secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Tunarahisisha kazi kwa wapelelengahii kitu nimeigundua pia
kuna watu wanaleta mada wanatuacha wambeya tunajisasambua kumbe wanadaka details
manake hapa watu wanapata pa kuanzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunarahisisha kazi kwa wapelelengahii kitu nimeigundua pia
kuna watu wanaleta mada wanatuacha wambeya tunajisasambua kumbe wanadaka details
Sasa unafikiri kuna mwanaume mwenye akili anaweza kuwa na mahusiano na bi dada?Ha ha ha [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Mbona bonge karidhika
Embi fikiria una kijanaa kama yule.We acha tu
Ndo maana amu kasema angekuwa mamaake angepiga ukunga mmoja wa kichaga mbona angetafuta kazi kwa fujoo
Huyu rest wa kawe mzeeee wao mkono wake moja umekatika?Kweli huyu binti ni mrembo sanaaa, unene umempooza urembo wake wa umbo kidogo, akiwa form one alitrend pia kwenye matangazo ya vodacom ya mtaani, nimemjua tangu yupo std 4, katuchuna sana vijana wa maduka ya nguo na viatu pale kawe ukwamani[emoji28][emoji28] akiwa la 6 na 7.
Kwao wapo wasichana wa3 ninaowajua na wote ni visu hatari. Dada ake ni anti Ruth alikua akitangaza kipindi cha watoto Magic fm sijui kama yupo huko hadi sasa.
Nakuapia mwanaume anayejua shughuli hawi kama kweka.Duh, ila we binti [emoji23][emoji23][emoji23] jamaa atakuwa anakamua kwa uwezo! 4*4 lile lazma uwe vizuri otherwise kibarua kingeota nyasi[emoji1787]
Mtoto wa mwenye lile ghorofa ni yupi?Naweka taarifa sawa. Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio Mwanae
Wenzetu Wana ngekewa ya biasharahalafu si ametoa new business alert..wenzetu sijui wanafanyaje wallahy
Wana nyota zao tukaoge maji ya Bahari za ulayaWenzetu Wana ngekewa ya biashara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiv aunt wee una nini? Mwenzio huku mbavu zinauma lolEmbi fikiria una kijanaa kama yule.
Mimi kama yake ningemtandika apate kujihangaisha.
Ni aibu na fedheha.
Anashindwa hata na kijana wangu hapa anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na hata miaka 5 hajafikisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah aunt mie sikuwezi wallah [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Nakuapia mwanaume anayejua shughuli hawi kama kweka.
Haloooo wale kwa muonekano miondoko na tabia zao za nje tu unajua hapa maji nitaita mma.
Anaonekana Kama wa 81Mimi ninachojua tu amezaliwa 1989[emoji38][emoji38][emoji38]
Buahaaaahaaaa eti ofisi za CPA zipo wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki humu jf[emoji119][emoji119][emoji119]Acha fix, ofisi za CPA zipo wapi? Mmeajiriwa na resty eeh
Mjumbe mwnyewe mbea mpaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji119]
Wewe wasemabia zina faida wewe
[emoji3][emoji14][emoji14][emoji12]Nakwambia yuuuule hamna kituuuuuu
Resti angetuwekea hata shati tu jeupe na suruali nyeusi na zile tie zao
Akaweka caption
"Preparing hubbie for work,
#mradvocatedailyroutine#
Saaaaasa mpk tunakuja mitamboni hakuna cha uwakili wala uhakimu yule ni chawa tu kama chawa wengine.
Humu pamekuwa Raha. Kwa hiyo Mama la mama kampa ajira Massawe. Makato ya NSSF anapeleka. Kule mbugani ndio bonus ya mwaka au?Buahaaaahaaaa eti ofisi za CPA zipo wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki humu jf[emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji12][emoji12] lugha GANI hii mkuu?? Kimbulu ama kimachame??[emoji12][emoji14]Nahani kaumbeke taba mwanedu
Ngamela ksusiyooo na nyama sa mburu[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
DAAA[emoji13][emoji13]kure mwandu ku mmeku