Pesa kidogo ameshaanza kula seafoodpesa kidogo tu unaanza kutafuta restaurant, mbaya zaidi chakula cha usiku unakiita dinner.
eeeh, iko obvious watu wanaopatia pesa ukubwani.. pesa kidogo, anataka akale karibu na beach.Ah kudadekii [emoji38][emoji38][emoji38]
Pesa kidogo ameshaanza kula seafood
amesema per head hiyo 50k mkuu.Ongeza budget mkuu labda ungekuwa pekee yako kidogo!
Best rest... yaitwa HamuWadau naulizia restaurant yenye chakula kizuri ninapoweza kwenda na mwenza kupata chakula cha mchana au dinner. Napendelea zaidi seafood, na itakuwa nzuri zaidi restaurant ikiwa maeneo ya beach. Bei isizidi sana 50,000 kwa mtu
Mkuu maisha ni pamoja na kufurahi, sio kupigika kila siku tu 😆 😆 😆Ah kudadekii 😆😆😆
Pesa kidogo ameshaanza kula seafood
Iko wapi hiyo kiongozi?Best rest... yaitwa Hamu
Ingine nzuri Samaki
Kuwa serious basi. Mwenzako anaomba msaada unaanza kumletea majibu ya kimzaha. Kwani kama haujui si ukae kimya bwana?!pesa kidogo tu unaanza kutafuta restaurant, mbaya zaidi chakula cha usiku unakiita dinner.
Mkuu next time usipoteze muda wako kuja kuuliza mambo muhimu hapa jf siku hizi kuna watoto wengi sana ambao wengi wao hata hawajaexperience maisha kiuhalisia wanabakia kutype upuuzi kwenye mambo ya msingi.Wadau naulizia restaurant yenye chakula kizuri ninapoweza kwenda na mwenza kupata chakula cha mchana au dinner. Napendelea zaidi seafood, na itakuwa nzuri zaidi restaurant ikiwa maeneo ya beach. Bei isizidi sana 50,000 kwa mtu
braza unateseka wapi!?.Kuwa serious basi. Mwenzako anaomba msaada unaanza kumletea majibu ya kimzaha. Kwani kama haujui si ukae kimya bwana?!
Ingine Lavender zote zipo Oyster bay/masaki beachIko wapi hiyo kiongozi?
mkuu you cant be serious can you!?.. back in the day, .. which days do u mean!?.. nmeanza kutumia jf 2013 nkafungua account ya kwanza 2014 2019 ikafungiwa na sasa nna nyingine hii hapa.. since then jf there was always must be someone who was never serious and i fall on that group.. itc just that watu kama mimi sasahvi tumekua wengi, i always think "being matured is to be able to understand anyone, anywhere and whatever else situation mean while knowing when to SHUT UP and when to MIND YOUR OWN business".. i dont mean to offend you pal, but i hope you understand... si kila mtu ni mtoto hapahapa, if you think you are mature enough then i'll double doubt your maturity bro.Mkuu next time usipoteze muda wako kuja kuuliza mambo muhimu hapa jf siku hizi kuna watoto wengi sana ambao wengi wao hata hawajaexperience maisha kiuhalisia wanabakia kutype upuuzi kwenye mambo ya msingi.
Back in the day ilikuwa ni rahisi sana kupata ushauri hapa JF unapokuwa na changamoto yoyote sababu members walikuwa ni watu serious na wanaijitambua na wasiochukulia JF kama kijiwe cha mizaha na porojo za uongo.
Bora umemwambia wamezidi umavimavi.Kuwa serious basi. Mwenzako anaomba msaada unaanza kumletea majibu ya kimzaha. Kwani kama haujui si ukae kimya bwana?!
Asante sana mkuuIngine Lavender zote zipo Oyster bay/masaki beach
Pesa yake mnataka kumpangia jinsi ya kutumia wakuu?eeeh, iko obvious watu wanaopatia pesa ukubwani.. pesa kidogo, anataka akale karibu na beach.
Hahaha ... niku join? Ntajilipa !! HahahaAsante sana mkuu
Unakosea mkuu.... Mnakosea sana mnapokuwa mnaleta mzaha mwenzenu anapouliza jambo serious.braza unateseka wapi!?.