu cha physics.

Mgote na Muddy nao wanaweza kuandika vitabu kwa ku-combine handouts zao zote.

Being genious is all about consistency. Huwezi pata o'level div 1 ya mwisho halafu upate A a'level tukuite genious.

Hapo utakuwa umebahatisha, na mbaya zaidi unaenda ku-disco chuo.
Hivi mkuu mtu amepata wastani wa 98 unasema amebahatisha??
Hivi kwa ufaulu wake ni wa kusema amebahatisha??
Hivi unaweza bahatisha 99 ya physics?
Kwahiyo unataka kusema walikosea kumpa u T.O?

Kama ambavyo ma T.O wengine tu wanavyofanya vitu vingine,naye aliamua aandike vitabu...kwani lazima kila mtu afanye kile unachotaka wewe??
Kuandika kitabu unaona si muhimu??
Kuna viliowasaidia wengi Sana.

Unajua alidisco chuo kwa sababu gani?
 
Back
Top Bottom