TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Dah jamaa kafariki.

Nilikua form three, matokeo yalipotangazwa. mkuu wa shule Charwe akatangaza tule wali hata kama haikua siku ya wali.

RIP bro
✓[emoji769]Ubwabwa wa Hashim Rungwe
 
Kwanini niendelee kwenda na ww,
hebu tuanzie hapa ,kwani nani kasema hawana IMPACT?
The fact ni kwamba jamaa katimiza kilicho mleta duniani, wapo wapasua ubungo wengi wamepita kwenye mikono yake, na wapo ma TO wengi wamepita kweye mikono yake,
kaacha impact na impact imeonekana. kama huwelew unakaza ubongo, haina noma kaza tu ubongo
kitu pekee ninacho kwambia chochote kile kinaitaji elimu, na niwachache wanaotumia elimu zao vyema kuleta matokeo chanya kwenye jamii
Ma-TO wako wangapi? Tukijumlisha wa level zote
Na utaratibu wa TO umeanza mwaka gani?
Maana sasa hizi sifa mpaka naanza kuwaza

Ukisema kuna Ma TO wengi mavyuoni, viwandani na mahospitali

Ukisema kuna Ma TO wengi wamepitia mikononi kwake naanza kujiuliza Tanzania ina Ma TO wangapi?
 
Yaani jamii yetu huwa siilewi hapa mtu kaacha mtegemezi mnasema afadhali?
Jamii yetu na kina nani!!!wewe na familia yako au na kina nani?usilazimishe kila mtu aamini unachoamini wewe.

Unajua huyo mtoto atakuja kuwa msaada kwa kina nani?mf;mimi baba yangu alikufa akaniacha na miezi minane (8) tu ila unajua sasa hivi ni kwa kiasi gani nimekuwa msaada kwa mama yangu,ndugu zangu na jamii inayonizunguka?unadhani kila mmoja angekuwa anakufa bila kuacha mtoto even wewe ungekuwepo leo?

Imani yangu wewe bado mtoto hujajitambua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi mkuu mtu amepata wastani wa 98 unasema amebahatisha??
Hivi kwa ufaulu wake ni wa kusema amebahatisha??
Hivi unaweza bahatisha 99 ya physics?
Kwahiyo unataka kusema walikosea kumpa u T.O?

Kama ambavyo ma T.O wengine tu wanavyofanya vitu vingine,naye aliamua aandike vitabu...kwani lazima kila mtu afanye kile unachotaka wewe??
Kuandika kitabu unaona si muhimu??
Kuna viliowasaidia wengi Sana.

Unajua alidisco chuo kwa sababu gani?
Sihitaji kujua sababu ya kudisco.
 
Hahaha.....

Kweli umewabomoa bomoa hawa waswahili.

Huko Tanganyika mtu akifaulu chemistry anaitwa genius!

Sijaona kitu chochote spesho kwa hawa wanaoitwa genius.

Ninachokiona hapa ni watoto wa sekondari waliokuwa na uwezo wa kukariri kanuni tu na kujibu maswali.

Tukisema tunaambiwa tuna wivu dhidi ya wenye akili mingi.

Akili mingi gani kukariri kariri videsa vya kuokoteza!

Kuna mwingine anaitwa sijui Muddy fiziks! Wafuasi wake wanamuabudu kama masiha!

Aiseee.....
Sawa...

Basi akili nyingi unazo wewe.....😁😁

Kwani kukariri sio package ya AKILI NYINGI....?!!!

Hao magenius wote ambao tunawasoma ima katika SCIENCE ama PHILOSOPHY wote walikuwa na UWEZO MKUU wa kukariri...

Hata mitume wanaoaminika na wanadini...wote walikuwa na uwezo mkubwa wa KUKARIRI....kwa maneno yako akina prophet Moses hawakuwa ni MAGENIUS.....

Tatizo lako unapenda "ligi" na kumdharau kila mwenye hoja tofauti usizozipenda.....

Nina hakika hujawahi kusoma kitabu kiitwacho UP...

Ungekuwa unaujua uwezo adimu aliopewa marehemu Elias wala usingebwata hapa....

Leo hii dunia nzima inaamini ya kwamba watu wanaosoma fani hizi mbili,wana uwezo wa kipekee kuliko WENGINE....
1.Medicine
2.Law

Hujiulizi kwanini wanaamini hivyo?!!!

Jibu...

Ni"ARTS" inazohitaji uwezo mkubwa wa IMAGINATION na "kukariri" UNAKOKUBEZA....

Kalaghabaho!!
 
Hahaha.....

Kweli umewabomoa bomoa hawa waswahili.

Huko Tanganyika mtu akifaulu chemistry anaitwa genius!

Sijaona kitu chochote spesho kwa hawa wanaoitwa genius.

Ninachokiona hapa ni watoto wa sekondari waliokuwa na uwezo wa kukariri kanuni tu na kujibu maswali.

Tukisema tunaambiwa tuna wivu dhidi ya wenye akili mingi.

Akili mingi gani kukariri kariri videsa vya kuokoteza!

Kuna mwingine anaitwa sijui Muddy fiziks! Wafuasi wake wanamuabudu kama masiha!

Aiseee.....
😲😲😲
 
Hisia zangu ni kuwa.
Jamaa alifeli chuo kwa sababu hakuhudhuria au hakuvisoma vitu,akakuta mitihani vitu havijui.

Course nyingi za chuo hata vitu vikiwa simple ,usiposoma lazima upoteane.

Izingatiwe kuwa huyu Elias alikuwa anasoma sana A level,msuli mnene ndio akafaulu sana.

Chuo hakusoma vizuri,mambo yakae
Kina Saint Anne hao.

Kabla ya Kihombo kuna watu walikuwa wanapata A za physics na waliplay low.
1)Huyo jamaa alipiga msuli mnene A level. Aliinvest kwenye time. Ikamlipa

2)Huyo jamaa chuo haku invest kwenye time,akienda kwenye mitihani,maruwe ruwe. Telecommunications
3) Alivyorudi tena. Hakuinvest kwenye time. Maruwe ruwe . Petroleum

Kufelishwa Na maprof ni vijisababu.

Hata Ukiwa Genius(yawezekana Na yeye ni Genius) usiposoma ,chuo kipigo nje nje.

Angekuwa anafundisha O level alipokuwa A level,asingepata hiyo 1:3PCM ,wanafunzi wa O level wangesema Ticha wetu ameonewa Na BAMAGA.
 
Basi kila mtu atajifanya yuko better than him,shukeni na nyie mafizkisi tuwaone,watu mna wivu hata kwa umaarufu mdogo alio kuwa nao..mweeehhhh...jiulize mimi au wewe ukifa utafikisha page ngapi humu watakaosema wanakujua..?? 🤣 🤣 🤣 🤣 ameacha alama duniani,sio jamii ikufanyie nini wewe,jiulize utaifanyia nini jamii..?? kaka Elias,vita umevipigana mwendo umeumaliza..ulale pema
 
Sema mchizi anaoneka alikuwa anawagonga sana watoto wa kike na umeme ndio unaonekana usoni ndio ulio mmwaga chini. Masikini sijui alikuwa Hali dawa za wazungu ambazo alikuwa anawaona kama hawana akili
😲😲
 
Back
Top Bottom