witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Angekuwa mjanja angesoma huu uziNa hzo show off zake hazilingani na kipato chake, Bora apunguze hzo show off, aangalie asije ishia jela ka shamimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa mjanja angesoma huu uziNa hzo show off zake hazilingani na kipato chake, Bora apunguze hzo show off, aangalie asije ishia jela ka shamimu
Mwanaume wa kushinda naye nami simtaki maana tukikaa mda wote nitamvhoka tugombane, akapambane huko Hadi nimu miss hukoUmeona sasa[emoji848]
Binafsi mi mwanaume wa kushinda na mimi 24/7 simtaki asilani
Nenda kachacharike hukoo tukutane jioni tusimuliane hustle....uwii ntakukinai asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakwambia yuuuule hamna kituuuuuu
Resti angetuwekea hata shati tu jeupe na suruali nyeusi na zile tie zao
Akaweka caption
"Preparing hubbie for work,
#mradvocatedailyroutine#
Saaaaasa mpk tunakuja mitamboni hakuna cha uwakili wala uhakimu yule ni chawa tu kama chawa wengine.
2013 odo labda angefikia level za kina Mufuruki .Ndiwoooo ilikuwa 2010 ile?
Mlay maskini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti anajitahidi kulikumbatia kabati lakeDah kweli, nikionaga mwamba anavyojitahidi kucheza mara anajilazimisha kukumbatia kabati na kulisogeza yote ile njaa tu. No real man wants his ass on cameras all the time.
Alikuwa mzuri sana wa uso.Atakuwa msupu sana
Duh money launderingMoney laundering
Yaniiii2013 odo labda angefikia level za kina Mufuruki .
Hela chafu lazima ujustify matumizi na mapato.Mimi huwa nashangaa sijui ni Shule ndogo or what!
Ukishajijua we ni dirt cycle inabidi upige chini show off[emoji848]
Watu sio wajinga asee, utashangaa unaunganishwa kwenye mnyororo kwa ajili ya uduanzi!
Au hela chafu huwa zinawasha?
Yani zile biashara zile laziiiiima zionekane zina cash out cash in!Hela chafu lazima ujustify matumizi na mapato.
Ili chaining ieleweke
Ukute.Kule kuchangamka kupita maelezo kwa rest vip au huwa "anasneeze"
Hahaaaa hatari sanaMaaaaafi ya Umbwa.
Mxxxxxxxxxie
Kwa sura mzuri ila mchafu. Ukienda pale kwenye bar Yake hutaamini ndio panapopigiwa chapuo instaAlikuwa mzuri sana wa uso.
Alitokaga kwenye tangazo la voda jero jero.
Ni mzuri lakini si unajua tena kajiachia sasa hivi.
Diet zinamkataa mazoezi yanamkataa.
Mimi wenye bar nawauza kitimoto nawafahamu mbona Wana life la kawaida hata kusafiri tu kenya hawajawahi kwenda, sembuse yeye lohKwa zile bata, sidhani narudia sidhani kama ni faida ya kuuza bia na kitimoto
Fumigation zenyewe hufanywa na watu wa katani, Sasa wao hyo wanafanyia wapi?Hiyo fumigation anafanyia wapi?
Au ndo kazi private?
Noma sana mkuuUbaya wa hili jukwaa.
Ukiona tu kawekwa mtu, ujue watu kazini.
Ngoja aanze kufatiliwa na hzo show off zitamtokea puani Yale Yale ya shamimu mwasha na kibubu challenge wewe unahangaika mbona hutobozi kumbe wenzako Wana biashara nyingine gizani, hzo za insta ni biashara za ku cover up wasijulikaneHuo utakatishaji si wa nchi hii[emoji119][emoji119]
Hana hyo akili na ujue yeye anajitutumia Ili kufanya show off kwa watu wamuone Yuko vzuriAngekuwa mjanja angesoma huu uzi