Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Ha ha ha [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Mbona bonge karidhika
Sasa unafikiri kuna mwanaume mwenye akili anaweza kuwa na mahusiano na bi dada?

Ndo maana katulizana maana hana pa kwenda.

Mda wake ulishaisha kitambo sasa hivi kuna vitoto vizuri vizuri vinasumbua vimezaliwa kipindi ambacho yeye anatembea na kina Shkuba na Liumba.
 
We acha tu

Ndo maana amu kasema angekuwa mamaake angepiga ukunga mmoja wa kichaga mbona angetafuta kazi kwa fujoo
Embi fikiria una kijanaa kama yule.

Mimi kama yake ningemtandika apate kujihangaisha.

Ni aibu na fedheha.

Anashindwa hata na kijana wangu hapa anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na hata miaka 5 hajafikisha.
 
Kweli huyu binti ni mrembo sanaaa, unene umempooza urembo wake wa umbo kidogo, akiwa form one alitrend pia kwenye matangazo ya vodacom ya mtaani, nimemjua tangu yupo std 4, katuchuna sana vijana wa maduka ya nguo na viatu pale kawe ukwamani[emoji28][emoji28] akiwa la 6 na 7.

Kwao wapo wasichana wa3 ninaowajua na wote ni visu hatari. Dada ake ni anti Ruth alikua akitangaza kipindi cha watoto Magic fm sijui kama yupo huko hadi sasa.
Huyu rest wa kawe mzeeee wao mkono wake moja umekatika?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Embi fikiria una kijanaa kama yule.

Mimi kama yake ningemtandika apate kujihangaisha.

Ni aibu na fedheha.

Anashindwa hata na kijana wangu hapa anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na hata miaka 5 hajafikisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiv aunt wee una nini? Mwenzio huku mbavu zinauma lol
 
Nakuapia mwanaume anayejua shughuli hawi kama kweka.


Haloooo wale kwa muonekano miondoko na tabia zao za nje tu unajua hapa maji nitaita mma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah aunt mie sikuwezi wallah [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hahahhahahahhahaha ndugu mjumbe we unaingia kamati kuu bila maswali

Eti witnessj amu Huyu anatufaa kamati teule [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku ya kudundwaaaa sijui ntakavotimua mbio[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Mjumbe mwnyewe mbea mpaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji119]
 
Resty na dada yake
20201220_223243.jpg
 
Nakwambia yuuuule hamna kituuuuuu

Resti angetuwekea hata shati tu jeupe na suruali nyeusi na zile tie zao

Akaweka caption
"Preparing hubbie for work,
#mradvocatedailyroutine#
Saaaaasa mpk tunakuja mitamboni hakuna cha uwakili wala uhakimu yule ni chawa tu kama chawa wengine.
[emoji3][emoji14][emoji14][emoji12]
 
Buahaaaahaaaa eti ofisi za CPA zipo wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki humu jf[emoji119][emoji119][emoji119]
Humu pamekuwa Raha. Kwa hiyo Mama la mama kampa ajira Massawe. Makato ya NSSF anapeleka. Kule mbugani ndio bonus ya mwaka au?
 
Back
Top Bottom