Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,314
- 9,215
Si naskia mumewe yule wa saivi ndo kaolewa na resty na lile ghorofa ni la mwanaume aliyezaa naye mtoto wake wa kwanzaKaolewa?maybi mumewe anauwezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si naskia mumewe yule wa saivi ndo kaolewa na resty na lile ghorofa ni la mwanaume aliyezaa naye mtoto wake wa kwanzaKaolewa?maybi mumewe anauwezo
Kuna radio moja ilisikika ikisema kweka mwenyewe alifail law school au uwakili anaupata ivo ivoUnamaanisha Kweka?If yes,yy si ndo meneja sasa wa hizo mishemishe huku akiendelea kuufukuzia uwakili.hahahah eti mbeba pochii mwachen Kweka ainjoy matunda ya ndoa bana[emoj
Samahani hii ndio picha ya anaezungumziwa kwenye mada?
Yes ni mjasiriamali mzuri tu, ila kuhusu uzuri mimi namuonaga wa kawaida hasa na zile nywele zake anazopenda kuzitia karikiti naona kawaida. Uwa napenda kwenda kugonga kitimoto na ugali pale mghahawani kwake. Ni mtu poa charming, na mara kadhaa tushagonga kitimoto na bills akazicover yeye. Msingi ni mume wake sijui mzazi mwenzie aliyeko cello kwa msala wa mambo ya fedha na sema tofauti na wanawake wengine kile alichaocha jamaa uraiani kakitumia vizuri kukiendeleza sana.Resty ni mwanamke mmoja mzuri sana kuliko hata picha zinavyomtoa,Si unajua tena wairaq aka wambulu walivyo pisi kali..Mbali na hayo ni mjasiriamali anakampuni ya insurance,kampuni ya usafi,hiyo bar yake pia na mambo kedekede anayayofanya ya kumuingizia pesa.Ila bana tuacheni majungu kwani ni sh ngap mpaka ule bata kama za resty ni mipango tu na malengo.Weka budget yako vizuri,fanya booking mapema.Mbona utakua unakula mema ya dunia kwa pesa ndogo tu.Restusta endelea kula bata kwa raha zako.[emoji7]
Ndiyo yeyeSamahani hii ndio picha ya anaezungumziwa kwenye mada?
Ana shepu mbaya huyoNdiyo yeye
Huyo Dem mbona ana ubonge na kitambi kikubwa huo uzuri wake mbona sioni.Resty ni mwanamke mmoja mzuri sana kuliko hata picha zinavyomtoa,Si unajua tena wairaq aka wambulu walivyo pisi kali..Mbali na hayo ni mjasiriamali anakampuni ya insurance,kampuni ya usafi,hiyo bar yake pia na mambo kedekede anayayofanya ya kumuingizia pesa.Ila bana tuacheni majungu kwani ni sh ngap mpaka ule bata kama za resty ni mipango tu na malengo.Weka budget yako vizuri,fanya booking mapema.Mbona utakua unakula mema ya dunia kwa pesa ndogo tu.Restusta endelea kula bata kwa raha zako.[emoji7]
Ni huyo hapo sista.Samahani hii ndio picha ya anaezungumziwa kwenye mada?
Msilolijua ni usiku wa Giza wacha niachie apo
Kufuaje mkuu???Nadhani ungewapa kidogo
Anatumia nguvu nyingi sana kutuaminisha anafua vizuri sana.
OzarkKufuaje mkuu???
Wazee wa Money laundering.Ozark
huyu hapaHakuna hata picha