snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Toka enzi za Zanaki.Maisha ya camera ni maisha yake iko kwenye damu.
Halaaafu dadake kapatwa na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka enzi za Zanaki.Maisha ya camera ni maisha yake iko kwenye damu.
Ujue maisha ya mtu ili iweje??Yote hayo niliyoeleza hapo juu ninaona mitandaoni akijinasibu. Sasa nataka kujua ni kwelii?? Maana mitandaoni Kuna fake life
Dadake naye woiiiiiiii halafu hawaongei wale miaka na miaka.Toka enzi za Zanaki.
Halaaafu dadake kapatwa na nini?
Hawaongei aseeh.Dadake naye woiiiiiiii halafu hawaongei wale miaka na miaka.
Huwezi kujua kama ni ndugu.
Itakuwa mtego wa shetani kunirubuni nijue ni peponi kumbe motoniKwamba itakuwa kuna mtu ana visa na wewe kaamua kujiweka mtegoni?
Yule mwenye miguu minene?Toka enzi za Zanaki.
Halaaafu dadake kapatwa na nini?
Ulisoma zanaki?Sophia house msimsahau.
Yaani huyu alitunyooshaga sana jamani sisi tunakomaa na monocotyledon na kingdom plantae mwenzetu analetwa na kiescudo akifika getini dereva anashuka anakaa kwenye usukani ili mradi tu aonekane anajua kudrive [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi wanaongea waume zao wamewapatanishaDadake naye woiiiiiiii halafu hawaongei wale miaka na miaka.
Huwezi kujua kama ni ndugu.
Waume wameungana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana inasemekana hata Ruth mume alikuwa injinia fake yeye na kweka hawakuwa na tofauti.Sasa hivi waume zao wamewapatanisha
PossiblyCha ajabu wewe ndio yeye,kujipa kiki!
Attention seeking whores are many!
Sasa hivi wanaongea.. kuna siku Rest alimpost. Na mtoto mmoja wa Ruth anakaa kwa Rest...Dadake naye woiiiiiiii halafu hawaongei wale miaka na miaka.
Huwezi kujua kama ni ndugu.
Ila mimi sitaki kuamini bata za resty zinatokana na biashara za kitimoto na vipodozi.Waume wameungana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana inasemekana hata Ruth mume alikuwa injinia fake yeye na kweka hawakuwa na tofauti.
Sijui kwanini nimependa kujua jinsia yako ingawa najua haitanisaidia kitu 😊Ila mimi sitaki kuamini bata za resty zinatokana na biashara za kitimoto na vipodozi.
MwanaumeSijui kwanini nimependa kujua jinsia yako ingawa najua haitanisaidia kitu [emoji4]
Baba mmoja mama mmoja lakini unaweza kusema mtoto wa shangazi na mjomba.Hawaongei aseeh.
Eeew basi kheri Ila Rest na Ruth bora Rest huyo mkubwa ni balaaa.Sasa hivi wanaongea.. kuna siku Rest alimpost. Na mtoto mmoja wa Ruth anakaa kwa Rest...
Rafiki leo unatusuta balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijui kwanini nimependa kujua jinsia yako ingawa najua haitanisaidia kitu [emoji4]
Alianza kula bata kabla ya kitimoto na vipodozi.Ila mimi sitaki kuamini bata za resty zinatokana na biashara za kitimoto na vipodozi.
Mliambiwa msipende sana pesa mtakuja geuzwa misukule. Sasa hivi hadi vijana wa kipemba wanawashinda hustling, m'mebakia kukalia sifa tu za ooooh wachagga tunajua tafuta pesa.Ila vijana wa kichaga tumekuaje? Tofaut na zamani tuliheshimika kutafuta pesa Leo hii tunaishia kubeba mapochi
Nimekuwa mvivu kupika jamaniiiii yaani halafu najikuta nakula machips ovyo ovyo basi sichekani na faru Resty [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi mwenyewe ntakuwa napika chai ya hiliki.
Speeeaking of it, I miss your recipes Odo.