Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Imagine mwanaume kama huyo kwenye vikao vya familia kama anaweza kusikilizwa.

Janaume kila mda lipo Instagram linacheka cheka linacheza cheza linabusiwa busiwa.

Fikiria janaume kama hilo labda limetokea tatizo kubwa lenyewe ndo linatakiwa lisimame kama kichwa cha familia.
Yule mume hapana yupo yupo ka jinga flani huyu ndio mwanaume wa kwanza wakichagga kuji behave kijinga hadharani sijui hawana vikao vya ukoo wamkalishe awe mwanaume. Kweli mwanaume asipokuwa mtaftaji hupoteza mamlaka yake kamili ya uanaume. Maana wanaume halisi ni nadra kukuta wanapiga mapicha hovyo
 
Sasa kwani Regiie alikuwa mchache?
Yule mzee kashare wanawake na mwanae wa kiume na wa kike.

Heb tuacheni jamani dhambi za kutokwenda kanisani tunazo tayari.
Tuacheni tuwe na Kitubio kifupi.
Tuanze kumsema na Hayati kweeeeeli!

Hapana jamani tusifikishane huko.
Shost una mafile balaaa[emoji119][emoji119]
 
Hajamaliza law school huyo alifeli, fumigation ni geresha tu, ndio hyo fumigation iwe imekuwa Hadi wawe wanakula bata nchi mbalimbali duniani?
Hiyo fumigation anafanyia wapi?
Au ndo kazi private?
 
Sasa hata nimeweza shogaangu.

Nshayamwaga
Ila mi nataka kuokoka, haya mambo niachane nayo.
Khaaaaa
Ha ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimeona hapo juu[emoji119][emoji119]
 
Mimi huwa nashangaa sijui ni Shule ndogo or what!

Ukishajijua we ni dirt cycle inabidi upige chini show off[emoji848]

Watu sio wajinga asee, utashangaa unaunganishwa kwenye mnyororo kwa ajili ya uduanzi!

Au hela chafu huwa zinawasha?
Na hzo show off zake hazilingani na kipato chake, Bora apunguze hzo show off, aangalie asije ishia jela ka shamimu
 
Hajamaliza law school huyo alifeli, fumigation ni geresha tu, ndio hyo fumigation iwe imekuwa Hadi wawe wanakula bata nchi mbalimbali duniani?
Huo utakatishaji si wa nchi hii[emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom