Pesa pesa pesa pesaResty ni mwanamke mmoja mzuri sana kuliko hata picha zinavyomtoa,Si unajua tena wairaq aka wambulu walivyo pisi kali..Mbali na hayo ni mjasiriamali anakampuni ya insurance,kampuni ya usafi,hiyo bar yake pia na mambo kedekede anayayofanya ya kumuingizia pesa.Ila bana tuacheni majungu kwani ni sh ngap mpaka ule bata kama za resty ni mipango tu na malengo.Weka budget yako vizuri,fanya booking mapema.Mbona utakua unakula mema ya dunia kwa pesa ndogo tu.Restusta endelea kula bata kwa raha zako.[emoji7]
Yote hayo niliyoeleza hapo juu ninaona mitandaoni akijinasibu. Sasa nataka kujua ni kwelii?? Maana mitandaoni Kuna fake lifeMbona umeshamuelezea sasa unachouliza tena ni nini?
Kwenye mitandao lakini si unajua mitandaoni life ni fake sanamkuu mbona tayari unamjua sasa kuliko sisi
Yeye lazima tumjadili maana anawapa chachu ya maendeleo Wanawake wenzake,, tumjue je ni kweli yale anayoonyesha mitandaoni anavyoishi??? Ili kusudi wamama wenzie wakifata nyayo zake na wenyewe watusue maisha Kama yeye. Ile ghorofa ya diamond sio mchezo[emoji13][emoji13][emoji13]Fanya kazi upate kuishi......hapa tunajadili ISSUES hatujadili watu
Mbeba mapochi mbona hujamzungumzia?Resty ni mwanamke mmoja mzuri sana kuliko hata picha zinavyomtoa,Si unajua tena wairaq aka wambulu walivyo pisi kali..Mbali na hayo ni mjasiriamali anakampuni ya insurance,kampuni ya usafi,hiyo bar yake pia na mambo kedekede anayayofanya ya kumuingizia pesa.Ila bana tuacheni majungu kwani ni sh ngap mpaka ule bata kama za resty ni mipango tu na malengo.Weka budget yako vizuri,fanya booking mapema.Mbona utakua unakula mema ya dunia kwa pesa ndogo tu.Restusta endelea kula bata kwa raha zako.[emoji7]
Mbeba mapochi ni yupi??Mbeba mapochi mbona hujamzungumzia?
Unamaanisha Kweka?If yes,yy si ndo meneja sasa wa hizo mishemishe huku akiendelea kuufukuzia uwakili.hahahah eti mbeba pochii mwachen Kweka ainjoy matunda ya ndoa bana[emoji23]Mbeba mapochi mbona hujamzungumzia?
AmeolewaKaolewa?maybi mumewe anauwezo
Sema ana mwili mkubwa tembo yaaniResty ni mwanamke mmoja mzuri sana kuliko hata picha zinavyomtoa,Si unajua tena wairaq aka wambulu walivyo pisi kali..Mbali na hayo ni mjasiriamali anakampuni ya insurance,kampuni ya usafi,hiyo bar yake pia na mambo kedekede anayayofanya ya kumuingizia pesa.Ila bana tuacheni majungu kwani ni sh ngap mpaka ule bata kama za resty ni mipango tu na malengo.Weka budget yako vizuri,fanya booking mapema.Mbona utakua unakula mema ya dunia kwa pesa ndogo tu.Restusta endelea kula bata kwa raha zako.[emoji7]