TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Amekwenda Marekani hajarudi, sisi tufanyeje, tuwanyime passport ??? How is that our fault they never came back????

Wabadilishe system wao wenyewe! Wamalize degree zao, wakawe ma provost, na ma dissertationist, watengeneze research environment and curricular systems ambazo kwazo watastawi.

Unatuambiaje sisi, the garden variety students, tuwatengenezee wao research systems and curricular modalities ambazo ma Tanzania One watazipenda, how the hell do I know what interest is in his big dorky head ???

Amekwenda Marekani hajarudi, good riddance! He didn't wanna help his country to begin with.

Wapo waliobaki nchini. Among the transcendent giants of my generation, Charles Kichere at Tambaza, currently the CAG of the country, now that is undisputably a tremendous brain put to good use. And many hundred others across the history of Tanzanian academia who finished their degrees and stayed here or came back to benefit the country.

Tunapotezaje usingizi na ma Tanzania One wamekimbia nchi eti hatujawatengenezea mazingira ya tafiti, mara oooh hali ya maisha inawafanya wahangaikie matumbo kwenye ma tuition ya Mchikichini kama Muddy Physics. Of course wote tuna njaa, you are born in the third world, nani ana uchumi mlaini laini hapa? Wabaki Marekani, screw them!
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaaa ni mbishi sana aisee
Lol!nimekunyooshea mikono.


Kwahiyo bro kihombo ni genius au si genius?
 
Amekwenda Marekani hajarudi, sisi tufanyeje, tuwanyime passport ??? How is that our fault they never came back????

Wabadilishe system wao wenyewe! Wamalize degree zao, wakawe ma provost, na ma dissertationist, watengeneze research environment and curricular systems ambazo kwazo watastawi.

Unatuambiaje sisi, the garden variety students, tuwatengenezee wao research systems and curricular modalities ambazo ma Tanzania One watazipenda, how the hell do I know what interest is in his big dorky head ???

Amekwenda Marekani hajarudi, good riddance! He didn't wanna help his country to begin with.

Wapo waliobaki nchini. Among the transcendent giants of my generation, Charles Kichere at Tambaza, currently the CAG of the country, now that is undisputably a tremendous brain put to good use. And many hundred others across the history of Tanzanian academia who finished their degrees and stayed here or came back to benefit the country.

Tunapotezaje usingizi na ma Tanzania One wamekimbia nchi eti hatujawatengenezea mazingira ya tafiti, mara oooh hali ya maisha inawafanya wahangaikie matumbo kwenye ma tuition ya Mchikichini kama Muddy Physics. Of course wote tuna njaa, you are born in the third world, nani ana uchumi mlaini laini hapa? Wabaki Marekani, screw them!
Kihombo sio genius Bro.

Let us end this shit now

Sio genius Bro kama unavosema

But he tried to help some people

Labda Kama una ugomvi personal na kihombo uendelee na haya Mambo

Kihombo sio genius

Let him rest in peace then man


I hope you have lots of things to do man

Respect [emoji2936][emoji817]
 
Kihombo sio genius Bro.

Let us end this shit now

Sio genius Bro kama unavosema

But he tried to help some people

Labda Kama una ugomvi personal na kihombo uendelee na haya Mambo

Kihombo sio genius

Let him rest in peace then man


I hope you have lots of things to do man

Respect [emoji2936][emoji817]
Yaani anampinga kwa hali na Mali..
Asee sijawahi kuona watu wabishi namna hii ,mtu katangazwa T.O wanampinga na wengine wanasema amebahatisha!
Chaa!!unaweza bahatisha 99,98,97,98 ??
Jamani watanzania nimewanyooshea mikono juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji119]
 
Yaani anampinga kwa hali na Mali..
Asee sijawahi kuona watu wabishi namna hii ,mtu katangazwa T.O wanampinga na wengine wanasema amebahatisha!
Chaa!!unaweza bahatisha 99,98,97,98 ??
Jamani watanzania nimewanyooshea mikono juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji119]
Kuna ndugu wa karibu wa marehemu wamentafta pm

I think they're feeling bad about how their relative anaongelewa

Anayeamini kihombo ni genius fine , asiyeamini fine also

Tumwache apumzike kwa amani

Rest in peace Elias , I don't believe you are gone. SAD !
 
Hawa Tanzania One sijawahi ona mchango wao kwa taifa hili..wengi huishia kuwa waajiriwa wasio hata na mchango wenye kuleta mabadiliko kwenye taasisi. Ni sifa za Kijinga ambazo katika ulimwengu wa sasa ni useless. Dunia ya Sasa inataka Innovators sio As za kwenye vyeti.
Mchango wake utauona wanao au ndugu zako wakija Soma physics.

Ameacha kitu kinaishi.
 
Kugundua kitu nadhani hili ni swala la kimfumo zaidi, sifikiri kama nchi yetu inafanya tafiti au kituo cha kufanya tafiti za kisayansi/ engineering problem ambacho kinaweza pokea different ideas from different people na kuzifanyia kazi zaidi, zaidi zinaishia mavyuoni na kichwani tu, pia umaskini nao unachangia.

Mifumo yetu mingi ipo kisiasa zaidi , ndo mana saiz unaona hata wahandisi wadogo wanao Bora wafanye siasa , pia swala la undugulization nalo pia linaharibu elimu yetu na kuonekana haina thamani, ndo mana leo hata accountant au mwanafunzi wa form 4 anajiita engineer.
Kwani lazima agundue kitu?
Kwanini wasingundue wao hivyo vitu..
Kwanini wampangie Cha kufanya!?!
 
Kuna ndugu wa karibu wa marehemu wamentafta pm

I think they're feeling bad about how their relative anaongelewa

Anayeamini kihombo ni genius fine , asiyeamini fine also

Tumwache apumzike kwa amani

Rest in peace Elias , I don't believe you are gone. SAD !
Mkuu kupingwa ni kawaida sana.
Yesu mwenyewe pamoja na mazuri yote aliyofanya bado alipingwa na mpaka sasa anapingwa na baadhi ya watu,sembuse Kihombo??itakuwa Kihombo??!?
Watu ndivyo walivyo..hata ungefanya mazuri yapi!!bado watakupinga tu!

Hao ndugu wasijisikie vibaya,hivi ni vitu vya kawaida Sana.
 
Misifa kibao. Who is he? Yesu wa pili ama?

Mchango wake kwa Taifa ni upi? something tangible? Kupata "A" ya hisabati?

Natambua juhudi zake za kitaaluma lakini sio kwa kiwango cha mijisifa hii uliyommwagia!

Okay, apumzike kwa amani.

Jina lake nani vile umesema? Kihombo?
 
Hawa Tanzania One sijawahi ona mchango wao kwa taifa hili....
ni sifa za Kijinga ambazo katika ulimwengu wa sasa ni useless. Dunia ya Sasa inataka Innovators sio As za kwenye vyeti.

Hiyo sifa ya kijinga inasababishwa na baraza la mitihani. Unatangazaje huyu ni Tanzania One wakati:

1/ mitihani sio standardized
2/ waliopata straight As wako wengi kila mwaka
3/ alama za A huwa hazisemi una A ya ngapi
4/ serikali has a horse in the race...

Mkurugenzi wa mitihani anapewa cheo na Magufuli, analipwa mshahara na Magufuli, anapewa gari na Magufuli, atamtangazaje mtoto wa shule zinazoleta upinzani kwa shule za serikali kuwa kawashinda?

The concept of Tanzania One is an unbriddled fallacy. Mitihani ambayo siyo standardized, huwezi kusema A ya huyu ni kali kuliko ya yule, wanatudanganya.

Elias Kihombo, Martin Njegere, Muddy Physics na wengine wote waliofanya vizuri sekondari na kusikika sana enzi hizi za TEHAMA hongera sana. But beyond that, tighten up!

Mnashindwa hata na Muhammed Said, Mwanazuoni wa jamvi aliyeandika vitabu vya babu zake wa Kongo na Mkunguni waliotafuta uhuru peke yao halafu wakapigwa chini cabinet zote za Mwalimu. Off the meat rack, but the man got his books some ISBNs.
 
Huyo dogo hajui maana ya kusoma, amekalia kutumia neno "Kukariri" kama ndiyi msingi wa hoja wake. Ukiwa mjuaji sana ujue ndiyo unazidi kuwa mjinga.
Kama kihombo alivyofeli kwa kujua kwingi
 
Hiyo sifa ya kijinga inasababishwa na baraza la mitihani. Unatangazaje huyu ni Tanzania One wakati:

1/ mitihani sio standardized
2/ waliopata straight As wako wengi kila mwaka
3/ alama za A huwa hazisemi una A ya ngapi
4/ serikali has a horse in the race...

Mkurugenzi wa mitihani anapewa cheo na Magufuli, analipwa mshahara na Magufuli, anapewa gari na Magufuli, atamtangazaje mtoto wa shule zinazoleta upinzani kwa shule za serikali kuwa kawashinda?

The concept of Tanzania One is an unbriddled fallacy. Mitihani ambayo siyo standardized, huwezi kusema A ya huyu ni kali kuliko ya yule, wanatudanganya.

Elias Kihombo, Martin Njegere, Muddy Physics na wengine wote waliofanya vizuri sekondari na kusikika sana enzi hizi za TEHAMA hongera sana. But beyond that, tighten up!

Mnashindwa hata na Muhammed Said, Mwanazuoni wa jamvi aliyeandika vitabu vya babu zake wa Kongo na Mkunguni waliotafuta uhuru peke yao halafu wakapigwa chini cabinet zote za Mwalimu. Off the meat rack, but the man got his books some ISBNs.
Halafu uki-mention watu magenious Tz, usimweke Martin chegere kwenye list.huyu unatakiwa umwandike peke yake.
 
Amekwenda Marekani hajarudi, sisi tufanyeje, tuwanyime passport ma Tanzania One ??? How is that our fault that they never came back????

Wabadilishe system wao wenyewe! Wamalize degree zao, wakawe ma provost, na ma dissertationist, watengeneze research environment and curricular systems ambazo kwazo watastawi.

Unatuambiaje sisi, the garden variety students, tuwatengenezee wao research systems and curricular modalities ambazo ma Tanzania One watazipenda, how the hell do I know what interest is in his big dorky head ???

Amekwenda Marekani hajarudi, good riddance! He didn't wanna help his country to begin with.

Wapo waliobaki nchini. Among the transcendent giants of my generation, Charles Kichere at Tambaza, currently the CAG of the country, now that is undisputably a tremendous brain put to good use. And many thousand other gifted students across the history of Tanzanian academia who finished their degrees and stayed here or came back to benefit the country.

Tunapotezaje usingizi na ma Tanzania One wamekimbia nchi eti hatujawatengenezea mazingira ya tafiti, mara oooh hali ya maisha inawafanya wahangaikie matumbo kwenye ma tuition ya Mchikichini kama Muddy Physics. Of course wote tuna njaa, you are born in the third world, nani ana uchumi mlaini laini hapa? Wabaki Marekani, screw them!
The mentality you have is just like the rest of Tanzanians thats y we are and forever we ll be poor.. Unajua nn nchi zilizoendelea zinafanya kwa wale wachache walio gifted na high IQ!! hii ni 1% tu ya population yote. Hawa ndio engine za kuja na solutions na gunduzi unazoziona zote zina roots kutoka kwa watu wa aina hii. Wewe kajampa nani unachekelea kubofya smartphone hujawai kufikiria science behind it ama unafikiria an average person can do miracles. Jaribu kujielimisha utoe tongotongo....
 
Yaani anampinga kwa hali na Mali..
Asee sijawahi kuona watu wabishi namna hii ,mtu katangazwa T.O wanampinga na wengine wanasema amebahatisha!
Chaa!!unaweza bahatisha 99,98,97,98 ??
Jamani watanzania nimewanyooshea mikono juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji119]
@Saint Anne angalia hao ni wanafunzi waliongoza mitihani ya acca duniani.Acca wameona aibu kusema wamepata 100%.
ACCA tunaiheshimu ila watoto wa oxford na Cambridge wanapiga 99,98,97.
Tukubali tu kuna watu wako gifted jamani
20201123_054122.jpg
20201123_053045.jpg
 
Back
Top Bottom