Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Eeh, ndivyo sivyo au?Nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta.
Ngoja ninyamaze tu ila msipende kutamani sana vya watu msiowajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh, ndivyo sivyo au?Nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta.
Ngoja ninyamaze tu ila msipende kutamani sana vya watu msiowajua.
Mwamba alishatoka siku nying na kashachukua ghorofa lake.Hilo orofa walilopanga kina wasafi radio mbao zinasema ni la baba mtoto wake wa kwanza ambae inasemakana yupo ngome anatumikia muda ila mwanae ndio mrithi kwahiyo Resty kama mama yake anasimamia kuchukua kodi. Wasemavyo walimwengu. Pamoja na kuwa wengi wanafake maisha mitandaoni ila anajitahidi sana kutumia fursa kama mwanamama hongera zake.
Kwamba tuwaambie au tuachane nao tuandae nguo za kanisani kesho Jumapili ya tatu ya Majilio!?Nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta.
Ngoja ninyamaze tu ila msipende kutamani sana vya watu msiowajua.
Hii sa hiz sio habari tenaSi naskia mumewe yule wa saivi ndo kaolewa na resty na lile ghorofa ni la mwanaume aliyezaa naye mtoto wake wa kwanza
Umeona eeeenh.Nadhani ungewapa kidogo
Anatumia nguvu nyingi sana kutuaminisha anafua vizuri sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta.
Ngoja ninyamaze tu ila msipende kutamani sana vya watu msiowajua.
Hivi kafungua nyingine zaidi ya pale oasis?Yes ni mjasiriamali mzuri tu, ila kuhusu uzuri mimi namuonaga wa kawaida hasa na zile nywele zake anazopenda kuzitia karikiti naona kawaida. Uwa napenda kwenda kugonga kitimoto na ugali pale mghahawani kwake. Ni mtu poa charming, na mara kadhaa tushagonga kitimoto na bills akazicover yeye. Msingi ni mume wake sijui mzazi mwenzie aliyeko cello kwa msala wa mambo ya fedha na sema tofauti na wanawake wengine kile alichaocha jamaa uraiani kakitumia vizuri kukiendeleza sana.
Hiki ni kitendawili ama?Dada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi.
Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi. Anaonekana ni very successful businesswoman, tajiri mkubwa haswa ukiiangalia namna anavyospend na mume wake mpenzi. Mara yupo Dubai, mara visiwa vya Malves, saizi yupo mbugani for wedding anniversary.
Kila weekend yupo kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt akipata raha.
Jamani huyu ni Nani haswa?
Ila Witty[emoji114]Wewe umeona Mapazia[emoji2]Mwambie abadilishe mapazia khaaaa![emoji848]
Mimi nafahamu ya pale pale oasis na mara nyingi weekend ukipita mchana utamkuta yeye na mme wake pia. hata hivyo siyo kuzuri sana ni pa kawaida tu sema basi tu sisi tunafuataga mdudu. Yah mengine ya kawaida siyo mzuri saaaana kihivyo.Hivi kafungua nyingine zaidi ya pale oasis?
Au ni pale pale kaboresha, kitambo sijaenda pale
Rest mzuri sura sana na rangi ila umbo mweh mweh, halafu kifupi hataree
Odo unakaribia kumfikia warumi sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii speed yako si ya nchi hii.Kwamba tuwaambie au tuachane nao tuandae nguo za kanisani kesho Jumapili ya tatu ya Majilio!?
Kwako Mwalimu Oddo
Tajiri,bilionea upo?Eeh, ndivyo sivyo au?
Mmh best huonagi kwake [emoji23][emoji23][emoji16]Kila akianza kukata maunoo na mume wake huku wakijirekodi mi naona mapazia hayo hayoIla Witty[emoji114]Wewe umeona Mapazia[emoji2]
Aah sio pazuri pale [emoji849]Mimi nafahamu ya pale pale oasis na mara nyingi weekend ukipita mchana utamkuta yeye na mme wake pia. hata hivyo siyo kuzuri sana ni pa kawaida tu sema basi tu sisi tunafuataga mdudu. Yah mengine ya kawaida siyo mzuri saaaana kihivyo.
😂😂😂 JamaniAah sio pazuri pale [emoji849]
Sema liko charming sana, hata ofa linatoaga