Restructuring of the Kenya Defence Forces

Restructuring of the Kenya Defence Forces

Acha kupiga domo badala yake let's facts kama mwenzako anavyofanya, umegundua ukweli juu ya uwezo wa TPDF airforce dhidi ya Kenya Drinking Force, sasa umeanza kuropoka, lete facts unachokisema, ten years back, Tanzania imenunua vifaa vingi sana vya kisasa kuanzia vifaru vya makini na nchi kavu, surface to surface lesser guided missiles, surface to air missiles, Fighter jets na meli za kivita, hakuna kifaa kinachotumiwa na TPDF ambacho kina zaidi ya miaka 20.
Sasa hio pesa ngetumia kujitoa kutoka lindi la umasikini. Tatizo la waafrika ni kutaka misifa bila kujali hali ya umasikini ya wananchi wa kawaida
 
Last major terror attack in Kenya ( except in Mandera and Lamu) happened in April 2015 in Garissa technical university. Tangu hio siku, mtoto aliyezaliwa hio siku, saa hii ako na miaka mitatu unusu, anatembea anaongea, bila Kenya kushuhudia attack nyingine. Hio ni Garissa, Nairobi ni zaidi ya miaka minne sasa, huyo mtoto aliyezaliwa hizo nyakati sasa hivi anaenda shule ya chekechea kusoma Abcd na 1+1.
We are talking about attacks, hiyo major au minor umeitoa wapi?, any attack is important whether it causes casualties or not, because if no one is injured then it causes terror, which is the goal of any terrorist just to cause terror.
Two Mandera teachers killed in dawn Shabaab raid
What can you call this[emoji115]

When you compare please give data to show number of attacks before and after KDF went to Somalia.
 
China is decades behind USA, Russia and Europe in military equipments.. they can build roads and railway but weapons esp avionics, they still buy engine technology from Russia.

This is the comparison
Chengdu J-7 - Fighter aircraft
Range: 2,200 km
Max speed: Mach 2.0 (2,200 km/h)
Service ceiling: 17,500 m
Weight empty: 5.3 t
Weight max: 9.1 t

Crew: 1

Sukhoi Su-30 - Multirole fighter
Range: 3,000 km
Max speed: Mach 2.0 (2,120 km/h, 1,320 mph)
Service ceiling: 17,300 m
Weight empty: 17.7 t
Weight max:34.5 t

Crew: 2

Look at the difference in bold - Range and weight it can carry - that means it can carry more missiles/bombs many times compared to the J-7....

These 2 jets are incomparable my friend and i have not even included the other technical specs, this is what Uganda has, in case of a war with Uganda, if you have the F-5 or the J-7 you would need to have very good air-defense systems or destroy these planes while they are still in the hangar.
You know nothing about fighter jets, let me teach you. J-7 like Mig-29 are interceptors primarily, they are made to be lighter and faster, while SU-30 is attacker jet which is heavy and slower. J-7 is better by far during dog fight, while SU-30 is better by far during ground attack.

For your information Uganda can't even think of sending SU-30 to Tanzania because of J-7 can easily intercept SU-30 and take it down.

China is number three after USA and Russia in military technology, is said that by 2030, China will be on top, don't camp are China with any European country please, am sure you don't know anything in this field.
 
Sasa hio pesa ngetumia kujitoa kutoka lindi la umasikini. Tatizo la waafrika ni kutaka misifa bila kujali hali ya umasikini ya wananchi wa kawaida
Ninyi wakenya ni vichaa kabisa, Kenya bajeti yenu ya jeshi ni karibu Mara mbili ya Tanzania, tatizo mnanunua silaha kutoka Marekani na Ulaya, being ya silaha huko ni Mara 3 ya silaha za China, matokeo yake mnapata silaha duni sana, pia pesa nyingi inapotea mifukoni mwa viongozi wenu.

Tofauti kati ya Kenya na Tanzania ni kwamba, Tanzania tunafanya mambo makubwa na mazuri kwa kutumia pesa kidogo sana, tungetumia pesa nyingi kama ninyi, Tanzania ingekuwa kama South Africa.

Ninyi tatizo lenu ni rushwa na ukosefu wa umakini katika kila jambo mbalofanya, huko kwenu neno uzalendo lilishapotea zamani sana, hakuna kiongozi wa Kenya anayeifikiria nchi yenu, ni ninyi tu hapa JF ndio mnaopiga kelele kuonyesha uzalendo, lakini mkishapata madaraka mnabadilika na kuanza kujichukulia kila kitu kwa akili yako binafsi.
 
Kenya hamna jeshi bali kundi la nyani linalokula maandaz na kupigwa kama watoto.
Nenda kawaulize Alshabab waliokuwa wamekita kambi Afmadow hadi Kismayo 2012, nyani wanaokula mandazi waliwafanyia nini?
 
You know nothing about fighter jets, let me teach you. J-7 like Mig-29 are interceptors primarily, they are made to be lighter and faster, while SU-30 is attacker jet which is heavy and slower. J-7 is better by far during dog fight, while SU-30 is better by far during ground attack.

For your information Uganda can't even think of sending SU-30 to Tanzania because of J-7 can easily intercept SU-30 and take it down.

China is number three after USA and Russia in military technology, is said that by 2030, China will be on top, don't camp are China with any European country please, am sure you don't know anything in this field.

Yaani sitaki kusema wabongo ni wajinga. J-7 ni Mig-21 si Mig-29. Ati J-7 ipigane na Sukhoi? Ati Su30 ni ya Ground attack? Yaani wajing ani wengi. Wakenya mlio hapa hakuna haja ya kupingana wapumbavu kama hawa. Ni waste of time.
 
Yaani sitaki kusema wabongo ni wajinga. J-7 ni Mig-21 si Mig-29. Ati J-7 ipigane na Sukhoi? Ati Su30 ni ya Ground attack? Yaani wajing ani wengi. Wakenya mlio hapa hakuna haja ya kupingana wapumbavu kama hawa. Ni waste of time.
Hujui kitu wewe, ni kawaida yenu ninyi wakenya vichwa ni vikubwa lakini hamjui kitu zaidi ya kujisifia tu, hii information yote niliyokupa inapatikana online katika military websites, kwanini usijipe muda wa kusoma na kujielimisha badala yake inataka kujiaibisha?.

Faida moja wapi ya hizi forum ni kujifunza mambo usiyoyajua, hatuko hapa kupinga kila kitu, wewe huna ufahamu mzuri katika eneo la jet fighters, ni vizuri ukatafuta information kwanza, badala ya kuziti kukumbatia ulichonacho na kutotaka kujifunza mambo mapya.
 
Msijaribu, sisi tuna ballistic missiles zinaweza kufikia maeneo yote ya Kenya, J -7 Zitapiga maeneo yote ya Kenya na kurudi salama, msijaribu ni hatari sana
Mkuu,mkumbushe kuwa M23 tuliwasambaratisha kwa muda mchache sana baada ya kusumbua kwa muda mrefu majeshi ya Umoja wa Africa sasa wao hadi leo wanahenyeshwa na Alshabab mwaka wangap huu?
 
How about your father whose face was deformed after a Congolese kindergarten kid attacked him with a panga? Jeshi la waoga
We completed our mission successfully by rooting out M23. Unfortunately KDF failed to protect civilians in South Sudan, your commander was fired by Ban Ki Mun. Mlivyowajinga mkaungana nae mkatoa wanajeshi wenu, hamna mission hata moja mliyofanikisha.
 
We completed our mission successfully by rooting out M23. Unfortunately KDF failed to protect civilians in South Sudan, your commander was fired by Ban Ki Mun. Mlivyowajinga mkaungana nae mkatoa wanajeshi wenu, hamna mission hata moja mliyofanikisha.
Continue bragging about your whatevers yet you were unable to accomplish a mission for a whole week. One person went missing and you went to an extent of searching for him in Indian ocean
 
Continue bragging about your whatevers yet you were unable to accomplish a mission for a whole week. One person went missing and you went to an extent of searching for him in Indian ocean
Hahahahahaha, ameshapatikana nyanya angu, vipi wale waliomuua Jacob JUMA na Cris Msando, msako bado unaendelea?
 
Hahahahahaha, ameshapatikana nyanya angu, vipi wale waliomuua Jacob JUMA na Cris Msando, msako bado unaendelea?
Walimwachilia kwa sababu ya huruma. Intelijensia yenu ovyo. Wiki moja walikuwa wanamsaka hadi bahari Hindi? Something fishy was going on na ndio maana mkawasingizia wakenya. Nchi ya wanafiki
 
How about your father whose face was deformed after a Congolese kindergarten kid attacked him with a panga? Jeshi la waoga
Hizi story nyingi za kike kike sitak!!!. ilimradi JWTZ Ilishinda vita kwa mafanikio makubwa na kufutilia mbali M23.Story nying peleka kwenu pumbavuuuuu.
 
Back
Top Bottom