Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Sophia house msimsahau.
Yaani huyu alitunyooshaga sana jamani sisi tunakomaa na monocotyledon na kingdom plantae mwenzetu analetwa na kiescudo akifika getini dereva anashuka anakaa kwenye usukani ili mradi tu aonekane anajua kudrive [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi wengine tunawaza Sophia house zenyewe
 
Niko tajiri mwenzangu

Sema umeamua nipiga chenga ya mwili
Tatizo matajiri huwaga mko busy hata jumbe hamsomi.

Mimi siwezi kukupiga chenga tajiri.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Die hard fan.
 
Tatizo matajiri huwaga mko busy hata jumbe hamsomi.

Mimi siwezi kukupiga chenga tajiri.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Die hard fan.
Tupige tukio kama Mr Kuku basi

Tunaondoka na bil 10 hv hv mchana kweupe
 
Mmh Basi wacha aendelee na wadhifa wa kubeba pochi. Ila siku akipata uwakili insta patachafuka. Nilikua nashangaa kweli wakili mzima anapata muda throughout the year kuzunguka na Mama la mama!
We mwanaume gani mwenye RATIBA zake, uwakili hasa kila siku anapata muda wa kuwa flexible na utalii wa viboko, leo vinyonga, kesho room za kwenye maji ya ya chupa.

Heb watupishe sisi.

Hamna wakili wala bawabu pale.
 
We mwanaume gani mwenye RATIBA zake, uwakili hasa kila siku anapata muda wa kuwa flexible na utalii wa viboko, leo vinyonga, kesho room za kwenye maji ya ya chupa.

Heb watupishe sisi.

Hamna wakili wala bawabu pale.
Ana cheka cheka tu.

Mwanaume asiyekuwa na hela sijui yukojr anakosa confidence yaania automatic analegea kama bamia la juzi.
 
Ana cheka cheka tu.

Mwanaume asiyekuwa na hela sijui yukojr anakosa confidence yaania automatic analegea kama bamia la juzi.
Yaniiiii hana juu wala chini, mbele na nyuma usiseme
Resty mfanyabiashara sawa.
Na yeye hana schedules.

Mana wakili gani ukimgoogle unakutana na picha za leo saadan, kesho kubeba pochi, keshokitwa anatikisa moet , mwakani anachekelea pumbu za swala.

Weeeeh basi watuhumiwa wake wanafungwa kila siku.
Mana ana vacation 18 kwa mwaka, case reviews anafanya saa ngapi?
 
Back
Top Bottom