TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Hebu waambie na wewe dada

Mtu ana average 98% masomo yote
Phy 99%
Chem 97%
A.maths 98%
Gs 98 %
Wanasema alibahatisha
Hivi unaweza kubahatisha yote hayo?[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
Hivi unaweza bahatisha bila kuwa na akili??
Yaani tuende tu na hiyo physics...upate 99% kwa kubahatisha??hakuna bahati za hivyo duniani.

Yaani watu wamekomaa ,hawataki kukubali [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na nimegundua wengi hawajaisoma hata hiyo physics..mziki wake hawaujui.
Ila wamekomaa tu kusema "alibahatisha"

Watanzania wivu unatusumbua..
Jamaa alikuwa kichwa..katuzidi wengi tu humu..yawezekana wote.
Ila watu ndo hawataki sasa kukubali.
Hiyo average ya 98 mmeitoa wapi? Mlienda Necta mkapewa?
 
sizani kama tunaleta ligi, kwasababu" if I am man , i dont need to prove i am confidence " itoshe kusema he is best , so kupata history kwangu sijui kama kuna uhusiano wowote na mada tajwa
Wasomi wa siku hizi kizungu kinawasumbua sana

Hapo ulipata A za kutosha je ungekuwa kilaza?

Andikeni kiswahili
 
Poleni ndg na jamaa wa familia hii Mwenyezi Mungu awape wepesi katika kipindi hiki.binafsi sijui sorce ya taarifa ya hizi za marks ie. Ave hii ya 98 .but kama ni kweli kabsa alipata hivo nijuavyo adv phys eti mtu alipga 99 baada ya kutafuta average ya paper zile tatu bila kujali sana nature ya paper ya mwaka huo ie.2006 japo naamini phys yetu adv ya 2007 ndio ilikuwa hot sana but all in all jamaa ni hatareeeeeeee.hata league iwekwe hapa hadi mwaka uishe lakn kijani itabaki kuwa kijani nyekundu itabaki kuwa nyekundu.
 
O'level alipata div 1 ya 14. Huko primary hatuna matokeo yake. Chuo aka dico mara mbili.

Inavyoonekana alifaulu kwa kusoma sana na sio genius kama inavyosemekana.

Ndio maana nasimama na msimamo wangu, genius ni consistency ya kile unachofanya.
Wivu unakusumbua
 
Mwalimu anaweza asijue technique nzuri za kufundisha ili aeleweke ingawa ana uelewa mpana shida ni how anavo deliver material yake aeleweke. Na physics swali laja direct if you know you know tu, tofauti na maswali ya history swali moja linaweza kuulizwa kwa namna mia moja tofauti tofauti Ila likimaanisha kitu kile kile, tofauti na science au hesabu aisee
Swali la physics Lipo straight hauko serious jaribu kuangalia toturial za prof Walter Lewin YouTube halafu ndio ujue huko bongo tunafanyaga A'level hizo topics. Halafu physics ipo fact na day to day mambo mengi unayofanya kwenye physics yanakuambia nini sababu . Kama kwa nini ndege mbele imechongoka Bernoulli principle inaelezea. Pia kwa nini tunasemega treni imasumaku inakuvuta ? Sunction effect inaelezea . Physics haikimbiliki kwenye maisha ya kila siku
 
Mavumbini ndiko chimbuko letu sisi wanadamu na tutarudi huko! Tumuombe Mungu sana ili wakati unapofika basi utukute tukiwa na roho safi!
 
Hisia zangu ni kuwa.
Jamaa alifeli chuo kwa sababu hakuhudhuria au hakuvisoma vitu,akakuta mitihani vitu havijui.

Course nyingi za chuo hata vitu vikiwa simple ,usiposoma lazima upoteane.

Izingatiwe kuwa huyu Elias alikuwa anasoma sana A level,msuli mnene ndio akafaulu sana.

Chuo hakusoma vizuri,mambo yakae

1)Huyo jamaa alipiga msuli mnene A level. Aliinvest kwenye time. Ikamlipa

2)Huyo jamaa chuo haku invest kwenye time,akienda kwenye mitihani,maruwe ruwe. Telecommunications
3) Alivyorudi tena. Hakuinvest kwenye time. Maruwe ruwe . Petroleum

Kufelishwa Na maprof ni vijisababu.

Hata Ukiwa Genius(yawezekana Na yeye ni Genius) usiposoma ,chuo kipigo nje nje.

Angekuwa anafundisha O level alipokuwa A level,asingepata hiyo 1:3PCM ,wanafunzi wa O level wangesema Ticha wetu ameonewa Na BAMAGA.
Mkuu telecom, sio alidisco first year.. mwaka wa 4. Mpe heshima yake asee. Pamoja na mishe nyingi bado ali survive hadi huo mwaka.

Yaweza kuwa ubiz na kutafuta chapaa akapuuza habar za masomo ukizingatia jamaa pia anaonekana alikuwa mjivuni mno, labda wakamla kichwa tu ili aheshimu wengine.
 
Mkuu telecom, sio alidisco first year.. mwaka wa 4. Mpe heshima yake asee. Pamoja na mishe nyingi bado ali survive hadi huo mwaka.

Yaweza kuwa ubiz na kutafuta chapaa akapuuza habar za masomo ukizingatia jamaa pia anaonekana alikuwa mjivuni mno, labda wakamla kichwa tu ili aheshimu wengine.
MTU awezafika mwaka wa NNE kwa GPA ya kuchechemea.
Kuna siku iliwekwa GPA ya Ontario ikaonekana hali haikuwa hali.
Hata ukiwa Na akili sana,usiposoma vizuri ni rahisi kujikwaa Chuo.
Mwisho wasiokuwa Na taarifa watasema umeonewa
 
Tatizo kibongo bongo tumezoea kuwa na viwango vya chini mno.

Hivyo akitokea mtu akafanya vizuri kidogo tu, anaitwa genius, ilhali wala hana u genius wowote ule.
Nenda kasome ufanye necta upate kama jamaa kama unadhani mchezo.
Kama unadhani hana ugenius wowote kajaribu upate kama yeye,au jaribu tu ile 75,76,76 uliyokuwa unairahisisha pale juu.

Usiishie tu kupiga porojo mdomoni.
 
Kina Saint Anne hao.

Kabla ya Kihombo kuna watu walikuwa wanapata A za physics na waliplay low.
Uzi unamuongelea Kihombo na ndiyo maana tunamsema.
Hao watu wengine kama wapo waweza wafungulia Uzi pia tutachangia,huu ni wa Kihombo.

Mimi namwabudu Mungu tu!
Usitake kuichafua Imani yangu.
 
Nenda kasome ufanye necta upate kama jamaa kama unadhani mchezo.
Kama unadhani hana ugenius wowote kajaribu upate kama yeye,au jaribu tu ile 75,76,76 uliyokuwa unairahisisha pale juu.

Usiishie tu kupiga porojo mdomoni.
Jazba la nini sasa?

Huyo marehemu ni nduguyo? Una uhusiano naye wa aina yoyote ile? Manake umekomaa na kushupaza shingo kana kwamba wewe ni mdau wa huyo marehemu.

Mimi wala sijasema hakuwa jiniasi. Nimesema tu kwa ujumla kuwa mtu anaweza kuonekana ni jiniasi ilhali si jiniasi. Jambo ambalo ni la kweli. Unaweza kumrejea Bethuel Mbugua wa Kenya.

Hata hivyo, mimi ni kilaza tu. Ni mbeba maboksi. Hizo “75,76,76” ni za kwenu nyie majiniasi 🤣.

Calm down.
 
Back
Top Bottom