witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Ha ha haHuna Nizamu kwa Hayati, ukoje lakini.
Mi mbea mwenzio nimejishikilia hapa.
Nimefunga chaptaa[emoji23][emoji23][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haHuna Nizamu kwa Hayati, ukoje lakini.
Mi mbea mwenzio nimejishikilia hapa.
Yule mume hapana yupo yupo ka jinga flani huyu ndio mwanaume wa kwanza wakichagga kuji behave kijinga hadharani sijui hawana vikao vya ukoo wamkalishe awe mwanaume. Kweli mwanaume asipokuwa mtaftaji hupoteza mamlaka yake kamili ya uanaume. Maana wanaume halisi ni nadra kukuta wanapiga mapicha hovyoImagine mwanaume kama huyo kwenye vikao vya familia kama anaweza kusikilizwa.
Janaume kila mda lipo Instagram linacheka cheka linacheza cheza linabusiwa busiwa.
Fikiria janaume kama hilo labda limetokea tatizo kubwa lenyewe ndo linatakiwa lisimame kama kichwa cha familia.
Sasa hata nimeweza shogaangu.Ha ha ha
Ninefunga chaptaa[emoji23][emoji23][emoji16]
Shost una mafile balaaa[emoji119][emoji119]Sasa kwani Regiie alikuwa mchache?
Yule mzee kashare wanawake na mwanae wa kiume na wa kike.
Heb tuacheni jamani dhambi za kutokwenda kanisani tunazo tayari.
Tuacheni tuwe na Kitubio kifupi.
Tuanze kumsema na Hayati kweeeeeli!
Hapana jamani tusifikishane huko.
Hajamaliza law school huyo alifeli, fumigation ni geresha tu, ndio hyo fumigation iwe imekuwa Hadi wawe wanakula bata nchi mbalimbali duniani?Ila jamaa si ana biashara ya Fumigation na ni wakili wa kujitegemea. Anakosaje hela bana na anamfungulia wife miradi
Ubaya wa hili jukwaa.Unataka kumchongea TRA
Kwa zile bata, sidhani narudia sidhani kama ni faida ya kuuza bia na kitimotoKazidi mno naye show off inaonyesha biashara ya kuuza kitimoto inalipa maana yeye daily ni bata batani, Mara Maldives, cape verde, Mara vacation sijui ya wapi inaonyesha wauza kitimoto wakajifunze kwake Ili wakuze biashara
Huo siu uromantic ni ujinga mwanaume hufanyi kazi ni kulamba lips na kubeba pochi, huo sio uanaume. Mwanaume mapicha dailyJamaa ni romantiki bana ndio maana anazunguka na mama, si mnasemaga mnapendaga mpewe time nyie [emoji23][emoji23][emoji23]!
Mwenzenu anapewa time 24/7 na free photo gallery
Hiyo fumigation anafanyia wapi?Hajamaliza law school huyo alifeli, fumigation ni geresha tu, ndio hyo fumigation iwe imekuwa Hadi wawe wanakula bata nchi mbalimbali duniani?
Kwa kifupi umegoma,Kwa zile bata, sidhani narudia sidhani kama ni matunda ya kuuza bia na kitimoto
Mxiuuuuu[emoji57][emoji57]Daah una roho ya kutu.....
punguza wivu mwanamke
Hii kitu nilisikia kumbe ilikuwa ni kweliHiiiiiiiivo hiiiiivoooooo.
Jackie was once Regina's girlfriend.
Heb niache mimi
Sidhani ka ni mzima huyo resty imagine bar kwake hutafta madanga na mumewe kazi kujichekesha tu.Kule kuchangamka kupita maelezo kwa rest vip au huwa "anasneeze"
Huyo Mama Ipo siku atachoka kulisha mbeba mapochi. Ndo vijembe vitaanza insta. Walikuwepo kina Shishi, Open Chicken n.kWanawake ma hustler wa Mbeya hawawezi hayo kama yule Open kitchen naona katemana na yule mchalii.
Ha ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hata nimeweza shogaangu.
Nshayamwaga
Ila mi nataka kuokoka, haya mambo niachane nayo.
Khaaaaa
Na hzo show off zake hazilingani na kipato chake, Bora apunguze hzo show off, aangalie asije ishia jela ka shamimuMimi huwa nashangaa sijui ni Shule ndogo or what!
Ukishajijua we ni dirt cycle inabidi upige chini show off[emoji848]
Watu sio wajinga asee, utashangaa unaunganishwa kwenye mnyororo kwa ajili ya uduanzi!
Au hela chafu huwa zinawasha?
Huo utakatishaji si wa nchi hii[emoji119][emoji119]Hajamaliza law school huyo alifeli, fumigation ni geresha tu, ndio hyo fumigation iwe imekuwa Hadi wawe wanakula bata nchi mbalimbali duniani?
Ha ha haSidhani ka ni mzima huyo resty imagine bar kwake hutafta madanga na mumewe kazi kujichekesha tu.
Dividend my foot!Mkuu unaweza jamaa ana stock mahali
Anakula dividend Hana haja kufanya fanya mikazi yenu .
Nyie mnamnanga mwenzenu ame retire young .
Wakati ndio bado "ndio boss"[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] duhMuacheni Kweka jomoni
Kulipelekea moto lijimama kama hilo kitandani na likaridhika si kazi ndogo ati[emoji23][emoji23][emoji1787]
Mi kwa hapa namsamehe, kibarua anacho tena si haba