mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
hapana mkuu, hatumpangii... kiuhalisia kitu anachokifanya mimi na wengi hua tunakifanya pia..Pesa yake mnataka kumpangia jinsi ya kutumia wakuu?
nmekuelewa mkuu.. wacha niombe radhi kwa mwenye uzi, kama alikua amekereka.Unakosea mkuu.... Mnakosea sana mnapokuwa mnaleta mzaha mwenzenu anapouliza jambo serious.
Ndio maana siku hizi watu serious humu jf hawaji sana maana wanaona kuna utoto mwingi.
Back in the day hata ukiwa na shida ya connection ya kazi au mchongo wowote ukija JF ilikuwa ni 90% chance ya kupata mtu au watu serious wa kukusaidia....
Ila miaka hii mnafanya mizaha sana.
Wewe omba radhi tu.nmekuelewa mkuu.. wacha niombe radhi kwa mwenye uzi, kama alikua amekereka.
Take no offense from my comments my brother , my point was to correct your response kwa namna haujamchukulia serious mleta uzi.mkuu you cant be serious can you!?.. back in the day, .. which days do u mean!?.. nmeanza kutumia jf 2013 nkafungua account ya kwanza 2014 2019 ikafungiwa na sasa nna nyingine hii hapa.. since then jf there was always must be someone who was never serious and i fall on that group.. itc just that watu kama mimi sasahvi tumekua wengi, i always think "being matured is to be able to understand anyone, anywhere and whatever else situation mean while knowing when to SHUT UP and when to MIND YOUR OWN business".. i dont mean to offend you pal, but i hope you understand... si kila mtu ni mtoto hapahapa, if you think you are mature enough then i'll double doubt your maturity bro.
enjoy,eat and bite what suits you.
nimekupata mkuu, no offence and nothing personal.Take no offense from my comments my brother , my point was to correct your response kwa namna haujamchukulia serious mleta uzi.
Mimi pia nimekutana na scenario ya namna hiyo several times kiasi kwamba imeniumiza sana akili. But the thing is tusiwe tunageuza hii platform kuwa kijiwe cha mizaha. Don't take it personal or any other way.
Bila shida mkuu na mimi nikuombe radhi kwa kukurekebisha bila ridhaa mkuu.nmekuelewa mkuu.. wacha niombe radhi kwa mwenye uzi, kama alikua amekereka.
Peace brothernimekupata mkuu, no offence and nothing personal.
POSTO BELLA wana sea food hivi?!Achana na wapondaji mkuu, labda bado kula kulala..
Mikocheni ..GEEZ HANGOUT karibu kwa mzee mwinyi
Mbezi beach - barabara ya chini - WINGMAN. karibu na club Hangover
Nyingine mbezi beach - NJIANI karibu na BOT FLATS
Bahari beach- RUDDYS FARM
Bunju - POSTO BELLA, karibu na mianzini ingia ndani.
Wanazo..POSTO BELLA wana sea food hivi?!
Mleta uzi ingia hapo chap.... Itakupeleka kwenye google map page ya hiyo kitu then utakwenda
Yeah na hiyo ndio muhimuWanazo..
Hata masai mara au pale africana karibu na giraffe kwa CHEFKILE..
Hawa wote utawapata Instagram. Nakushauri ufanye reservation kwanza usikose meza mkuu
Wewe mwenyewe hujamjibu nilitegemea baada ya hizo paragraph nikute umempa jibu.Mkuu next time usipoteze muda wako kuja kuuliza mambo muhimu hapa jf siku hizi kuna watoto wengi sana ambao wengi wao hata hawajaexperience maisha kiuhalisia wanabakia kutype upuuzi kwenye mambo ya msingi.
Back in the day ilikuwa ni rahisi sana kupata ushauri hapa JF unapokuwa na changamoto yoyote sababu members walikuwa ni watu serious na wanaijitambua na wasiochukulia JF kama kijiwe cha mizaha na porojo za uongo.
Kwa kweli hawa watoto wanaiharibu JF hasa GT kwa kasi ya ajabu sana, kwao kila kitu mzaha mzaha. Matumizi mabaya kabisa ya bundle zao..Mkuu next time usipoteze muda wako kuja kuuliza mambo muhimu hapa jf siku hizi kuna watoto wengi sana ambao wengi wao hata hawajaexperience maisha kiuhalisia wanabakia kutype upuuzi kwenye mambo ya msingi.
Back in the day ilikuwa ni rahisi sana kupata ushauri hapa JF unapokuwa na changamoto yoyote sababu members walikuwa ni watu serious na wanaijitambua na wasiochukulia JF kama kijiwe cha mizaha na porojo za uongo.
Asante sana brotherAchana na wapondaji mkuu, labda bado kula kulala..
Mikocheni ..GEEZ HANGOUT karibu kwa mzee mwinyi
Mbezi beach - barabara ya chini - WINGMAN. karibu na club Hangover
Nyingine mbezi beach - NJIANI karibu na BOT FLATS
NELLYS INN kwa zena mbezi beach
Bahari beach- RUDDYS FARM
Bunju - POSTO BELLA, karibu na mianzini ingia ndani.
Ununio MASAI MARA
Asante sana mkuuNenda KARAMBEZI ipo masaki..unaweza google ukaicheki..It has a very nice Scenery..Fantastic Ocenic view..
Karibu..Asante sana brother
Asante sana brotherWanazo..
Hata masai mara au pale africana karibu na giraffe kwa CHEFKILE..
Hawa wote utawapata Instagram. Nakushauri ufanye reservation kwanza usikose meza mkuu