Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Sasa unafikiri kuna mwanaume mwenye akili anaweza kuwa na mahusiano na bi dada?

Ndo maana katulizana maana hana pa kwenda.

Mda wake ulishaisha kitambo sasa hivi kuna vitoto vizuri vizuri vinasumbua vimezaliwa kipindi ambacho yeye anatembea na kina Shkuba na Liumba.
Liumba Tena[emoji44]
 
Nakwambia yuuuule hamna kituuuuuu

Resti angetuwekea hata shati tu jeupe na suruali nyeusi na zile tie zao

Akaweka caption
"Preparing hubbie for work,
#mradvocatedailyroutine#
Saaaaasa mpk tunakuja mitamboni hakuna cha uwakili wala uhakimu yule ni chawa tu kama chawa wengine.
Nilishangaa siku moja jamaa anarekodiwa yupo kaunta kwenye bar ndo anahudumia watu nadhan wafanyakazi hawakuwepo siku hiyo then rest anasema my love nakupenda sana ,leo tunasaidiana then jamaa anasmile ila ukimuangalia smile lake Ni Kama hakupenda kile kitendo cha kurekodiwa
 
Nilishangaa siku moja jamaa anarekodiwa yupo kaunta kwenye bar ndo anahudumia watu nadhan wafanyakazi hawakuwepo siku hiyo then rest anasema my love nakupenda sana ,leo tunasaidiana then jamaa anasmile ila ukimuangalia smile lake Ni Kama hakupenda kile kitendo cha kurekodiwa
Yule sometime hapendi ila sasa hana sauti atafanyeje mwanamke ndo mwamuzi wa kila kitu..inabidi tu akubali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I do not want a husband who kisses my black as* every second of the day.
Hata kama hana ajira lakini siyo kila saa ndo nionekane mimi baba mwenye nyumba. Yaan resty ndo anaonekana kamanda wa mjengo of which ndo ilivyo. Sasa uanaume wa mume wangu utakua wapi. Kwanza ningeolewa na mwanaume wa hivyo ningemchapa makofi kila siku[emoji23][emoji23] janaume gani. Hivi wamachame wa kweka ndo mumeamua muruangushe kilimanjaro nzima kweli? Hebu hii Christmas aitwe nyumbani mara moja apewe lesson. Huu ujinga hapaaanaaa. Pooooooh mbakaaaaaaaa.... kumpost public tu hata boyfriend kwangu kazi ndo kila saa awe kaniganda hivi?

Kweka wemanya makofi maduve maduve.
Eheeee mbeeeee. Ni msukwaaaaaa shuhashu[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watisha mshiki!!
 
Tutawakera sana mwaka huu hapa jf
20201221_090244.jpg
 
Dah bas nime mkumbuka aseee nili msahau aseee ......mdogo wao wa kiume ana itwa Renatus mwingine ana mfata Rena nae ana matako balaaaa anaitwa Lucy kitu ka Hiko dah way back

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Alafu hicho kilucy kishort chases cha hatari, nilikiacha kinasumbua sana miaka hiyo sasa hivi sijui kapoje!
 
Back
Top Bottom