Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Nakwambia yuuuule hamna kituuuuuu

Resti angetuwekea hata shati tu jeupe na suruali nyeusi na zile tie zao

Akaweka caption
"Preparing hubbie for work,
#mradvocatedailyroutine#
Saaaaasa mpk tunakuja mitamboni hakuna cha uwakili wala uhakimu yule ni chawa tu kama chawa wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah kweli, nikionaga mwamba anavyojitahidi kucheza mara anajilazimisha kukumbatia kabati na kulisogeza yote ile njaa tu. No real man wants his ass on cameras all the time.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti anajitahidi kulikumbatia kabati lake
 
Mimi huwa nashangaa sijui ni Shule ndogo or what!

Ukishajijua we ni dirt cycle inabidi upige chini show off[emoji848]

Watu sio wajinga asee, utashangaa unaunganishwa kwenye mnyororo kwa ajili ya uduanzi!

Au hela chafu huwa zinawasha?
Hela chafu lazima ujustify matumizi na mapato.
Ili chaining ieleweke
 
Alikuwa mzuri sana wa uso.

Alitokaga kwenye tangazo la voda jero jero.

Ni mzuri lakini si unajua tena kajiachia sasa hivi.

Diet zinamkataa mazoezi yanamkataa.
Kwa sura mzuri ila mchafu. Ukienda pale kwenye bar Yake hutaamini ndio panapopigiwa chapuo insta
 
Huo utakatishaji si wa nchi hii[emoji119][emoji119]
Ngoja aanze kufatiliwa na hzo show off zitamtokea puani Yale Yale ya shamimu mwasha na kibubu challenge wewe unahangaika mbona hutobozi kumbe wenzako Wana biashara nyingine gizani, hzo za insta ni biashara za ku cover up wasijulikane
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I do not want a husband who kisses my black as* every second of the day.
Hata kama hana ajira lakini siyo kila saa ndo nionekane mimi baba mwenye nyumba. Yaan resty ndo anaonekana kamanda wa mjengo of which ndo ilivyo. Sasa uanaume wa mume wangu utakua wapi. Kwanza ningeolewa na mwanaume wa hivyo ningemchapa makofi kila siku[emoji23][emoji23] janaume gani. Hivi wamachame wa kweka ndo mumeamua muruangushe kilimanjaro nzima kweli? Hebu hii Christmas aitwe nyumbani mara moja apewe lesson. Huu ujinga hapaaanaaa. Pooooooh mbakaaaaaaaa.... kumpost public tu hata boyfriend kwangu kazi ndo kila saa awe kaniganda hivi?

Kweka wemanya makofi maduve maduve.
Eheeee mbeeeee. Ni msukwaaaaaa shuhashu[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom