TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

We bwana mdogo upo kizazi cha show off, kutumia pro max hakujustify income level ya mtu,

Kila mtu na preference zake, mimi si mpenzi sana wa fasheni za simu.

Hii ni ya dharula tu. Natumia sana simu ndogo kwa mawasiliano, kwa internet natumia computer.


Nb.

Kupata A hata CPA, haku-guarantee kupata kazi nzuri.
Hata sasa kuna A nyingi kitaa
Sasa wadau wameamia kwenye simu, RIP KIHOMBO , wishing ungeamka huku uone hawa wahenga wanachokufanyia
 
Yaani we mzito sana kuelewa sasa unataka tuanze tena kazi ya kufafanua hapa utofauti kati ya Ordinaly na Advanced/ levels of education.

Try to be serious aise ama wewe una muda wa kukaa sana JF kupitia kila comment.. mm sina huo muda
I think wewe ndiye bila shaka hauko serious, na sina hakika kama unajiamini. Kwanza, umejibu hoja fulani (kwa kukurupuka!?). Umeulizwa endapo una hakika kama umelielewa swali!? Bila kujibu "Ndiyo" ama "Hapana," kama kawaida yako umekurupukia kujibu kwa kirefu swali ambalo halikuulizwa plus hoja & swali lingine juu ya maelezo. Ungekuwa "serious" kama unavyodai, ungekiri tu mapema kwamba ama umelielewa swali husika ama hukuliewa. Usione aibu, aisee! Haiwezi kukuondolea wala kukupunguzia sifa yako ya TO 2016! "Elimu haina chama!"
 
I think wewe ndiye bila shaka hauko serious, na sina hakika kama unajiamini. Kwanza, umejibu hoja fulani (kwa kukurupuka!?). Umeulizwa endapo una hakika kama umelielewa swali!? Bila kujibu "Ndiyo" ama "Hapana," kama kawaida yako umekurupukia kujibu kwa kirefu swali ambalo halikuulizwa plus hoja & swali lingine juu ya maelezo. Ungekuwa "serious" kama unavyodai, ungekiri tu mapema kwamba ama umelielewa swali husika ama hukuliewa. Usione aibu, aisee! Haiwezi kukuondolea wala kukupunguzia sifa yako ya TO 2016! "Elimu haina chama!"
Uelewa wako ni mdogo sana kwa hiyo kama mna maana tofauti ya neno "advanced level" kama ambavyo imekuwa ikitumika humu kwa maana ya level ya education F5_6 kwa mujibu wa system ya elimu ilivyo elezea wewe hiyo maan. Nonsense questions sina muda wa kujibu shida utoto mwingi
 
Uelewa wako ni mdogo sana kwa hiyo kama mna maana tofauti ya neno "advanced level" kama ambavyo imekuwa ikitumika humu kwa maana ya level ya education F5_6 kwa mujibu wa system ya elimu ilivyo elezea wewe hiyo maan. Nonsense questions sina muda wa kujibu shida utoto mwingi
Hapo ndipo unapofeli, Mr TO! Umesema huna muda wa kupoteza kujibu, wakati unaendelea kujibu!?? The only problem, kila unapojibu, unaonesha ni such meticulous expert particularly specialized in beating around the bush. Nadhani ungefaa sana kuwa wakili wa Trump, ukamsaidie Ruddy Giuliani kupindua meza jamaa arudi WH.
 
Hapo ndipo unapofeli, Mr TO! Umesema huna muda wa kupoteza kujibu, wakati unaendelea kujibu!?? The only problem, kila unapojibu, unaonesha ni such meticulous expert particularly specialized in beating around the bush. Nadhani ungefaa sana kuwa wakili wa Trump, ukamsaidie Ruddy Giuliani kupindua meza jamaa arudi WH.
Trump anaingiaje humu kama huelewi mfumo wa elimu yetu mtu wa hivyo unasaidiwaje kama siyo utoto.... sasa mtu alipata As zote 5 tena za 98,99 n.k bado mtu anapinga kuwa hakuwa na uwezo kama siyo uchawi ni nini..
 
Trump anaingiaje humu kama huelewi mfumo wa elimu yetu mtu wa hivyo unasaidiwaje kama siyo utoto.... sasa mtu alipata As zote 5 tena za 98,99 n.k bado mtu anapinga kuwa hakuwa na uwezo kama siyo uchawi ni nini..
Hili ni jibu la swali lile la "advanced," au!?? Labda nijaribu upya: Je umeelewa mantiki ya swali la jamaa??? (Nimeuliza; mjumbe hauawi!)
 
Elimu ya Advance ndiyo ngumu zaidi katika levels zote za elimu TZ. Curriculum ina content kubwa inayopaswa kumalizwa ndani ya muda mfupi sana, kihalali mwaka na nusu.

Comb za sayansi ni hatari zaidi hivyo mtu kupata consistently masomo yote above 98% for sure he is exceptional. Which means ubongo wake ameweza kuelewa kile alichokuwa amekisoma kwa ujumla wake by 98% tena katika domain dofauti za physics, chemistry and mathematics.

High IQ inapimwa kwa maswali na uwezo wa kuyasolve maswali husika. Juhudi zake katika kile alichokuwa anakifanya ni za kuheshimiwa.
Uyu Jamaa alikuwa noma Sana , Mana wote tunasoma kwa kipindi miaka miwili hafu wengine wanapata c, na wengine A Tena ya 98. This is best TO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji14]
Kuna watu ni mashujaa wa kupinga jamani[emoji23][emoji23]
Asee wanampinga hadi T.O?[emoji23][emoji23][emoji23]

Mkuu hawa wanaobeza naanza kuona kuwa wengi wao ni Hechi kunani (H.. ) Hizi combi wanaonaga ile tunawaambia juu ya ugumu wa Physics basi wao huona tunaipa hype Physics bure.! Na hawa ni wabishi sana mnooo acha tu
 
Mkuu hawa wanaobeza naanza kuona kuwa wengi wao ni Hechi kunani (H.. ) Hizi combi wanaonaga ile tunawaambia juu ya ugumu wa Physics basi wao huona tunaipa hype Physics bure.! Na hawa ni wabishi sana mnooo acha tu
Shida si HKL
Shida ni wivu wao tu unawasumbua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hata huko HKL sidhani Kama kupata ufaulu kama wa jamaa ni rahisi kiasi hicho.

Ila tukienda pia kwenye point yako,hata tungebishana hadi usiku, ukweli utabaki tu kuwa physics huwezi linganisha na masomo mengine.
 
Shida si HKL
Shida ni wivu wao tu unawasumbua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hata huko HKL sidhani Kama kupata ufaulu kama wa jamaa ni rahisi kiasi hicho.

Ila tukienda pia kwenye point yako,hata tungebishana hadi usiku, ukweli utabaki tu kuwa physics huwezi linganisha na masomo mengine.

Daaah ni shida sana Mkuu. Vipi lakini my dear, Umeamkaje lakini my wangu [emoji8][emoji8][emoji39]
 
Expected General Manager unatumia Tecno?? Tena ulipata "A" ya "Manager" yaani Mathematics 🤣🤣🤣🤣

Tatizo JF watu mmezoea kamba sana.. Mkuu kama kweli hayo yalikuwa matokeo yako then ukaenda UDSM kusoma Accounts au Economics leo hii ungekuwa na CPA au Senior Economist flani pale BOT au Ministry of Finance na ungekuwa kwenye iPhone 12 pro max au hata iPhone 11..

Acheni kamba vijana...🤣🤣
Duh Mkuu una majungu fulani yana ka ukweli ndani yake. Sitaacha kutgumia jamii forum
 
Back
Top Bottom