Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,290
- 4,623
[emoji851][emoji851][emoji851]huwa namtizama naishia kusema "hiiiiiiii"(in uncle's voice)1988
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji851][emoji851][emoji851]huwa namtizama naishia kusema "hiiiiiiii"(in uncle's voice)1988
Sisi wengine tunawaza Sophia house zenyeweSophia house msimsahau.
Yaani huyu alitunyooshaga sana jamani sisi tunakomaa na monocotyledon na kingdom plantae mwenzetu analetwa na kiescudo akifika getini dereva anashuka anakaa kwenye usukani ili mradi tu aonekane anajua kudrive [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo matajiri huwaga mko busy hata jumbe hamsomi.Niko tajiri mwenzangu
Sema umeamua nipiga chenga ya mwili
Hamna kichwa cha kupata uwakili pale..tehHv Uwakili bado hajaupata? Bora abembeleze ada mwaya. Siku mama 'sponsor' akikasirika asije akagoma kumlipia
Tupige tukio kama Mr Kuku basiTatizo matajiri huwaga mko busy hata jumbe hamsomi.
Mimi siwezi kukupiga chenga tajiri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Die hard fan.
Mmh Basi wacha aendelee na wadhifa wa kubeba pochi. Ila siku akipata uwakili insta patachafuka. Nilikua nashangaa kweli wakili mzima anapata muda throughout the year kuzunguka na Mama la mama!Hamna kichwa cha kupata uwakili pale..teh
Na kupumuliwa!Ila vijana wa kichaga tumekuaje? Tofaut na zamani tuliheshimika kutafuta pesa Leo hii tunaishia kubeba mapochi
We mwanaume gani mwenye RATIBA zake, uwakili hasa kila siku anapata muda wa kuwa flexible na utalii wa viboko, leo vinyonga, kesho room za kwenye maji ya ya chupa.Mmh Basi wacha aendelee na wadhifa wa kubeba pochi. Ila siku akipata uwakili insta patachafuka. Nilikua nashangaa kweli wakili mzima anapata muda throughout the year kuzunguka na Mama la mama!
Ana cheka cheka tu.We mwanaume gani mwenye RATIBA zake, uwakili hasa kila siku anapata muda wa kuwa flexible na utalii wa viboko, leo vinyonga, kesho room za kwenye maji ya ya chupa.
Heb watupishe sisi.
Hamna wakili wala bawabu pale.
Binafsi nampenda sana.. ukienda kwake pale anakuchangamkia hadi unafurahi..Haha haha Rachel full kupagawa!
Sema rest mchakarikaji sana, I love her spirit
Aaaaa bilionea naona hunipendi kabisa.Tupige tukio kama Mr Kuku basi
Tunaondoka na bil 10 hv hv mchana kweupe
umesahau na kukata viuno insta..jamaniWe mwanaume gani mwenye RATIBA zake, uwakili hasa kila siku anapata muda wa kuwa flexible na utalii wa viboko, leo vinyonga, kesho room za kwenye maji ya ya chupa.
Heb watupishe sisi.
Hamna wakili wala bawabu pale.
Yaniiiii hana juu wala chini, mbele na nyuma usisemeAna cheka cheka tu.
Mwanaume asiyekuwa na hela sijui yukojr anakosa confidence yaania automatic analegea kama bamia la juzi.
Not anymore.Kwa maelezo yote hayo bado unatuuliza sisi ambao hata hatujui kwamba ofisi za wasafi ni nyumba ya huyo mama..🚮
🚶🚶🚶
Mi mwenyewe ntakuwa napika chai ya hiliki.Labda hao wawili lakini mie nitakuwa napiga stori na wagalatia.