Oooh ndo yule namuonaga anamficha ficha kuumbe, afu ni mdada mkubwa tuWatoto watatu sio wawili mkubwa alimzaaga kabla ya sosho midia ila ndo anamuweka nyumanyuma kama HG na saa nyingine anasema sio wake ila ndo first born
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] wanaume wa Jf haa haa[emoji23][emoji23] Open chicken..ulimaanisha kitchen eeh!!![emoji848]
Haaahaaaa[emoji23][emoji23][emoji16] halafu kweli[emoji119][emoji119]Kwa sura mzuri ila mchafu. Ukienda pale kwenye bar Yake hutaamini ndio panapopigiwa chapuo insta
Ngoja nikutaftie mamangu,unawezaje kukosa hii ubuyu na mi nipo?Ni nini lakini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja nitafute picha kama ni handsome on top of all this description
Nna wasiwasi hata live hivo hivo, ucheshi umepitiliza[emoji848]Ukute.
Manake ile hyper sio ya kawaida
Hili nafikiri wanamsingizia.amu unalifahamu hili?
Kwahiyo wataka Sema yule binti Kama housegirl Ni mwanae?..makubwa haya
Ahsante ndugu mjumbeHili nafikiri wanamsingizia.
Resty kamaliza zanaki O level na kuingia IFM certificate.
Na kumaliza degree.
Sasa yule labda kama alizaa kabla hajasoma Zanaki.
Lakini tukumbuke Zanaki ni shule ya serikali enzi zile ukiingia ni umemaliza direct darasa la saba.
[emoji3]Mxiuuuuu[emoji57][emoji57]
Kwenda huko
Nyie wambea mnaukimbizaUzi unakimbia huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi huyo na mange wanafanana [emoji1]Watoto watatu sio wawili mkubwa alimzaaga kabla ya sosho midia ila ndo anamuweka nyumanyuma kama HG na saa nyingine anasema sio wake ila ndo first born
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Hahahahah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daaah nyie watu muoneeni huruma huyo dadaMlevi mnoo
Tena leo naenda kwake, ila sitamkuta shoga angu maana namuona sijui serengeti huko anamwambia 'advocate' " piga keleleee akee weeeeewee, Simbate[emoji16][emoji16] ( hapo simba alikuwa anakatisha pembeni ya gari lao[emoji23][emoji23][emoji16])
Ha ha demu kapinda balaa[emoji23]
Huyo Mama Ipo siku atachoka kulisha mbeba mapochi. Ndo vijembe vitaanza insta. Walikuwepo kina Shishi, Open Chicken n.k
Si braza wako lakini yule😂 mwache ainjoy economies of scaleHuo siu uromantic ni ujinga mwanaume hufanyi kazi ni kulamba lips na kubeba pochi, huo sio uanaume. Mwanaume mapicha daily
Hata mimi kwa kweli hili namtetea.Hili nafikiri wanamsingizia.
Resty kamaliza zanaki O level na kuingia IFM certificate.
Na kumaliza degree.
Sasa yule labda kama alizaa kabla hajasoma Zanaki.
Lakini tukumbuke Zanaki ni shule ya serikali enzi zile ukiingia ni umemaliza direct darasa la saba.
Sisi wambeaNyie wambea mnaukimbiza
Kwa kweli hili halijafika kamati kuu , kwa hiyo mpk sasa ni uzushi tu na Wivu wa kikeAhsante ndugu mjumbe
Ahsante ndugu mjumbe..😊Kwa kweli hili halijafika kamati kuu , kwa hiyo mpk sasa ni uzushi tu na Wivu wa kike
Ahahahhahahahahhaaha pale napowageuka wambea.
Ngoja Waanze kunisuta mimi sasa.
Mana mbea sio mtu, anakugeuka tu fasta.
Inategemea chanzo chake cha uhakika kimemwaminisha nini.
Heeeeh kumbe nae yumo humu lol. Sikua najua hili mie.Taratibu anasoma humu
ID kama mchanga
Kote kote wapo mkuu, sema utanadawazi umezidi na ni adhari kwa jamii yoyote ile, hata wahaya walikua na sifa ya kujiuza lkn haikua na maana kua ni wao tu bali ilifika pahala kila mmoja anatumia ndio kichaka ilhali makabila yote wanajiuza na wengi wao walianzia uhudumu wa barMliambiwa msipende sana pesa mtakuja geuzwa misukule. Sasa hivi hadi vijana wa kipemba wanawashinda hustling, m'mebakia kukalia sifa tu za ooooh wachagga tunajua tafuta pesa.
Ila ukweli mnaongoza kwa umarioo, kuzaa na wanawake hovyo bila kuhudumia na udokozi na utapeli usio na maana maadili yenu yanapotea na wazee wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app