Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Liumba Tena[emoji44]
 
Nilishangaa siku moja jamaa anarekodiwa yupo kaunta kwenye bar ndo anahudumia watu nadhan wafanyakazi hawakuwepo siku hiyo then rest anasema my love nakupenda sana ,leo tunasaidiana then jamaa anasmile ila ukimuangalia smile lake Ni Kama hakupenda kile kitendo cha kurekodiwa
 
Yule sometime hapendi ila sasa hana sauti atafanyeje mwanamke ndo mwamuzi wa kila kitu..inabidi tu akubali
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watisha mshiki!!
 
Ila mm sishangai huko Mbulu Ni tatizo kubwa. Ushamba mwingi
 
Dah bas nime mkumbuka aseee nili msahau aseee ......mdogo wao wa kiume ana itwa Renatus mwingine ana mfata Rena nae ana matako balaaaa anaitwa Lucy kitu ka Hiko dah way back

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Alafu hicho kilucy kishort chases cha hatari, nilikiacha kinasumbua sana miaka hiyo sasa hivi sijui kapoje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…