Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
✓[emoji769]Ubwabwa wa Hashim RungweDah jamaa kafariki.
Nilikua form three, matokeo yalipotangazwa. mkuu wa shule Charwe akatangaza tule wali hata kama haikua siku ya wali.
RIP bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✓[emoji769]Ubwabwa wa Hashim RungweDah jamaa kafariki.
Nilikua form three, matokeo yalipotangazwa. mkuu wa shule Charwe akatangaza tule wali hata kama haikua siku ya wali.
RIP bro
Ma-TO wako wangapi? Tukijumlisha wa level zoteKwanini niendelee kwenda na ww,
hebu tuanzie hapa ,kwani nani kasema hawana IMPACT?
The fact ni kwamba jamaa katimiza kilicho mleta duniani, wapo wapasua ubungo wengi wamepita kwenye mikono yake, na wapo ma TO wengi wamepita kweye mikono yake,
kaacha impact na impact imeonekana. kama huwelew unakaza ubongo, haina noma kaza tu ubongo
kitu pekee ninacho kwambia chochote kile kinaitaji elimu, na niwachache wanaotumia elimu zao vyema kuleta matokeo chanya kwenye jamii
Yaani jamii yetu huwa siilewi hapa mtu kaacha mtegemezi mnasema afadhali?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamii yetu na kina nani!!!wewe na familia yako au na kina nani?usilazimishe kila mtu aamini unachoamini wewe.
Unajua huyo mtoto atakuja kuwa msaada kwa kina nani?mf;mimi baba yangu alikufa akaniacha na miezi minane (8) tu ila unajua sasa hivi ni kwa kiasi gani nimekuwa msaada kwa mama yangu,ndugu zangu na jamii inayonizunguka?unadhani kila mmoja angekuwa anakufa bila kuacha mtoto even wewe ungekuwepo leo?
Imani yangu wewe bado mtoto hujajitambua.
Ana uwezo wa kawaida tu ila sio genious.Kwahiyo jamaaa si kichwa Kama tulivyoambiwa au siyo??
Sihitaji kujua sababu ya kudisco.Hivi mkuu mtu amepata wastani wa 98 unasema amebahatisha??
Hivi kwa ufaulu wake ni wa kusema amebahatisha??
Hivi unaweza bahatisha 99 ya physics?
Kwahiyo unataka kusema walikosea kumpa u T.O?
Kama ambavyo ma T.O wengine tu wanavyofanya vitu vingine,naye aliamua aandike vitabu...kwani lazima kila mtu afanye kile unachotaka wewe??
Kuandika kitabu unaona si muhimu??
Kuna viliowasaidia wengi Sana.
Unajua alidisco chuo kwa sababu gani?
Kwahiyo walikosea kumpa u T.O?Ana uwezo wa kawaida tu ila sio genious.
Kwahiyo wewe mtu akidisco tu unahitimisha kuwa hana akili?Sihitaji kujua sababu ya kudisco.
🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]mhuni tu huyu ustaadhi na hapo ana wake watatu kaoa eti
Kina Saint Anne hao.Kumbe alikuwa arrogant namna hii?
Ndio maana wafuasi wake wamejaa upepo wa kumuabudu kama mandondocha.
Tatizo kibongo bongo tumezoea kuwa na viwango vya chini mno.Ana uwezo wa kawaida tu ila sio genious.
Sawa...Hahaha.....
Kweli umewabomoa bomoa hawa waswahili.
Huko Tanganyika mtu akifaulu chemistry anaitwa genius!
Sijaona kitu chochote spesho kwa hawa wanaoitwa genius.
Ninachokiona hapa ni watoto wa sekondari waliokuwa na uwezo wa kukariri kanuni tu na kujibu maswali.
Tukisema tunaambiwa tuna wivu dhidi ya wenye akili mingi.
Akili mingi gani kukariri kariri videsa vya kuokoteza!
Kuna mwingine anaitwa sijui Muddy fiziks! Wafuasi wake wanamuabudu kama masiha!
Aiseee.....
😲😲😲Hahaha.....
Kweli umewabomoa bomoa hawa waswahili.
Huko Tanganyika mtu akifaulu chemistry anaitwa genius!
Sijaona kitu chochote spesho kwa hawa wanaoitwa genius.
Ninachokiona hapa ni watoto wa sekondari waliokuwa na uwezo wa kukariri kanuni tu na kujibu maswali.
Tukisema tunaambiwa tuna wivu dhidi ya wenye akili mingi.
Akili mingi gani kukariri kariri videsa vya kuokoteza!
Kuna mwingine anaitwa sijui Muddy fiziks! Wafuasi wake wanamuabudu kama masiha!
Aiseee.....
1)Huyo jamaa alipiga msuli mnene A level. Aliinvest kwenye time. IkamlipaKina Saint Anne hao.
Kabla ya Kihombo kuna watu walikuwa wanapata A za physics na waliplay low.
😲😲Sema mchizi anaoneka alikuwa anawagonga sana watoto wa kike na umeme ndio unaonekana usoni ndio ulio mmwaga chini. Masikini sijui alikuwa Hali dawa za wazungu ambazo alikuwa anawaona kama hawana akili
Madogo wa molecular physics 🤣Kihombo is no more I was shocked like you when I first heard
He was more than a friend to me
🤣🤣Ana uwezo wa kawaida tu ila sio genious.
Hapo sasa....Kwahiyo walikosea kumpa u T.O?