Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Ha ha ha [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Mbona bonge karidhika
Sasa unafikiri kuna mwanaume mwenye akili anaweza kuwa na mahusiano na bi dada?

Ndo maana katulizana maana hana pa kwenda.

Mda wake ulishaisha kitambo sasa hivi kuna vitoto vizuri vizuri vinasumbua vimezaliwa kipindi ambacho yeye anatembea na kina Shkuba na Liumba.
 
We acha tu

Ndo maana amu kasema angekuwa mamaake angepiga ukunga mmoja wa kichaga mbona angetafuta kazi kwa fujoo
Embi fikiria una kijanaa kama yule.

Mimi kama yake ningemtandika apate kujihangaisha.

Ni aibu na fedheha.

Anashindwa hata na kijana wangu hapa anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na hata miaka 5 hajafikisha.
 
Huyu rest wa kawe mzeeee wao mkono wake moja umekatika?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Embi fikiria una kijanaa kama yule.

Mimi kama yake ningemtandika apate kujihangaisha.

Ni aibu na fedheha.

Anashindwa hata na kijana wangu hapa anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na hata miaka 5 hajafikisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiv aunt wee una nini? Mwenzio huku mbavu zinauma lol
 
Nakuapia mwanaume anayejua shughuli hawi kama kweka.


Haloooo wale kwa muonekano miondoko na tabia zao za nje tu unajua hapa maji nitaita mma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah aunt mie sikuwezi wallah [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mjumbe mwnyewe mbea mpaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji119]
 
[emoji3][emoji14][emoji14][emoji12]
 
Buahaaaahaaaa eti ofisi za CPA zipo wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki humu jf[emoji119][emoji119][emoji119]
Humu pamekuwa Raha. Kwa hiyo Mama la mama kampa ajira Massawe. Makato ya NSSF anapeleka. Kule mbugani ndio bonus ya mwaka au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…